PHP somo la 76: Aina za cache header

PHP somo la 76: Aina za cache header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header

Download Post hii hapa

Aina za cache header

  1. Cache-Control 

Hii hutumika kudhibiti ni kwa namna gani header zinadhibitiwa. Cache hii ina directive kama vile:-

  1. No-cache: hii hutumika kutuma ombi moja kwa moja kwenye server kablya ya cache kufanyiwa kopi.. .header('Cache-Control: no-cache');

  2. No-store: hapa unaikataza browser kutohifadhi cache kabisa header('Cache-Control: no-store');

  3. max-age=36000: hii huweka muda ulio kikomo ambapo maudhui yatakuwa live. header('Cache-Control: max-age=3600');

  4. Must-revalidate: hapa browser inatakiwa mpaka ktuma tena cache kwa ajili ya kuthibitisha taarifa.header('Cache-Control: must-revalidate');

  5. Public: ina maana maudhui yameruhusiwa kuhifadhiwa na cache yoeyote ile header('Cache-Control: public');

  6. Private: na maana cache husika ni kwa ajiliya mtummoja tu,hivyo inakatazwa kutoa taarifa hizo kushare kwingine. header('Cache-Control: private');

 

2. Expire 

Hii hushughulika na muda ambao ukipita basi taarifa za kwenye header zitakuwa sio sahiahi ama hazitapatikana tena. Mfano header('Expires: Thu, 01 Dec 2022 16:00:00 GMT');

 

3. ETag (Entity Tag):

Hii hutumika kuweka utambulishi wa toleo la maudhui yaliyokuwepo kweye header. Utambulisho huu unaweza kutumika katika kuthibitisha uhalali wa taarifa hizo   header('ETag: "unique-identifier"'); kwenye identifier kunaweza kukaa hash data, ama database version, ama time au data yeyote itakayoweza kutumika. 

mfano:-

$file = 'path/to/your/file';

$etag = md5(filemtime($file) . filesize($file));

header('ETag: "' . $etag . '"');

 

4. Last-Modified:

Hii hutaja muda ambapo content zimefanyiwa modification kwa mara ya mwisho. Mfano header('Last-Modified: ' . gmdate('D, d M Y H:i:s') . ' GMT');

 

5. Vary:

Hii hutumika katika kudhibiti cache kabla haijafanyika inatakiwa kuangalia baadhi ya taarifa za header. Kwa mfano inaweza kuwa kama sio encoding maalumy basi cache isifanyike. Ama kama sio aina fulani ya content cache isifan">...

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 365

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database
PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database

katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header
PHP somo la 81: Cross - Orgn Resource Sharing - CORSE header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

Soma Zaidi...
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM

Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe

Soma Zaidi...
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...