image

PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog

Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.

Katika mafunzo ya PHP level 2 tulishajifunza jinsi ya ku unganisha database kwa kutumia njia 2 [1]  ambazo ni MySQLi na PDO. Sasa katika somo hili tutakwenda ku tengeneza database pamoja na ku connect. 

Rudia mafunzo yetu endapo utapatwa na changamoto yeyyote kuhusu ku connect database.

 

1. Kwanza tutaandaa variable zitakazotumika kwenye faili letu:

$server_name = "localhost";
$user_name = "root";
$database_name = "my_blog";
$password = "";

 

2. tutaanza na kuunganisha server. Tutatumia function ta mysqli_connect()

$conn = mysqli_connect("$server_name", "$user_name", "");

3. Kisha tutatumia if() ili kunagalia kama tumeunganishwa

if ($conn) {
echo "Umeunganishwa" . '
';
} else {
echo "Hujaunganishwa" . "
";
}

4. baada ya hapo tutaelekea kutengeneza database. Ingia kwenye PHP MYADMIN kwenye sever yako kisha tengeneza database iite my_blog. Pia unaweza kutengeneza database kwa kutumia code za php hapa tutatumia IF NOT EXISTS ili kuangalia kama database haipo ndipo tutengeneze lakini kama ipo hakuna haja ya kutengeneza.

$sql = "create database IF NOT EXISTS $database_name";

 

Mapaka kufikia hapo utakuwa umefanikiwa kutengeneza database yako.">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 234


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali Soma Zaidi...

PHP somo la 58: static method kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP Soma Zaidi...

PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu Soma Zaidi...

PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database
Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database. Soma Zaidi...

PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP
katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database Soma Zaidi...

PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi
Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi Soma Zaidi...

PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function Soma Zaidi...

PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer
Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog
Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu Soma Zaidi...

PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa. Soma Zaidi...