PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Authentication header

Hii ni header ambayo ina kazi ya ya kuweka utambulisho kwenye hiyo request. Yenyewe hutumika kuthibitisha uhalali wa mtumiaji kama anastahiki kfanya hiyo request. Hivyo inaweza kumzuia ama kumruhusu. Mfano kutuma jina la mtumiaji na password kwa ajili ya ku login na vitu vingine. Ama kuthibitisha session. Pia hii inaweza kutumika kutuma authentication token kwenye server.

 

Ni ipi kazi kuu ya authentication header?

Kazi kuu ya authentication header ni kuhakikisha kuwa taarifa haibadilishwi wakati inapotumwa kutoka kwa cliect kwenda kwa server ama kutoka kwa server kwenda kwa client. Hii huboresha usalama kwani hacker anaweza kubadili taarifa hizi kama hazitakuwa salama na kuweza kusababisha hasara.

 

Ili kufanya authentication header kuna hatuwa tatu zinapitiwa:-

 

  1. Kufanya encoding ya data husika.

Encoding ni kubadilidata kutoka hali ya kawaida na kuwa katika hali nyingine ambayo binadamu hawezi kuisoma hiyo data. Na kuzirudisha kunatumika decoding.

 

Encoding inayotumiwa hapa ni base64. Ambapo tunatumia functio hii base64_encode() ndan yake tunaweka hizo data. Kama data ni nyingi utazitenganisha kwa alama ya coloni yaani zile nukta pacha (:).

Mfano

Tunataka ku encode jina na password. Tuseme jina ni Bongoclass na password ni BCG123. Hivyo data zitakuwa hivi:

 

<?php

$username = 'Bongo';

$password = 'BCG123';

$auth = base64_encode("$username:$password");

 

//jarbu uprnt output taupa uZ286QkNHMTIz

echo $auth;

 

Sasa utaona hapo ama uta output hzo encoded data utapata Qm9uZ286QkNHMTIz ambapo h n data ambayo po encoded. Na utaa u decode utatuma base64_decode()

Mfano:

 

<?php

$encoded_data = "Qm9uZ286QkNHMTIz";

echo base64_decode($encoded_data);

 

Itakupa Bongo:BCG123

 

  1. Utengeneza context data

Hapa tunawenda uandaa fungu cha data wa ajili ya kutumiwa kwenda kwenye server.

 

Kwanza data zetu tutaziweka kwenye array. Katika array yetu tatukwenda kuweka header na method. Method ninamanisha method ambazo hutumika kusend request. Kama vile get na post. Kisha tutatukwa na header ambayo itakuwani authorization basic

 

Aina ya array tutakayotumia ni associative array ambayo nakuwa na keys. 

Mafano:

$header_data = array(

   'http' => array(

       'method'  => 'GET',

       'header'  => "Authorization: Basic $auth\r\n"

   )

);

 

Utaona hapo method ni GET na aina ya Authorization ni Basic ni ya kawaida tu kwa ajili ya kufanya authentication.

 

Baada ya kuziweka data zetu kwenye array hatuwa inatofuata ni kutengeneza context data kwa ajili ya kutuma kwenda kwenye server. Tutatumia function ya stream_context_create() ili kutuma data

 

Context data ni nini?

Hizi ni mkusanyiko wa data kama aramenta na taarifa nyinginezo ambazo hujitajika wakati wa kuwasiliana na server. Huweza kutengenezwa kwa kutumia function hiyo nilioitaja hapo juu na hutumia associative array..Zenyewe zinakuwa zinabeba taarifa kuhusu huo mkondo wa data kama tabia na seting nyinginezo. Kama tulivyoweka hapo juu metod na header information.

Mfano:

<?php

$username = 'Bongo';

$password = 'BCG123';

$auth = base64_encode("$username:$password");

 

$header_data = array(

   'http' => array(

       'method'  => 'GET',

       'header'  => "Authorization: Basic $auth\r\n"

   )

);

$context = stream_context_create($header_data);

?>

 

Sasa mpaa ufa hapo tutauwa tumeshatuma hzo taarfa wenda wenye server. Wa upande wa server anapotuna response ss tunaweza utuma function ya fle_get_contents() tutakuja kujifunza kwenye somo la API



Pia tunaweza kutuma data hizo kwa kutumia curl

$username = "Bongo";

$password = "BCG123";

$auth = base64_encode("$username:$password");

 

$curl = curl_init();

curl_setopt($curl, CURLOPT_URL, "https://api.example.com/data");

curl_setopt($curl, CURLOPT_RETURNTRANSFER, true);

curl_setopt($curl, CURLOPT_HTTPHEADER, array(

   "Authorization: Basic $auth"

));

 

$response = curl_exec($curl);

curl_close($curl);

?>

 

Tutakuja kujifunza vizuri kuhusu curl kwenye somo la API

 

Unaweza uchanganya taafifa za aina mbalimbali kwenye context data zako. Angali mfano hapo chini:

<?php

$context_data = array(

   'http' => array(

       'method'  => 'POST', // HTTP method

       'header'  => "Authorization: Bearer YOUR_ACCESS_TOKEN\r\n" .

           "Content-Type: application/json\r\n",

       'content' => json_encode(array('key1' => 'value1', 'key2' => 'value2')), // POST data

       'timeout' => 30 // Timeout in seconds

   ),

   'ssl' => array(

       'verify_peer' => true,

       'verify_peer_name' => true,

       'cafile' => '/path/to/cacert.pem' // Path to Certificate Authority file

   )

);

 

// Create the context resource

$context = stream_context_create($context_data);

 

?>

 

Kwa upande wa server:

Sasa kwa upande wa server tunaweza kusoma hizo data zilizotumwa kwa kutumia server variable mfabo

Upata username tutatuma $_SERVER['PHP_AUTH_USER']; na upata password tutatuma $_SERVER['PHP_AUTH_PW']; 

 

Pia ili kuangalia kama mtumiaji yupo authenticated tutatumia isset()

Mfano:

<?php

// Check if the user has provided credentials

if (!isset($_SERVER['PHP_AUTH_USER'])) {

   // If not, send a 401 Unauthorized response and the WWW-Authenticate header

   header('HTTP/1.1 401 Unauthorized');

   header('WWW-Authenticate: Basic realm="My Realm"');

   echo 'Authentication required.';

   exit;

} else {

   // Validate the provided credentials

   $username = $_SERVER['PHP_AUTH_USER'];

   $password = $_SERVER['PHP_AUTH_PW'];

 

   // Example credentials for validation

   $valid_username = 'admin';

   $valid_password = 'password';

 

   if ($username === $valid_username && $password === $valid_password) {

       echo 'You are authenticated!';<">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 293

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia

Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako

Soma Zaidi...
PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

Soma Zaidi...
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP

Soma Zaidi...