PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..
Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni
- Add.php
- Delete.php
- Edit.php
- index.php
- Style.css
- Wanafnzi_class.php.
Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.
index.php
Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
?>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<link rel="stylesheet" href="style.css">
<title>Majibu Data</title>
</head>
<body>
<?php
echo '<table border="1" class="center">';
echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';
echo '<tr><th>ID</th>
<th>Name</th>
<th>Alama</th>
<th>Edit</th>
<th>Delete</th>
</tr>';
$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();
foreach ($majina as $jina) {
$options = $db->majina_ya_wanafunzi();
//echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';
echo '<tr>';
echo '<td>' .$jina['id'] . '</td>';
echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';
echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';
echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">âœ</a> </td>';
echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">âŒ</a> </td>';
echo '</tr>';
}
echo '</table>';
?>
</body>
</html>
add.php
Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
if (isset($_POST['submit'])){
// Insert data
$jina = $_POST['jina'];
$matokeo = $_POST['alama'];
$insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);
if ($insertResult) {
echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";
echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';
} else {
echo "Error inserting data.";
}
}
?>
<br><br><br>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<link href="style.css" rel="stylesheet">
<title>Styled Form</title>
</head>
<body>
<form action="" method="post">
<label for="jina">Jina</label><br>
<input type="text" name="jina"><br><br>
<label for="alama">Alama</label><br>
<input type="number" name="alama"><br><br>
<input type="submit" name="submit" value="Save">
</form>
</body>
</html>
edit.php
Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
// Check if the form for editing is submitted
if (isset($_POST['edit_submit'])) {
$id_to_edit = $_POST['edit_id'];
$edited_jina = $_POST['edited_jina'];
$edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];
// Edit data
$editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);
if ($editResult) {
echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";
echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';
} else {
echo "Error editing data.";
}
}
$majina = $db->to_be_edited($_GET['id']);
foreach ($majina as $jina) {
$options = $db->majina_ya_wanafunzi();
?>
<br><br><br>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<title>Styled Form</title>
<link rel="stylesheet" href="style.css">
</head>
<body>
<form action="" method="post">
<!-- Fields for editing -->
<input type="hidden" name="edit_id" id="edit_id" value="<?php echo $jina['id']?>">
<label for="edited_jina">Edited Jina</label><br>
<input type="text" name="edited_jina" id="edited_jina" value="<?php echo $jina['jina']?>"><br><br>
<label for="edited_alama">Edited Alama</label><br>
<input type="number" name=&qu...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...PHP - somo la 47: Jifunze kuhusu sql injection na kuizuia
Katika somo hili utajwenda kujifunza jinsi ya kuzuia hacking kwenye website yako
Soma Zaidi...PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...