Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.
Kwenye php variable zimegawanyika katika makundi makuu mawili 3. Katika php tunaita variable scope ambazo ni kama:-
Local
Global
Static
Katika level hii utajifunaza aina zote hizi za variable pamoja na matumizi yakle.
Variable ni nini?
Variable ni kitu kinachowakilisha taarifa kwenye program. Ni chombo kinacho beba taarifa fulani. Kwa mfano unaweza kusema X inamaanisha embe, na b inamaanisha dodo. Kisha ukaweka sentensi nipatei embe xb kwa maana embe dodo. Hebu tuone mfano hao chini:
Mfano 1
<?php
$x = "embe";
$b = "dodo";
echo "Nipatia $x $b";
?>
Hii itakupa matokeo haya
Hapo utakuwa umeona namna ambavyo $x na $b zilivyotumika kuwakilisha taarifa na kutengeneza sentensi nzima. Sasa hebu tuone namna ambavyo variable scope zinafanya kazi ama mgawanyiko wa variable.
Globe variable:
Global variable ni variable iliyotengenezwa nje ya function. Variable hii itatumika nje ya function na si ndani ya function. Tutajifunza zaidi uhusu function. Ila unaweza kurejea level 1 mafunzo haya ya php, utajifunza zaidi kuhusu function.
Function yenyewe ni block ya code, sasa endapo variable itapewa thamani nje ya function hii kutumika nje ya function tu, variable hii itaitwa global variable. Angalia mifano hapo chini
Mfano wa function
<?php
function hi(){
echo "haloo bongoclass";
} //mwisho wa function
echo hi();
?>
Function hii itakupa matokeo haya:-
Sasa wacha tuone ni kwa namna gani gobal variable inaweza kutumika nje ya function na si ndani.
Mfano
<?php
$x = 'embe'; //$x ni imepewa thamani nje ya cuncton
$b = 'dodo'; //$b na $x ni global variable kwa kuwa ipo nje ya function
function hi(){
echo "nipatie $x $b"; //$x na $b zipo ndani ya function
}//mwisho wa function
echo hi();
?>
Hii itakupa erro kwa sababu global variable haiwezi kutumiwa ndani ya variable.
Sasa ngoja tuiweke variable nje ya function tuione je itafanya kazi?
<?php
$x = 'embe'; //$x ni global variable
$b = 'dodo'; //$b ni global variable
function hi(){
echo "halooo"; //$x na $b zipo ndani ya function
} //mwisho wa function
echo hi();
//variable $x na $b zipo nje ya function
echo "Nipatie $x $b"
?>
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...