picha

PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza tabe na kuingiza data kw akutumia PDO:

 

Kabla hujaanza somo hili hakikisha una uwelewa wa database na php, na kama bado vyema urudi kwenye mafunzo yetu ya nyuma.

 

Sasa hapa kwanza tutakwenda kutengeneza database yenye jina wanafunzi, kisha tutatengeneza table yenye jina matokeo. Kamtika kutengeneza database na table yake tutatumia IF NOT EXISTS  kwenye query ili kunagalia kama database ipo hatutatengeneza, na kama table ipo pia hatutaitengeneza.

 

  Baada ya kutengeneza database tutatumia use query ili kuweza kuitumia. Tutaitajika kuitumia hoyo database tulioitengeneza ili kuweza kutengenza table.

 

Ili tuweze ku excute code za sql kwa kutumia php kwenye PDO tutatumia function inayoitwa  exec()   ambapo ndani yake ndipo tutaweka command za sql. 

Mfano:

  1. Kutengeneza database tutatumia

$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";

$conn->exec($createDatabaseQuery);

 

  1. Kuitumia database 

$conn->exec("USE $dbName");

 

  1. Kutengeneza database

// Create the table

$createTableQuery = "

   CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (

       id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

       jina VARCHAR(255) NOT NULL,

       alama INT NOT NULL

   )

";

 

$conn->exec($createTableQuery);

 

Utaona hapo function ya exec() imetumika ili kuweza ku run sql query. Sasa waca tuone code zote kwa pamoja zinakuwaje:-

 

Code zote zitakuwa hivi:

<?php

 

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost", $dbUser, $dbPassword);

   echo "Database imeunganishwa";

 

   // Create the database if it doesn't exist

   $createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";

   $conn->exec($createDatabaseQuery);

 

   // Switch to the newly created database

   $conn->exec("USE $dbName");

 

   // Create the table

   $createTableQuery = "

       CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (

           id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

           jina VARCHAR(255) NOT NULL,

           alama INT NOT NULL

       )

   ";

 

   $conn->exec($createTableQuery);

 

   echo "Database 'wanafunzi' na table 'matokeo' zimeundwa";

} catch (Excep...

Ingia sasa ili uweze kusoma makala hii yote.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 1387

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 web hosting     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

PHP - somo la 43: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP somo la 82: Content-Disposition

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

Soma Zaidi...
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

Soma Zaidi...