PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link
Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu kutengeneza friendly url, yaani link iliyo rafiki kwa matumizi ya website na blog. Link iliyo rafiki kwa SEO. Katika somo hili tutaendelea kutumia ile blog yetu tulioitengeneza kwenye somo la 11.
Kufanya friendly url.
Friendly url ni link iliyo rafiki kiusalama na kwenye SEO. angalia mfano kwenye ile blog yetu link ya kwenye post ipo hvi http://localhost/web/view.php?id=2 sasa hapa tunataka kuondoa hivyo view.php?id=2 tufanye kitu ambacho ni rafiki kama http://localhost/web/2-alama-za-barabarani hapo tutaondoa empty space katikati nimezibadili kw akuweka alama ya “-”. Id 2 ipo kama mwanzo. Tutaendelea kuitmia ili somo letu liwe rahisi zaidi na bado usalama uendelee kuwepo.
Sasa hatuwa ya kwanza ni kuondoa view.php?id= tunakwend akubadili kipengele hiki kabisa ili url iwe http://localhost/web/2 ili kufanya hivi tunatakiwa tuweze kutumia .htaccess file. Huwenda hii ndio mara yako ya kwanz akusikia hiki kitu .htaccess, ama tayari unatambuwa, basi hapa nitakujuza zaidi.
.htaccess ni nini?
Ni kifupisho cha maneno hypertext access hili ni faili ambalo linafanya configuratio kwenye web yake katika folda husika. Yaani linaweza kufanya stting khusu website yako. Lenyewe linaandikwa kwa lugha ya apache language ama derective. Hata hivyo hapa hatutajifunza hiyo language, wala syntax za htaccess. Lengo hapa utajifunza ili tuweze kufanikisha lengo la somo letu.
Htaccess inaweza kufanya haya:
-
Kubadilisha link ya faili husika
-
Kublock upatikanaji wa baadhi ya mafaili
-
Kubadili file extension kwa mfano .html likasomeka kama .php
-
Ku redirect url
-
Kuondosha baadhi ya vitu usivyovitaka kwenye link.
Sisi hapa hasa tunahitaji hiyo namba 5, ambapo tutakwenda kuondosha view.php?id=2 kwenye url.
Hatuwa za kutengeneza .htaccess
-
Tengeneza faili kwenye root folda. Root folda ni folda ambalo lina website yako.
-
Hilo file liite.htaccess huna haja ya kuweka extension yeyote
-
Hatuwa inayofuata ni kuweka ON liho file. Mwanzo kabisa weka code hii RewriteEngine on
-
Ili kujweza ku comment utaweka alama ya reli # mwanzoni mwa conmment yako.
-
Ingia kwenye faili la index, pale kwenye link inayopeleka data kwenye view.php ondosha maneno haya view.php?id= hivyo kutabakia hivi <a href="<?php echo $fetch['id'];?>">View</a>
-
Sasa hayo maneno tuio yaondoa tunakwenda kuyaweka kwenye htaccess file ili kufidia kipengele hiko.
-
Ingia kwenye file la htaccess weka code hizi RewriteRule ^([0-9]+) vie...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi
Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog
Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
Soma Zaidi...