Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu kutengeneza friendly url, yaani link iliyo rafiki kwa matumizi ya website na blog. Link iliyo rafiki kwa SEO. Katika somo hili tutaendelea kutumia ile blog yetu tulioitengeneza kwenye somo la 11.
Kufanya friendly url.
Friendly url ni link iliyo rafiki kiusalama na kwenye SEO. angalia mfano kwenye ile blog yetu link ya kwenye post ipo hvi http://localhost/web/view.php?id=2 sasa hapa tunataka kuondoa hivyo view.php?id=2 tufanye kitu ambacho ni rafiki kama http://localhost/web/2-alama-za-barabarani hapo tutaondoa empty space katikati nimezibadili kw akuweka alama ya “-”. Id 2 ipo kama mwanzo. Tutaendelea kuitmia ili somo letu liwe rahisi zaidi na bado usalama uendelee kuwepo.
Sasa hatuwa ya kwanza ni kuondoa view.php?id= tunakwend akubadili kipengele hiki kabisa ili url iwe http://localhost/web/2 ili kufanya hivi tunatakiwa tuweze kutumia .htaccess file. Huwenda hii ndio mara yako ya kwanz akusikia hiki kitu .htaccess, ama tayari unatambuwa, basi hapa nitakujuza zaidi.
.htaccess ni nini?
Ni kifupisho cha maneno hypertext access hili ni faili ambalo linafanya configuratio kwenye web yake katika folda husika. Yaani linaweza kufanya stting khusu website yako. Lenyewe linaandikwa kwa lugha ya apache language ama derective. Hata hivyo hapa hatutajifunza hiyo language, wala syntax za htaccess. Lengo hapa utajifunza ili tuweze kufanikisha lengo la somo letu.
Htaccess inaweza kufanya haya:
Kubadilisha link ya faili husika
Kublock upatikanaji wa baadhi ya mafaili
Kubadili file extension kwa mfano .html likasomeka kama .php
Ku redirect url
Kuondosha baadhi ya vitu usivyovitaka kwenye link.
Sisi hapa hasa tunahitaji hiyo namba 5, ambapo tutakwenda kuondosha view.php?id=2 kwenye url.
Hatuwa za kutengeneza .htaccess
Tengeneza faili kwenye root folda. Root folda ni folda ambalo lina website yako.
Hilo file liite.htaccess huna haja ya kuweka extension yeyote
Hatuwa inayofuata ni kuweka ON liho file. Mwanzo kabisa weka code hii RewriteEngine on
Ili kujweza ku comment utaweka alama ya reli # mwanzoni mwa conmment yako.
Ingia kwenye faili la index">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi
Soma Zaidi...atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic
Soma Zaidi...Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...