Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza tabe na kuingiza data kw akutumia PDO:
Kabla hujaanza somo hili hakikisha una uwelewa wa database na php, na kama bado vyema urudi kwenye mafunzo yetu ya nyuma.
Sasa hapa kwanza tutakwenda kutengeneza database yenye jina wanafunzi, kisha tutatengeneza table yenye jina matokeo. Kamtika kutengeneza database na table yake tutatumia IF NOT EXISTS kwenye query ili kunagalia kama database ipo hatutatengeneza, na kama table ipo pia hatutaitengeneza.
Baada ya kutengeneza database tutatumia use query ili kuweza kuitumia. Tutaitajika kuitumia hoyo database tulioitengeneza ili kuweza kutengenza table.
Ili tuweze ku excute code za sql kwa kutumia php kwenye PDO tutatumia function inayoitwa exec() ambapo ndani yake ndipo tutaweka command za sql.
Mfano:
$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";
$conn->exec($createDatabaseQuery);
$conn->exec("USE $dbName");
// Create the table
$createTableQuery = "
CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(255) NOT NULL,
alama INT NOT NULL
)
";
$conn->exec($createTableQuery);
Utaona hapo function ya exec() imetumika ili kuweza ku run sql query. Sasa waca tuone code zote kwa pamoja zinakuwaje:-
Code zote zitakuwa hivi:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost", $dbUser, $dbPassword);
echo "Database imeunganishwa";
// Create the database if it doesn't exist
$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";
$conn->exec($createDatabaseQuery);
// Switch to the newly created database
$conn->exec("USE $dbName");
// Create the table
$createTableQuery = "
CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(255) NOT NULL,
alama INT NOT NULL
)
";
$conn->exec($createTableQuery);
echo "Database 'wanafunzi' na table 'matokeo' zimeundwa";
} catch (Exception $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa";
echo $e->getMessage();
}
$conn = null;
?>
Sasa hatuwa inayofuata ni kuingza data wenye database yetu. Hapa ttabadilisha kidogo query zetu za hapo awali. Kwanza tutaitaja database wakati wa kuunganisha kama ilivyo kwenye somo la kwanza.
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu Umeionaje Makala hii.. ? Katika somo il utajifunza kutuma email kwa watu wengi kwa kutumia PHPMailer. Pia utajifunza jinsi ya kuweka Carbon Copy na Blind Carbon Copy Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP. Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ktumia baadhi ya function za php Katika somo hili tutakwenda kujifunza kuhusu array kwenye php, na jinsi zinavyoweza kufanya kazi Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya traits kwenye OOP. hii itakusaidia ku solve baadhi ya changamoto zinazotokana na inheritance Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutengeneza system ambayo mta atajisajili pamoja na kuchat na watumiaji wengine Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu
👉1
Simulizi za Hadithi Audio
👉2
Bongolite - Game zone - Play free game
👉3
Kitau cha Fiqh
👉4
Madrasa kiganjani
👉5
Kitabu cha Afya
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
PHP somola 69: jinsi ya kutuma email kwa watu zaidi ya mmoja kwa kutumia PHPMailer
PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP
PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
PHP - somo la 30: Baadhi function za PHP
PHP - 9: Jinsi ya kuandika array kwenye PHP na kuzifanyia kazi
PHP somo la 57: class traits kwenye PHP
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO
PHP - somo la 26: Jinsi ya kutengeneza system ya ku chat kw akutumia PHP
PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP