PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..

 

Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni 

  1. Add.php
  2. Delete.php
  3. Edit.php
  4. index.php
  5. Style.css
  6. Wanafnzi_class.php.

 

 

Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.

 

index.php  

Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

?>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

   <title>Majibu Data</title>

</head>

<body>

<?php

echo '<table border="1" class="center">';

echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';

echo '<tr><th>ID</th>

<th>Name</th>

<th>Alama</th>

<th>Edit</th>

<th>Delete</th>

</tr>';

$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();

foreach ($majina as $jina) {

   $options = $db->majina_ya_wanafunzi();

  //echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';

           echo '<tr>';

           echo '<td>' .$jina['id']  . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';

           echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">รขล“ย</a> </td>';

           echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">รขยล’</a> </td>';

           echo '</tr>';

}

echo '</table>';

?>

</body>

</html>



 

add.php 

Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

if (isset($_POST['submit'])){

// Insert data

   $jina = $_POST['jina'];

   $matokeo = $_POST['alama'];

   $insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);

 

   if ($insertResult) {

       echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';

   } else {

       echo "Error inserting data.";

   }

}

?>

<br><br><br>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link href="style.css" rel="stylesheet">

   <title>Styled Form</title>

</head>

<body>

 

<form action="" method="post">

   <label for="jina">Jina</label><br>

   <input type="text" name="jina"><br><br>

   <label for="alama">Alama</label><br>

   <input type="number" name="alama"><br><br>

   <input type="submit" name="submit" value="Save">

</form>

 

</body>

</html>


 

edit.php 

Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

// Check if the form for editing is submitted

if (isset($_POST['edit_submit'])) {

   $id_to_edit = $_POST['edit_id'];

   $edited_jina = $_POST['edited_jina'];

   $edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];

 

   // Edit data

   $editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);

 

   if ($editResult) {

       echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>'">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 373

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Soma Zaidi...