atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic
KHii ni moja kati ya teknolojia mbayo hutolewa kariia na hosting zote. Hata hivyo unaweza pia kutumia huduma hii kwa kutumia platforn za free cron job. Kwa uganisi wa somo hili tutatumia moja kati ya websitte zainazotoa huduma hii kwa free.
Ni nini cron job
Ili uelewe cron job wacha nikupe mfano hapa. Chukulia mfano unataka kwenye blog yako uweke scheduled post. Hizi ni post ambazo zinajipost zenyewe pindi tu muda unapofika. Kwa mfano umeandika post yako muda ya asubuhi lakini unataka ikifika saa saba mchana na dakika 10 post ijipost yenyewe. Hii ina maana ni kazi ambayo hufanyijka automatic, na hii ndio maana ya ron job yaani code zina run zenyewe pasi na kuhitaji mtu wa kuzi run.
Katika ku set cron job lazima ukurasa ambao unataka uwe unaryn hizo code uwe unaweza kupatikana public. Yaani usiwe na haja ya ku log in.kwa mfano baada ya kutengeneza faili ambalo litakuwa linakaguwa hizo scheduled post kama kuna ambayo ipo tayasi, ukurasa huu unahitajika uwe unafikiwa hadharani.
Katika ku seti hiyo link ya hilo faili ambalo litakuwa lina run automatic utatakiwa kuchaguwa muda ambo unataka liwe lina run. Kuna mwaka, mwezi, siku, masaa, dakika na sekunde. Unaweza kuset siku unayotakka hilo gfaili li run, saa unayotaka na sekunde. Kwa mfano kama unataka faili lako li run kila baada ya dakika moja litafanya hivyo.
Jinsi ya kujisajili
Ingia kwenye website inaitwa https://console.cron-job.org/
Baada ya kyjusajili utaingia kwenye dashboard.
Tafuta palipoandika create cronjob
Kwenye title utaweka jina la hiyo cronjob yako, na kwenye url utaweka link ya hilo faili.
Isha utakuja chaguwa muda wa hilo faili lako ku run
Unaweza kuchaguw amuda hapo ama kuandika kadri unavyotaka kwenye custom baada ya hapo utatest ama una bofya palipoandikwa create
Mpaka kufikia hapo utakuwa umesha tengeneza cronjob yako. Kwa mimi hap nimeweka every 15 minutes hivyo kila baada ya dakika 15 faili langu lita run tena.
Faida za kutumia cronjob
Husaidia katika kufanya automatic command.
Inasevu mud sana. Kwa kutumia cronjob unaweza kucheki vingi ambapo ingekugharimu muda wako
Inweza kutuma email ama sms automatic ndani ya muda maalumu utakaoupanga
Cronjob haiathiri memory ya server yako. Pia yenyewe ikitokea kuna shida imetokea hivyo ikashindwa kukamilishabkazi basibitarudia tena katika muda muafaka.
Mwisho:
Tukutane somo la 103 tutakapokwenda kuangalia jinsi ya kuandaa task ambayo tunataka iwe inafanyika automatic. Somo linalofuata litakuwa ni practicle ya somo hili.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...