PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza tabe na kuingiza data kw akutumia PDO:
Kabla hujaanza somo hili hakikisha una uwelewa wa database na php, na kama bado vyema urudi kwenye mafunzo yetu ya nyuma.
Sasa hapa kwanza tutakwenda kutengeneza database yenye jina wanafunzi, kisha tutatengeneza table yenye jina matokeo. Kamtika kutengeneza database na table yake tutatumia IF NOT EXISTS kwenye query ili kunagalia kama database ipo hatutatengeneza, na kama table ipo pia hatutaitengeneza.
Baada ya kutengeneza database tutatumia use query ili kuweza kuitumia. Tutaitajika kuitumia hoyo database tulioitengeneza ili kuweza kutengenza table.
Ili tuweze ku excute code za sql kwa kutumia php kwenye PDO tutatumia function inayoitwa exec() ambapo ndani yake ndipo tutaweka command za sql.
Mfano:
- Kutengeneza database tutatumia
$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";
$conn->exec($createDatabaseQuery);
- Kuitumia database
$conn->exec("USE $dbName");
- Kutengeneza database
// Create the table
$createTableQuery = "
CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(255) NOT NULL,
alama INT NOT NULL
)
";
$conn->exec($createTableQuery);
Utaona hapo function ya exec() imetumika ili kuweza ku run sql query. Sasa waca tuone code zote kwa pamoja zinakuwaje:-
Code zote zitakuwa hivi:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost", $dbUser, $dbPassword);
echo "Database imeunganishwa";
// Create the database if it doesn't exist
$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";
$conn->exec($createDatabaseQuery);
// Switch to the newly created database
$conn->exec("USE $dbName");
// Create the table
$createTableQuery = "
CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(255) NOT NULL,
alama INT NOT NULL
)
";
$conn->exec($createTableQuery);
echo "Database 'wanafunzi' na table 'matokeo' zimeundwa";
} catch (Excep...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function
Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html
Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako
Soma Zaidi...PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database
Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.
Soma Zaidi...PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake
Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database
Soma Zaidi...PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Soma Zaidi...