Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.
Kwenye php variable zimegawanyika katika makundi makuu mawili 3. Katika php tunaita variable scope ambazo ni kama:-
Local
Global
Static
Katika level hii utajifunaza aina zote hizi za variable pamoja na matumizi yakle.
Variable ni nini?
Variable ni kitu kinachowakilisha taarifa kwenye program. Ni chombo kinacho beba taarifa fulani. Kwa mfano unaweza kusema X inamaanisha embe, na b inamaanisha dodo. Kisha ukaweka sentensi nipatei embe xb kwa maana embe dodo. Hebu tuone mfano hao chini:
Mfano 1
<?php
$x = "embe";
$b = "dodo";
echo "Nipatia $x $b";
?>
Hii itakupa matokeo haya
Hapo utakuwa umeona namna ambavyo $x na $b zilivyotumika kuwakilisha taarifa na kutengeneza sentensi nzima. Sasa hebu tuone namna ambavyo variable scope zinafanya kazi ama mgawanyiko wa variable.
Globe variable:
Global variable ni variable iliyotengenezwa nje ya function. Variable hii itatumika nje ya function na si ndani ya function. Tutajifunza zaidi uhusu function. Ila unaweza kurejea level 1 mafunzo haya ya php, utajifunza zaidi kuhusu function.
Function yenyewe ni block ya code, sasa endapo variable itapewa thamani nje ya function hii kutumika nje ya function tu, variable hii itaitwa global variable. Angalia mifano hapo chini
Mfano wa function
<?php
function hi(){
echo "haloo bongoclass";
} //mwisho wa function
echo hi();
?>
Function hii itakupa matokeo haya:-
Sasa wacha tuone ni kwa namna gani gobal variable inaweza kutumika nje ya function na si ndani.
Mfano
<?php
$x = 'embe'; //$x ni imepewa thamani nje ya cuncton
$b = 'dodo'; //$b na $x ni global variable kwa kuwa ipo nje ya function
function hi(){
echo "nipatie $x $b"; //$x na $b zipo ndani ya function
}//mwisho wa function
echo hi();
?>
Hii itakupa erro kwa sababu global variable haiwezi kutumiwa ndani ya variable.
Sasa ngoja tuiweke variable nje ya function tuione je itafanya kazi?
<?php
$x = 'embe'; //$x ni global variable
$b = 'dodo'; //$b ni global variable
function hi(){
echo "halooo"; //$x na $b zipo ndani ya function
} //mwisho wa function
echo hi();
//variable $x na $b zipo nje ya function
echo "Nipatie $x $b"
?>
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...