image

PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu kutengeneza friendly url, yaani link iliyo rafiki kwa matumizi ya website na blog. Link iliyo rafiki kwa SEO. Katika somo hili tutaendelea kutumia ile blog yetu tulioitengeneza kwenye somo la 11.

 

Kufanya friendly url.

Friendly url ni link iliyo rafiki kiusalama na kwenye SEO. angalia mfano kwenye ile blog yetu link ya kwenye post ipo hvi http://localhost/web/view.php?id=2 sasa hapa tunataka kuondoa hivyo view.php?id=2 tufanye kitu ambacho ni rafiki kama  http://localhost/web/2-alama-za-barabarani hapo tutaondoa empty space katikati nimezibadili kw akuweka alama ya “-”. Id 2 ipo kama mwanzo. Tutaendelea kuitmia ili somo letu liwe rahisi zaidi na bado usalama uendelee kuwepo.

 

Sasa hatuwa ya kwanza ni kuondoa view.php?id= tunakwend akubadili kipengele hiki kabisa ili url iwe http://localhost/web/2 ili kufanya hivi tunatakiwa tuweze kutumia .htaccess file. Huwenda hii ndio mara yako ya kwanz akusikia hiki kitu .htaccess, ama tayari unatambuwa, basi hapa nitakujuza zaidi.

 

.htaccess ni nini?

Ni kifupisho cha maneno hypertext access hili ni faili ambalo linafanya configuratio kwenye web yake katika folda husika. Yaani linaweza kufanya stting khusu website yako. Lenyewe linaandikwa kwa lugha ya apache language ama derective. Hata hivyo hapa hatutajifunza hiyo language, wala syntax za htaccess. Lengo hapa utajifunza ili tuweze kufanikisha lengo la somo letu.

 

Htaccess inaweza kufanya haya:

  1. Kubadilisha link ya faili husika

  2. Kublock upatikanaji wa baadhi ya mafaili

  3. Kubadili file extension kwa mfano .html likasomeka kama .php

  4. Ku redirect url

  5. Kuondosha baadhi ya vitu usivyovitaka kwenye link.

Sisi hapa hasa tunahitaji hiyo namba 5, ambapo tutakwenda kuondosha view.php?id=2 kwenye url.

 

Hatuwa za kutengeneza .htaccess

  1. Tengeneza faili kwenye root folda. Root folda ni folda ambalo lina website yako.

  2. Hilo file liite.htaccess huna haja ya kuweka extension yeyote

  1. Hatuwa inayofuata ni kuweka ON liho file. Mwanzo kabisa weka code hii RewriteEngine on

  2. Ili kujweza ku comment utaweka alama ya reli # mwanzoni mwa conmment yako.

  3. Ingia kwenye faili la index, pale kwenye link inayopeleka data kw">...



    Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





               

    Je! umeipenda hii post?
    Ndio            Hapana            Save post

    Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 170


    Sponsored links
    👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani    

    Post zifazofanana:-

    PHP somo la 59: static property kwenye PHP
    Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika Soma Zaidi...

    PHP somo la 79: Custom header
    Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake Soma Zaidi...

    PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP
    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting. Soma Zaidi...

    PHP somo la 61: jinsi ya kufanya loop kwenye class kw akutumia foreach loop
    Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop Soma Zaidi...

    PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
    Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake. Soma Zaidi...

    PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database
    katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server Soma Zaidi...

    PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database
    Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database Soma Zaidi...

    PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog
    Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 11: Jinsi ya kutuma tarifa zilizojazwa kwenye form
    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kukusanya taarifa za watumiaji kwa kutumia html form. Soma Zaidi...

    PHP somo la 73: Maana ya http header
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header. Soma Zaidi...

    PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP
    Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable Soma Zaidi...