picha

PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..

 

Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni 

  1. Add.php
  2. Delete.php
  3. Edit.php
  4. index.php
  5. Style.css
  6. Wanafnzi_class.php.

 

 

Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.

 

index.php  

Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

?>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

   <title>Majibu Data</title>

</head>

<body>

<?php

echo '<table border="1" class="center">';

echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';

echo '<tr><th>ID</th>

<th>Name</th>

<th>Alama</th>

<th>Edit</th>

<th>Delete</th>

</tr>';

$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();

foreach ($majina as $jina) {

   $options = $db->majina_ya_wanafunzi();

  //echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';

           echo '<tr>';

           echo '<td>' .$jina['id']  . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';

           echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">✏</a> </td>';

           echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">❌</a> </td>';

           echo '</tr>';

}

echo '</table>';

?>

</body>

</html>



 

add.php 

Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

if (isset($_POST['submit'])){

// Insert data

   $jina = $_POST['jina'];

   $matokeo = $_POST['alama'];

   $insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);

 

   if ($insertResult) {

       echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';

   } else {

       echo "Error inserting data.";

   }

}

?>

<br><br><br>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link href="style.css" rel="stylesheet">

   <title>Styled Form</title>

</head>

<body>

 

<form action="" method="post">

   <label for="jina">Jina</label><br>

   <input type="text" name="jina"><br><br>

   <label for="alama">Alama</label><br>

   <input type="number" name="alama"><br><br>

   <input type="submit" name="submit" value="Save">

</form>

 

</body>

</html>


 

edit.php 

Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

// Check if the form for editing is submitted

if (isset($_POST['edit_submit'])) {

   $id_to_edit = $_POST['edit_id'];

   $edited_jina = $_POST['edited_jina'];

   $edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];

 

   // Edit data

   $editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);

 

   if ($editResult) {

       echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';

   } else {

       echo "Error editing data.";

   }

}

$majina = $db->to_be_edited($_GET['id']);

foreach ($majina as $jina) {

$options = $db->majina_ya_wanafunzi();

 

?>

<br><br><br>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <title>Styled Form</title>

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

</head>

<body>

 

<form action="" method="post">

   <!-- Fields for editing -->

   <input type="hidden" name="edit_id" id="edit_id" value="<?php echo $jina['id']?>">

   <label for="edited_jina">Edited Jina</label><br>

   <input type="text" name="edited_jina" id="edited_jina" value="<?php echo $jina['jina']?>"><br><br>

   <label for="edited_alama">Edited Alama</label><br>

   <input type="number" name=&qu...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Project File: Download PDF Views 930

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 ai web app     👉5 web hosting     👉6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
Jinsi ya kupata location ya mtu lwa kutumia IP address

Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog

Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...