image

PHP - somo la 10: Jinsi ya kundika condition statement if, ifelse na switch case

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu condition statements if, ifelse na switch case. Hata utajifunza jnsi ya kuziandika na zinavyofanya kazi

PHP CONDITION STATEMENTS
Hizi ni logic statement ambazo zitaangalia kukidhi kwa vifezo ndipo code ziweze kufanya kazi. Kwa mfano ikiwa asubuhi kompyuta itasalimia umeamkaje, na ikiwa mchana itasema umeshindaje na ikiwa jioni utasema habari za jioni. Hivyo hapa kwanz kompyuta itabidi iangalie saa, kama saa itasoma ni asubuhi ndipo code zinazotaka iseme habari za asubuhi zitafanya kazi.

Kwa pamoja code hivi tunaziita condition statement, yaani kwanza huangalia vogezo vinavyotakiwa kama vimetimia ndipo huleta matokeo na kama havijatimia huenda hatuwa nyingine. Statatement hizi kwenye php zipo nne ambazo ni:-

1.If statement
2.If..else statement
3.If..elseif..else statement
4.Switch statement

1.If statement
Hii itaangalia condition moja (yaani kigezo kimoja) kanuni yake ni

If (condition) {
Code
}

Condition ni kigezo ambavyo unataka kiangaliwe kabla ya code kufanya kazi. Kwa mfano tunataka mfunguaji wa ukurasa huu kama ni asubuhi ukrasa uandike habari za asubuhi. Kufanya hivi itabidi tuweke saa. Saa itakuwa inaangalia kama ni asubuhi ita peleka taarifa kuwa ni asubuhi kisha code ndipo hufanya kazi.

Jivyo tutatumia function ya kuonyesha time kama tulivyojifunza hapo nyuma. Ila hapa tutatumia masaa 24. na kwa masaa 24 asubuhi ni kunania 5 mpaka 11. itabidi tuwe na variable ya kuwakikilisha time. Hivyo tutatumia t kama variable na function ya time kwa ajili ya kusoma muda.

Mfano:
<?php
$t = date("H");
if ($t < ="11") {
echo "habari ya asubuhi";

}
?>

Hii itaangalia kama masaa ni sawa na 11 ama chini ya 11, code zetu zitasoma habari za asubuhi. Saba hapa kuna shida moja, ni kuwa kama itakuwa sio asubuhi hakuna chichite kitakachisoma. Hivyo basi tunatakiwa pia kusema na endapo sio asubuhi inatakiwa iseme nini.
2.If.. else
Ili kufanya hivyo ndipo tunahtaji else statement. Hivyo hapa tutatumia if else statement. Yaani kama itakuwa ni chini ya saa 11 iseme habari za asubhuhi laikini kama sio muda huo iseme mambo vipi. Agalia mfano wa if else statement hapo chini.

Mfano
<?php
$t = date("H");
if ($t < "11") {
echo "habari ya asubuhi";

}else {
echo "mabo vipi";
}
?>
Hapa kama haitakuwa asubuhi itasema mambo vipi

Kanuni ni kama ile ya mwanza

If (condition) {
Code} else{
Code}


Sasa kwa kuwa siku imegawanyika kama asubuhi, mchana na jioni sasa tunataka ikiwa ni asubuhi iseme, habari za asubuhi na ikiwa ni mchana iseme habari za mchana na ikiwa ni usiku iseme habari za usiku.

3.If..elseifâ">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 153


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete. Soma Zaidi...

PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja. Soma Zaidi...

PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP
katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Soma Zaidi...

PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database. Soma Zaidi...

PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf Soma Zaidi...

PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP
Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database. Soma Zaidi...

PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class. Soma Zaidi...

PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi Soma Zaidi...

PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo
Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho. Soma Zaidi...