Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header
Aina za cache header
Cache-Control
Hii hutumika kudhibiti ni kwa namna gani header zinadhibitiwa. Cache hii ina directive kama vile:-
No-cache: hii hutumika kutuma ombi moja kwa moja kwenye server kablya ya cache kufanyiwa kopi.. .header('Cache-Control: no-cache');
No-store: hapa unaikataza browser kutohifadhi cache kabisa header('Cache-Control: no-store');
max-age=36000: hii huweka muda ulio kikomo ambapo maudhui yatakuwa live. header('Cache-Control: max-age=3600');
Must-revalidate: hapa browser inatakiwa mpaka ktuma tena cache kwa ajili ya kuthibitisha taarifa.header('Cache-Control: must-revalidate');
Public: ina maana maudhui yameruhusiwa kuhifadhiwa na cache yoeyote ile header('Cache-Control: public');
Private: na maana cache husika ni kwa ajiliya mtummoja tu,hivyo inakatazwa kutoa taarifa hizo kushare kwingine. header('Cache-Control: private');
2. Expire
Hii hushughulika na muda ambao ukipita basi taarifa za kwenye header zitakuwa sio sahiahi ama hazitapatikana tena. Mfano header('Expires: Thu, 01 Dec 2022 16:00:00 GMT');
3. ETag (Entity Tag):
Hii hutumika kuweka utambulishi wa toleo la maudhui yaliyokuwepo kweye header. Utambulisho huu unaweza kutumika katika kuthibitisha uhalali wa taarifa hizo header('ETag: "unique-identifier"'); kwenye identifier kunaweza kukaa hash data, ama database version, ama time au data yeyote itakayoweza kutumika.
mfano:-
$file = 'path/to/your/file';
$etag = md5(filemtime($file) . filesize($file));
header('ETag: "' . $etag . '"');
4. Last-Modified:
Hii hutaja muda ambapo content zimefanyiwa modification kwa mara ya mwisho. Mfano header('Last-Modified: ' . gmdate('D, d M Y H:i:s') . ' GMT');
5. Vary:
Hii hutumika katika kudhibiti cache kabla haijafanyika inatakiwa kuangalia baadhi ya taarifa za header. Kwa mfano inaweza kuwa kama sio encoding maalumy basi cache isifanyike. Ama kama sio aina fulani ya content cache isifan">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project
Soma Zaidi...