Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..
Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni
Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.
index.php
Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
?>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<link rel="stylesheet" href="style.css">
<title>Majibu Data</title>
</head>
<body>
<?php
echo '<table border="1" class="center">';
echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';
echo '<tr><th>ID</th>
<th>Name</th>
<th>Alama</th>
<th>Edit</th>
<th>Delete</th>
</tr>';
$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();
foreach ($majina as $jina) {
$options = $db->majina_ya_wanafunzi();
//echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';
echo '<tr>';
echo '<td>' .$jina['id'] . '</td>';
echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';
echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';
echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">รขลย</a> </td>';
echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">รขยล</a> </td>';
echo '</tr>';
}
echo '</table>';
?>
</body>
</html>
add.php
Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
if (isset($_POST['submit'])){
// Insert data
$jina = $_POST['jina'];
$matokeo = $_POST['alama'];
$insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);
if ($insertResult) {
echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";
echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';
} else {
echo "Error inserting data.";
}
}
?>
<br><br><br>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<link href="style.css" rel="stylesheet">
<title>Styled Form</title>
</head>
<body>
<form action="" method="post">
<label for="jina">Jina</label><br>
<input type="text" name="jina"><br><br>
<label for="alama">Alama</label><br>
<input type="number" name="alama"><br><br>
<input type="submit" name="submit" value="Save">
</form>
</body>
</html>
edit.php
Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
// Check if the form for editing is submitted
if (isset($_POST['edit_submit'])) {
$id_to_edit = $_POST['edit_id'];
$edited_jina = $_POST['edited_jina'];
$edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];
// Edit data
$editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);
if ($editResult) {
echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";
echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>'">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya kutumia ORM kwa kutumia library ya RedBeanPHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...