Menu



PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Authentication header

Hii ni header ambayo ina kazi ya ya kuweka utambulisho kwenye hiyo request. Yenyewe hutumika kuthibitisha uhalali wa mtumiaji kama anastahiki kfanya hiyo request. Hivyo inaweza kumzuia ama kumruhusu. Mfano kutuma jina la mtumiaji na password kwa ajili ya ku login na vitu vingine. Ama kuthibitisha session. Pia hii inaweza kutumika kutuma authentication token kwenye server.

 

Ni ipi kazi kuu ya authentication header?

Kazi kuu ya authentication header ni kuhakikisha kuwa taarifa haibadilishwi wakati inapotumwa kutoka kwa cliect kwenda kwa server ama kutoka kwa server kwenda kwa client. Hii huboresha usalama kwani hacker anaweza kubadili taarifa hizi kama hazitakuwa salama na kuweza kusababisha hasara.

 

Ili kufanya authentication header kuna hatuwa tatu zinapitiwa:-

 

  1. Kufanya encoding ya data husika.

Encoding ni kubadilidata kutoka hali ya kawaida na kuwa katika hali nyingine ambayo binadamu hawezi kuisoma hiyo data. Na kuzirudisha kunatumika decoding.

 

Encoding inayotumiwa hapa ni base64. Ambapo tunatumia functio hii base64_encode() ndan yake tunaweka hizo data. Kama data ni nyingi utazitenganisha kwa alama ya coloni yaani zile nukta pacha (:).

Mfano

Tunataka ku encode jina na password. Tuseme jina ni Bongoclass na password ni BCG123. Hivyo data zitakuwa hivi:

 

<?php

$username = 'Bongo';

$password = 'BCG123';

$auth = base64_encode("$username:$password");

 

//jarbu uprnt output taupa uZ286QkNHMTIz

echo $auth;

 

Sasa utaona hapo ama uta output hzo encoded data utapata Qm9uZ286QkNHMTIz ambapo h n data ambayo po encoded. Na utaa u decode utatuma base64_decode()

Mfano:

 

<?php

$encoded_data = "Qm9uZ286QkNHMTIz";

echo base64_decode($encoded_data);

 

Itakupa Bongo:BCG123

 

  1. Utengeneza context data

Hapa tunawenda uandaa fungu cha data wa ajili ya kutumiwa kwenda kwenye server.

 

Kwanza data zetu tutaziweka kwenye array. Katika array yetu tatukwenda kuweka header na method. Method ninamanisha method ambazo hutumika kusend request. Kama vile get na post. Kisha tutatukwa na header ambayo itakuwani authorization basic

 

Aina ya array tutakayotumia ni associative array ambayo nakuwa na keys. 

Mafano:

$header_data = array(

   'http' => array(

       'method'  => 'GET',

       'header'  => "Authorization: Basic $auth\r\n"

   )

);

 

Utaona hapo method ni GET na aina ya Authorization ni Basic ni ya kawaida tu kwa ajili ya kufanya authentication.

 

Baada ya kuziweka data zetu kwenye array hatuwa inatofuata ni kutengeneza context data kwa ajili ya kutuma kwenda kwenye server. Tutatumia function ya stream_context_create() ili kutuma data

 

Context data ni nini?

Hizi ni mkusanyiko wa data kama aramenta na taarifa nyinginezo ambazo hujitajika wakati wa kuwasiliana na server. Huweza kutengenezwa kwa kutumia function hiyo nilioitaja hapo juu na hutumia associative array..Zenyewe zinakuwa zinabeba taarifa kuhusu huo mkondo wa data kama tabia na seting nyinginezo. Kama tulivyoweka hapo juu metod na header information.

Mfano:

<?php

$username = 'Bongo';

$password = 'BCG123';

$auth = base64_encode("$username:$password");

 

$header_data = array(

   'http' => array(

       'method'  => 'GET',

       'header'  => "Authorization: Basic $auth\r\n"

   )

);

$context = stream_context_create($header_data);

?>

 

Sasa mpaa ufa hapo tutauwa tumeshatuma hzo taarfa wenda wenye server. Wa upande wa server anapotuna response ss tunaweza utuma function ya fle_get_contents() tutakuja kujifunza kwenye somo la API



Pia tunaweza kutuma data hizo kwa kutumia curl

$username = "Bongo";

$password = "BCG123";

$auth = base64_encode("$username:$password");

 

$curl = curl_init();

curl_setopt($curl, CURLOPT_URL, "https://api.example.com/data");

curl_setopt($curl, CURLOPT_RETURNTRANSFER, true);

curl_setopt($curl, CURLOPT_HTTPHEADER, array(

   "Authorization: Basic $auth"

));

 

$response = curl_exec($curl);

curl_close($curl);

?>

 

Tutakuja kujifunza vizuri kuhusu curl kwenye somo la API

 

Unaweza uchanganya taafifa za aina mbalimbali kwenye context data zako. Angali mfano hapo chini:

<?php

$context_data = array(

   'http' => array(

       'method'  => 'POST', // HTTP method

       'header'  => "Authorization: Bearer YOUR_ACCESS_TOKEN\r\n" .

           "Content-Type: application/json\r\n",

       'content' => json_encode(array('key1' => 'value1', 'key2' => 'value2')), // POST data

       'timeout' => 30 // Timeout in seconds

   ),

   'ssl' => array(

       'verify_peer' => true,

       'verify_peer_name' => true,

       'cafile' => '/path/to/cacert.pem' // Path to Certificate Authority file

   )

);

 

// Create the context resource

$context = stream_context_create($context_data);

 

?>

 

Kwa upande wa server:

Sasa kwa upande wa server tunaweza kusoma hizo data zilizotumwa kwa kutumia server variable mfabo

Upata username tutatuma $_SERVER['PHP_AUTH_USER']; na upata password tutatuma $_SERVER['PHP_AUTH_PW']; 

 

Pia ili kuangalia kama mtumiaji yupo authenticated tutatumia isset()

Mfano:

<?php

// Check if the user has provided credentials

if (!isset($_SERVER['PHP_AUTH_USER'])) {

   // If not, send a 401 Unauthorized response and the WWW-Authenticate header

   header('HTTP/1.1 401 Unauthorized');

   header('WWW-Authenticate: Basic realm="My Realm"');

   echo 'Authentication required.';

   exit;

} else {

   // Validate the provided credentials

   $username = $_SERVER['PHP_AUTH_USER'];

   $password = $_SERVER['PHP_AUTH_PW'];

 

   // Example credentials for validation

   $valid_username = 'admin';

   $valid_password = 'password';

 

   if ($username === $valid_username && $password === $valid_password) {

       echo 'You are authenticated!';

  &nb">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 217

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO

Soma Zaidi...
PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto

Soma Zaidi...
PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...