PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..

 

Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni 

  1. Add.php
  2. Delete.php
  3. Edit.php
  4. index.php
  5. Style.css
  6. Wanafnzi_class.php.

 

 

Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.

 

index.php  

Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

?>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

   <title>Majibu Data</title>

</head>

<body>

<?php

echo '<table border="1" class="center">';

echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';

echo '<tr><th>ID</th>

<th>Name</th>

<th>Alama</th>

<th>Edit</th>

<th>Delete</th>

</tr>';

$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();

foreach ($majina as $jina) {

   $options = $db->majina_ya_wanafunzi();

  //echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';

           echo '<tr>';

           echo '<td>' .$jina['id']  . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';

           echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">✏</a> </td>';

           echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">❌</a> </td>';

           echo '</tr>';

}

echo '</table>';

?>

</body>

</html>



 

add.php 

Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

if (isset($_POST['submit'])){

// Insert data

   $jina = $_POST['jina'];

   $matokeo = $_POST['alama'];

   $insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);

 

   if ($insertResult) {

       echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';

   } else {

       echo "Error inserting data.";

   }

}

?>

<br><br><br>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link href="style.css" rel="stylesheet">

   <title>Styled Form</title>

</head>

<body>

 

<form action="" method="post">

   <label for="jina">Jina</label><br>

   <input type="text" name="jina"><br><br>

   <label for="alama">Alama</label><br>

   <input type="number" name="alama"><br><br>

   <input type="submit" name="submit" value="Save">

</form>

 

</body>

</html>


 

edit.php 

Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

// Check if the form for editing is submitted

if (isset($_POST['edit_submit'])) {

   $id_to_edit = $_POST['edit_id'];

   $edited_jina = $_POST['edited_jina'];

   $edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];

 

   // Edit data

   $editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);

 

   if ($editResult) {

       echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>'">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 655

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 web hosting    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 38: Jinsi ya ku upload mafaili zaidi ya moja kwa kutumia PHP

katika somo hili utajifunza jinsi ya ku upload multiple file yaani mafaili mengi kwa wakati mmoja kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 82: Content-Disposition

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

Soma Zaidi...
PHP somo la 98: Library za PHP ambazo unaweza kutumia ORM

Somo hili litakwenda kukutajia baadhi ya library za php ambazo hutumika kwa matumizi ya ORM

Soma Zaidi...
PHP somo la 88: Jisnsi ya kutengeneza json data kutoka kwenye database

Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 23: Jinsi ya kutumia condition statement kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kuona namna ya kutuia if else kwenye data zilizopo kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Soma Zaidi...