PHP somo la 102: Cron job

atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

KHii ni moja kati ya teknolojia mbayo hutolewa kariia na hosting zote. Hata hivyo unaweza pia kutumia huduma hii kwa kutumia platforn za free cron job. Kwa uganisi wa somo hili tutatumia moja kati  ya websitte zainazotoa huduma hii kwa free.

 

Ni nini cron job

Ili uelewe cron job wacha nikupe mfano hapa. Chukulia mfano unataka kwenye blog yako uweke scheduled post. Hizi ni post ambazo zinajipost zenyewe pindi tu muda unapofika. Kwa mfano umeandika post yako muda ya asubuhi lakini unataka ikifika saa saba mchana na dakika 10 post ijipost yenyewe. Hii ina maana ni kazi ambayo hufanyijka automatic, na  hii ndio maana ya ron job yaani code zina run zenyewe pasi na kuhitaji mtu wa kuzi run.

 

Katika ku set cron job lazima ukurasa ambao unataka uwe unaryn hizo code uwe unaweza kupatikana public. Yaani usiwe na haja ya ku log in.kwa mfano baada ya kutengeneza faili ambalo litakuwa linakaguwa hizo scheduled post kama kuna ambayo ipo tayasi, ukurasa huu unahitajika uwe unafikiwa hadharani.

 

Katika ku seti hiyo link ya hilo faili ambalo litakuwa lina run automatic utatakiwa kuchaguwa muda ambo unataka liwe lina run. Kuna mwaka, mwezi, siku, masaa, dakika na sekunde. Unaweza kuset siku unayotakka hilo gfaili li run, saa unayotaka na sekunde. Kwa mfano kama unataka faili lako li run kila baada ya dakika moja litafanya hivyo.

 

Jinsi ya kujisajili

  1. Ingia kwenye website inaitwa https://console.cron-job.org/ 

  2. Baada ya kyjusajili utaingia kwenye dashboard.

  3. Tafuta palipoandika create cronjob

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 750

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 5: Jinsi ya kuandika code za PHP kwa ajili ya kuweka post kwenye blog

Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

Soma Zaidi...
PHP somo la 99: Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 83: Server Variables

Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...