Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..
Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni
Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.
index.php
Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
?>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<link rel="stylesheet" href="style.css">
<title>Majibu Data</title>
</head>
<body>
<?php
echo '<table border="1" class="center">';
echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';
echo '<tr><th>ID</th>
<th>Name</th>
<th>Alama</th>
<th>Edit</th>
<th>Delete</th>
</tr>';
$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();
foreach ($majina as $jina) {
$options = $db->majina_ya_wanafunzi();
//echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';
echo '<tr>';
echo '<td>' .$jina['id'] . '</td>';
echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';
echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';
echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">รขลย</a> </td>';
echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">รขยล</a> </td>';
echo '</tr>';
}
echo '</table>';
?>
</body>
</html>
add.php
Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
if (isset($_POST['submit'])){
// Insert data
$jina = $_POST['jina'];
$matokeo = $_POST['alama'];
$insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);
if ($insertResult) {
echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";
echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';
} else {
echo "Error inserting data.";
}
}
?>
<br><br><br>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<link href="style.css" rel="stylesheet">
<title>Styled Form</title>
</head>
<body>
<form action="" method="post">
<label for="jina">Jina</label><br>
<input type="text" name="jina"><br><br>
<label for="alama">Alama</label><br>
<input type="number" name="alama"><br><br>
<input type="submit" name="submit" value="Save">
</form>
</body>
</html>
edit.php
Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
// Check if the form for editing is submitted
if (isset($_POST['edit_submit'])) {
$id_to_edit = $_POST['edit_id'];
$edited_jina = $_POST['edited_jina'];
$edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];
// Edit data
$editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);
if ($editResult) {
echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";
echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>'">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...