PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

Kwenye php variable zimegawanyika katika makundi makuu mawili 3. Katika php tunaita variable scope ambazo ni kama:-

Local 

Global

Static

Katika level hii utajifunaza aina zote hizi za variable pamoja na matumizi yakle.

 

Variable ni nini?

Variable ni kitu kinachowakilisha taarifa kwenye program. Ni chombo kinacho beba taarifa fulani. Kwa mfano unaweza kusema X inamaanisha embe, na b inamaanisha dodo. Kisha ukaweka sentensi nipatei embe xb kwa maana embe dodo. Hebu tuone mfano hao chini:

 

Mfano 1

<?php

$x = "embe";

$b = "dodo";

echo "Nipatia $x $b";

?>

 

Hii itakupa matokeo haya


 

Hapo utakuwa umeona namna ambavyo $x na $b zilivyotumika kuwakilisha taarifa na kutengeneza sentensi nzima. Sasa hebu tuone namna ambavyo variable scope zinafanya kazi ama mgawanyiko wa variable.

 

Globe variable: 

Global variable ni variable iliyotengenezwa nje ya function. Variable hii itatumika nje ya function na si ndani ya function. Tutajifunza zaidi uhusu function. Ila unaweza kurejea level 1 mafunzo haya ya php, utajifunza zaidi kuhusu function.

 

Function yenyewe ni block ya code, sasa endapo variable itapewa thamani  nje ya function hii  kutumika nje ya function tu, variable hii itaitwa global variable. Angalia mifano hapo chini

 

Mfano wa function

<?php

 

function hi(){

   echo "haloo bongoclass";

} //mwisho wa function

 

echo hi();

?>

 

Function hii itakupa matokeo haya:-

 

Sasa wacha tuone ni kwa namna gani gobal variable inaweza kutumika nje ya function na si ndani.

 

Mfano

<?php

$x = 'embe'; //$x ni imepewa thamani nje ya cuncton

$b = 'dodo'; //$b na $x ni global variable kwa kuwa ipo nje ya function

function hi(){

   echo "nipatie $x $b"; //$x na $b zipo ndani ya function

}//mwisho wa function

 

echo hi();

?>

Hii itakupa erro kwa sababu global variable haiwezi kutumiwa ndani ya variable.



 

Sasa ngoja tuiweke variable nje ya function tuione je itafanya kazi?

<?php

$x = 'embe'; //$x ni global variable

$b = 'dodo'; //$b ni global variable

function hi(){

   echo "halooo"; //$x na $b zipo ndani ya function

} //mwisho wa function

echo hi();

 

//variable $x na $b zipo  nje ya function

echo "Nipatie $x $b"

?>

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 331

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP - somo la 35: Jinsi ya ku upload mafaili kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...