PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza tabe na kuingiza data kw akutumia PDO:

 

Kabla hujaanza somo hili hakikisha una uwelewa wa database na php, na kama bado vyema urudi kwenye mafunzo yetu ya nyuma.

 

Sasa hapa kwanza tutakwenda kutengeneza database yenye jina wanafunzi, kisha tutatengeneza table yenye jina matokeo. Kamtika kutengeneza database na table yake tutatumia IF NOT EXISTS  kwenye query ili kunagalia kama database ipo hatutatengeneza, na kama table ipo pia hatutaitengeneza.

 

  Baada ya kutengeneza database tutatumia use query ili kuweza kuitumia. Tutaitajika kuitumia hoyo database tulioitengeneza ili kuweza kutengenza table.

 

Ili tuweze ku excute code za sql kwa kutumia php kwenye PDO tutatumia function inayoitwa  exec()   ambapo ndani yake ndipo tutaweka command za sql. 

Mfano:

  1. Kutengeneza database tutatumia

$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";

$conn->exec($createDatabaseQuery);

 

  1. Kuitumia database 

$conn->exec("USE $dbName");

 

  1. Kutengeneza database

// Create the table

$createTableQuery = "

   CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (

       id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

       jina VARCHAR(255) NOT NULL,

       alama INT NOT NULL

   )

";

 

$conn->exec($createTableQuery);

 

Utaona hapo function ya exec() imetumika ili kuweza ku run sql query. Sasa waca tuone code zote kwa pamoja zinakuwaje:-

 

Code zote zitakuwa hivi:

<?php

 

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost", $dbUser, $dbPassword);

   echo "Database imeunganishwa";

 

   // Create the database if it doesn't exist

   $createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";

   $conn->exec($createDatabaseQuery);

 

   // Switch to the newly created database

   $conn->exec("USE $dbName");

 

   // Create the table

   $createTableQuery = "

       CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (

           id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

           jina VARCHAR(255) NOT NULL,

           alama INT NOT NULL

       )

   ";

 

   $conn->exec($createTableQuery);

 

   echo "Database 'wanafunzi' na table 'matokeo' zimeundwa";

} catch (Exception $e) {

 

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

}

 

$conn = null;

?>

 

Sasa hatuwa inayofuata ni kuingza data wenye database yetu. Hapa ttabadilisha kidogo query zetu za hapo awali. Kwanza tutaitaja database wakati wa kuunganisha kama ilivyo kwenye somo la kwanza.

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName ...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 472

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 4: Jinsi ya kutengeneza ukurasa kwa ajili ya kupost

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kupost kwa kutumia html form

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 9: Jinsi ya ku edit poost

Katika somo hil utawenda kujifunza jinsi ya ku edit post kwenye databse

Soma Zaidi...
PHP somo la 79: Custom header

Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake

Soma Zaidi...
PHP - somo la 46: Nini maana ya cronjob na matumizi yake

Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...