Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza tabe na kuingiza data kw akutumia PDO:
Kabla hujaanza somo hili hakikisha una uwelewa wa database na php, na kama bado vyema urudi kwenye mafunzo yetu ya nyuma.
Sasa hapa kwanza tutakwenda kutengeneza database yenye jina wanafunzi, kisha tutatengeneza table yenye jina matokeo. Kamtika kutengeneza database na table yake tutatumia IF NOT EXISTS kwenye query ili kunagalia kama database ipo hatutatengeneza, na kama table ipo pia hatutaitengeneza.
Baada ya kutengeneza database tutatumia use query ili kuweza kuitumia. Tutaitajika kuitumia hoyo database tulioitengeneza ili kuweza kutengenza table.
Ili tuweze ku excute code za sql kwa kutumia php kwenye PDO tutatumia function inayoitwa exec() ambapo ndani yake ndipo tutaweka command za sql.
Mfano:
$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";
$conn->exec($createDatabaseQuery);
$conn->exec("USE $dbName");
// Create the table
$createTableQuery = "
CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(255) NOT NULL,
alama INT NOT NULL
)
";
$conn->exec($createTableQuery);
Utaona hapo function ya exec() imetumika ili kuweza ku run sql query. Sasa waca tuone code zote kwa pamoja zinakuwaje:-
Code zote zitakuwa hivi:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost", $dbUser, $dbPassword);
echo "Database imeunganishwa";
// Create the database if it doesn't exist
$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";
$conn->exec($createDatabaseQuery);
// Switch to the newly created database
$conn->exec("USE $dbName");
// Create the table
$createTableQuery = "
CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(255) NOT NULL,
alama INT NOT NULL
)
";
$conn->exec($createTableQuery);
echo "Database 'wanafunzi' na table 'matokeo' zimeundwa";
} catch (Exception $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa";
echo $e->getMessage();
}
$conn = null;
?>
Sasa hatuwa inayofuata ni kuingza data wenye database yetu. Hapa ttabadilisha kidogo query zetu za hapo awali. Kwanza tutaitaja database wakati wa kuunganisha kama ilivyo kwenye somo la kwanza.
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Authentication header, najinsi ya kutuma taarifa hizo na kuzisoma
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza jinsi ya kupata taarifa muhimu za mtumiaji kw akutumia Ip address yake.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia email() function ya PHP. Hii ni njia rahisi zaidi ya kutuma email. Ila hufanya kazi kwenye hosting.
Soma Zaidi...