Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header
Aina za cache header
Cache-Control
Hii hutumika kudhibiti ni kwa namna gani header zinadhibitiwa. Cache hii ina directive kama vile:-
No-cache: hii hutumika kutuma ombi moja kwa moja kwenye server kablya ya cache kufanyiwa kopi.. .header('Cache-Control: no-cache');
No-store: hapa unaikataza browser kutohifadhi cache kabisa header('Cache-Control: no-store');
max-age=36000: hii huweka muda ulio kikomo ambapo maudhui yatakuwa live. header('Cache-Control: max-age=3600');
Must-revalidate: hapa browser inatakiwa mpaka ktuma tena cache kwa ajili ya kuthibitisha taarifa.header('Cache-Control: must-revalidate');
Public: ina maana maudhui yameruhusiwa kuhifadhiwa na cache yoeyote ile header('Cache-Control: public');
Private: na maana cache husika ni kwa ajiliya mtummoja tu,hivyo inakatazwa kutoa taarifa hizo kushare kwingine. header('Cache-Control: private');
2. Expire
Hii hushughulika na muda ambao ukipita basi taarifa za kwenye header zitakuwa sio sahiahi ama hazitapatikana tena. Mfano header('Expires: Thu, 01 Dec 2022 16:00:00 GMT');
3. ETag (Entity Tag):
Hii hutumika kuweka utambulishi wa toleo la maudhui yaliyokuwepo kweye header. Utambulisho huu unaweza kutumika katika kuthibitisha uhalali wa taarifa hizo header('ETag: "unique-identifier"'); kwenye identifier kunaweza kukaa hash data, ama database version, ama time au data yeyote itakayoweza kutumika.
mfano:-
$file = 'path/to/your/file';
$etag = md5(filemtime($file) . filesize($file));
header('ETag: "' . $etag . '"');
4. Last-Modified:
Hii hutaja muda ambapo content zimefanyiwa modification kwa mara ya mwisho. Mfano header('Last-Modified: ' . gmdate('D, d M Y H:i:s') . ' GMT');
5. Vary:
Hii hutumika katika kudhibiti cache kabla haijafanyika inatakiwa kuangalia baadhi ya taarifa za header. Kwa mfano inaweza kuwa kama sio encoding maalumy basi cache isifanyike. Ama kama sio aina fulani ya content cache isifan">...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu function kwenye PHP na jinsi ya kuweza kuzitumia
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
Soma Zaidi...katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.
Soma Zaidi...