Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Aina za cache header
Aina za cache header
Cache-Control
Hii hutumika kudhibiti ni kwa namna gani header zinadhibitiwa. Cache hii ina directive kama vile:-
No-cache: hii hutumika kutuma ombi moja kwa moja kwenye server kablya ya cache kufanyiwa kopi.. .header('Cache-Control: no-cache');
No-store: hapa unaikataza browser kutohifadhi cache kabisa header('Cache-Control: no-store');
max-age=36000: hii huweka muda ulio kikomo ambapo maudhui yatakuwa live. header('Cache-Control: max-age=3600');
Must-revalidate: hapa browser inatakiwa mpaka ktuma tena cache kwa ajili ya kuthibitisha taarifa.header('Cache-Control: must-revalidate');
Public: ina maana maudhui yameruhusiwa kuhifadhiwa na cache yoeyote ile header('Cache-Control: public');
Private: na maana cache husika ni kwa ajiliya mtummoja tu,hivyo inakatazwa kutoa taarifa hizo kushare kwingine. header('Cache-Control: private');
2. Expire
Hii hushughulika na muda ambao ukipita basi taarifa za kwenye header zitakuwa sio sahiahi ama hazitapatikana tena. Mfano header('Expires: Thu, 01 Dec 2022 16:00:00 GMT');
3. ETag (Entity Tag):
Hii hutumika kuweka utambulishi wa toleo la maudhui yaliyokuwepo kweye header. Utambulisho huu unaweza kutumika katika kuthibitisha uhalali wa taarifa hizo header('ETag: "unique-identifier"'); kwenye identifier kunaweza kukaa hash data, ama database version, ama time au data yeyote itakayoweza kutumika.
mfano:-
$file = 'path/to/your/file';
$etag = md5(filemtime($file) . filesize($file));
header('ETag: "' . $etag . '"');
4. Last-Modified:
Hii hutaja muda ambapo content zimefanyiwa modification kwa mara ya mwisho. Mfano header('Last-Modified: ' . gmdate('D, d M Y H:i:s') . ' GMT');
5. Vary:
Hii hutumika katika kudhibiti cache kabla haijafanyika inatakiwa kuangalia baadhi ya taarifa za header. Kwa mfano inaweza kuwa kama sio encoding maalumy basi cache isifanyike. Ama kama sio aina fulani ya content cache isifan">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda Jinsi ya kutengeneza ORM inayofanya CDRUDE operation.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza aina kuu 3 za variable katika PHP mabzo ni local variable, global variable na static variable.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...