picha

PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu kutengeneza friendly url, yaani link iliyo rafiki kwa matumizi ya website na blog. Link iliyo rafiki kwa SEO. Katika somo hili tutaendelea kutumia ile blog yetu tulioitengeneza kwenye somo la 11.

 

Kufanya friendly url.

Friendly url ni link iliyo rafiki kiusalama na kwenye SEO. angalia mfano kwenye ile blog yetu link ya kwenye post ipo hvi http://localhost/web/view.php?id=2 sasa hapa tunataka kuondoa hivyo view.php?id=2 tufanye kitu ambacho ni rafiki kama  http://localhost/web/2-alama-za-barabarani hapo tutaondoa empty space katikati nimezibadili kw akuweka alama ya “-”. Id 2 ipo kama mwanzo. Tutaendelea kuitmia ili somo letu liwe rahisi zaidi na bado usalama uendelee kuwepo.

 

Sasa hatuwa ya kwanza ni kuondoa view.php?id= tunakwend akubadili kipengele hiki kabisa ili url iwe http://localhost/web/2 ili kufanya hivi tunatakiwa tuweze kutumia .htaccess file. Huwenda hii ndio mara yako ya kwanz akusikia hiki kitu .htaccess, ama tayari unatambuwa, basi hapa nitakujuza zaidi.

 

.htaccess ni nini?

Ni kifupisho cha maneno hypertext access hili ni faili ambalo linafanya configuratio kwenye web yake katika folda husika. Yaani linaweza kufanya stting khusu website yako. Lenyewe linaandikwa kwa lugha ya apache language ama derective. Hata hivyo hapa hatutajifunza hiyo language, wala syntax za htaccess. Lengo hapa utajifunza ili tuweze kufanikisha lengo la somo letu.

 

Htaccess inaweza kufanya haya:

  1. Kubadilisha link ya faili husika

  2. Kublock upatikanaji wa baadhi ya mafaili

  3. Kubadili file extension kwa mfano .html likasomeka kama .php

  4. Ku redirect url

  5. Kuondosha baadhi ya vitu usivyovitaka kwenye link.

Sisi hapa hasa tunahitaji hiyo namba 5, ambapo tutakwenda kuondosha view.php?id=2 kwenye url.

 

Hatuwa za kutengeneza .htaccess

  1. Tengeneza faili kwenye root folda. Root folda ni folda ambalo lina website yako.

  2. Hilo file liite.htaccess huna haja ya kuweka extension yeyote

  1. Hatuwa inayofuata ni kuweka ON liho file. Mwanzo kabisa weka code hii RewriteEngine on

  2. Ili kujweza ku comment utaweka alama ya reli # mwanzoni mwa conmment yako.

  3. Ingia kwenye faili la index">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 2023-10-19 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 1108

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 web hosting    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 ai web app   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post

    Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM

    Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 27: aina za variable kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

    Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json

    Soma Zaidi...