PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..

 

Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni 

  1. Add.php
  2. Delete.php
  3. Edit.php
  4. index.php
  5. Style.css
  6. Wanafnzi_class.php.

 

 

Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.

 

index.php  

Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

?>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

   <title>Majibu Data</title>

</head>

<body>

<?php

echo '<table border="1" class="center">';

echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';

echo '<tr><th>ID</th>

<th>Name</th>

<th>Alama</th>

<th>Edit</th>

<th>Delete</th>

</tr>';

$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();

foreach ($majina as $jina) {

   $options = $db->majina_ya_wanafunzi();

  //echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';

           echo '<tr>';

           echo '<td>' .$jina['id']  . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';

           echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">✏</a> </td>';

           echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">❌</a> </td>';

           echo '</tr>';

}

echo '</table>';

?>

</body>

</html>



 

add.php 

Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

if (isset($_POST['submit'])){

// Insert data

   $jina = $_POST['jina'];

   $matokeo = $_POST['alama'];

   $insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);

 

   if ($insertResult) {

       echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';

   } else {

       echo "Error inserting data.";

   }

}

?>

<br><br><br>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link href="style.css" rel="stylesheet">

   <title>Styled Form</title>

</head>

<body>

 

<form action="" method="post">

   <label for="jina">Jina</label><br>

   <input type="text" name="jina"><br><br>

   <label for="alama">Alama</label><br>

   <input type="number" name="alama"><br><br>

   <input type="submit" name="submit" value="Save">

</form>

 

</body>

</html>


 

edit.php 

Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

// Check if the form for editing is submitted

if (isset($_POST['edit_submit'])) {

   $id_to_edit = $_POST['edit_id'];

   $edited_jina = $_POST['edited_jina'];

   $edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];

 

   // Edit data

   $editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);

 

   if ($editResult) {

       echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>'">...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 326

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 22: Kutafuta jumla, wastani na idani ya vitu kwenye database kw akutumia PHP

Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

Soma Zaidi...
PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP somo la 102: Cron job

atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

Soma Zaidi...