Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Katika mafunzo ya PHP level 2 tulishajifunza jinsi ya ku unganisha database kwa kutumia njia 2 [1] ambazo ni MySQLi na PDO. Sasa katika somo hili tutakwenda ku tengeneza database pamoja na ku connect.
Rudia mafunzo yetu endapo utapatwa na changamoto yeyyote kuhusu ku connect database.
1. Kwanza tutaandaa variable zitakazotumika kwenye faili letu:
$server_name = "localhost";
$user_name = "root";
$database_name = "my_blog";
$password = "";
2. tutaanza na kuunganisha server. Tutatumia function ta mysqli_connect()
$conn = mysqli_connect("$server_name", "$user_name", "");
3. Kisha tutatumia if() ili kunagalia kama tumeunganishwa
if ($conn) {
echo "Umeunganishwa" . '
';
} else {
echo "Hujaunganishwa" . "
";
}
4. baada ya hapo tutaelekea kutengeneza database. Ingia kwenye PHP MYADMIN kwenye sever yako kisha tengeneza database iite my_blog. Pia unaweza kutengeneza database kwa kutumia code za php hapa tutatumia IF NOT EXISTS ili kuangalia kama database haipo ndipo tutengeneze lakini kama ipo hakuna haja ya kutengeneza.
$sql = "create database IF NOT EXISTS $database_name";
Mapaka kufikia hapo utakuwa ">...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya iteration kwenye PHP OOP hapa tutakwenda kuiona jinsi inavyofanya kazi pamoja na foreach loop
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php
Soma Zaidi...