Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Database ambayo tunakwend akuitumia ni ileile ya wanafunzi. Ila ongeza table nyingine iite majibu. Table hiyo iwe na column 3 ambazo ni id, jina, alama. Hakikisha column id ni autoincrement..
Project yetu tauwa na mfali 6 ambayo ni
Kama nilivyo eleza kwene somo lilotanguliwa kuwa tutatumia mfumo wa OOP yaani object oriented programming. Hivyo kama utarejea project yetu ya CRUDE operation kwa kutumia OOP unaweza kuelewa zaidi.
index.php
Tengeneza faili liite index.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
?>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<link rel="stylesheet" href="style.css">
<title>Majibu Data</title>
</head>
<body>
<?php
echo '<table border="1" class="center">';
echo '<a href="add.php"><h1>Add data</h1></a>';
echo '<tr><th>ID</th>
<th>Name</th>
<th>Alama</th>
<th>Edit</th>
<th>Delete</th>
</tr>';
$majina = $db->majina_ya_wanafunzi();
foreach ($majina as $jina) {
$options = $db->majina_ya_wanafunzi();
//echo $jina[0] . ' ' . $jina[1] . '<br>';
echo '<tr>';
echo '<td>' .$jina['id'] . '</td>';
echo '<td>' . $jina['jina'] . '</td>';
echo '<td>' . $jina['alama'] . '</td>';
echo '<td><a href="edit.php?id='.$jina['id'].'">âœ</a> </td>';
echo '<td><a href="delete.php?id='.$jina['id'].'">âŒ</a> </td>';
echo '</tr>';
}
echo '</table>';
?>
</body>
</html>
add.php
Tengeneza faili liite add.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
if (isset($_POST['submit'])){
// Insert data
$jina = $_POST['jina'];
$matokeo = $_POST['alama'];
$insertResult = $db->insertData($jina, $matokeo);
if ($insertResult) {
echo "<h1>Data inserted successfully!</h1>";
echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>';
} else {
echo "Error inserting data.";
}
}
?>
<br><br><br>
<!DOCTYPE html>
<html lang="en">
<head>
<meta charset="UTF-8">
<meta name="viewport" content="width=device-width, initial-scale=1.0">
<link href="style.css" rel="stylesheet">
<title>Styled Form</title>
</head>
<body>
<form action="" method="post">
<label for="jina">Jina</label><br>
<input type="text" name="jina"><br><br>
<label for="alama">Alama</label><br>
<input type="number" name="alama"><br><br>
<input type="submit" name="submit" value="Save">
</form>
</body>
</html>
edit.php
Tengeneza faili liite edit.php kisha pest code hizo hapo chini:-
<?php
require_once 'wanafunzi_class.php';
// Check if the form for editing is submitted
if (isset($_POST['edit_submit'])) {
$id_to_edit = $_POST['edit_id'];
$edited_jina = $_POST['edited_jina'];
$edited_matokeo = $_POST['edited_alama'];
// Edit data
$editResult = $db->editData($id_to_edit, $edited_jina, $edited_matokeo);
if ($editResult) {
echo "<h1>Data edited successfully!</h1>";
echo '<script>function quiz (){window.location.replace("index.php")}var myTimeout = setTimeout(quiz, 500)</script>'">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda jifunza jinsi ya kuhesabu row kwenye database, kutafuta wastani wa taarifa kwenye database na kutafuta idadi yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic
Soma Zaidi...