PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..

 

Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni 

  1. Add.php
  2. Delete.php
  3. Edit.php
  4. index.php
  5. Style.css
  6. Wanafnzi_class.php.

 

 

Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.

 

index.php  

Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

?>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link rel="stylesheet" href="style.css">

   <title>Majibu Data</title>

</head>

<body>

<?php

echo '<table border="1" class="center">';

echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';

echo '<tr><th>ID</th>

<th>Name</th>

<th>Alama</th>

<th>Edit</th>

<th>Delete</th>

</tr>';

$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();

foreach ($majina as $jina) {

   $options = $db->majina_ya_wanafunzi();

  //echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';

           echo '<tr>';

           echo '<td>' .$jina['id']  . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';

           echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';

           echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">รขล“ย</a> </td>';

           echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">รขยล’</a> </td>';

           echo '</tr>';

}

echo '</table>';

?>

</body>

</html>



 

add.php 

Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

if (isset($_POST['submit'])){

// Insert data

   $jina = $_POST['jina'];

   $matokeo = $_POST['alama'];

   $insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);

 

   if ($insertResult) {

       echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';

   } else {

       echo "Error inserting data.";

   }

}

?>

<br><br><br>

<!DOCTYPE html>

<html lang="en">

<head>

   <meta charset="UTF-8">

   <meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">

   <link href="style.css" rel="stylesheet">

   <title>Styled Form</title>

</head>

<body>

 

<form action="" method="post">

   <label for="jina">Jina</label><br>

   <input type="text" name="jina"><br><br>

   <label for="alama">Alama</label><br>

   <input type="number" name="alama"><br><br>

   <input type="submit" name="submit" value="Save">

</form>

 

</body>

</html>


 

edit.php 

Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-

<?php

require_once 'wanafunzi_class.php';

// Check if the form for editing is submitted

if (isset($_POST['edit_submit'])) {

   $id_to_edit = $_POST['edit_id'];

   $edited_jina = $_POST['edited_jina'];

   $edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];

 

   // Edit data

   $editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);

 

   if ($editResult) {

       echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";

       echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>'">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 600

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 web hosting    ๐Ÿ‘‰2 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰4 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰5 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somo la 52: Aina za access modifire na zinavyotofautiana.

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu access modifier ili kuweza kuthibiti nama ya kuzitumia properties kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...
PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 80: Authentication header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma

Soma Zaidi...
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu

Soma Zaidi...
PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...