PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.
Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza tabe na kuingiza data kw akutumia PDO:
Kabla hujaanza somo hili hakikisha una uwelewa wa database na php, na kama bado vyema urudi kwenye mafunzo yetu ya nyuma.
Sasa hapa kwanza tutakwenda kutengeneza database yenye jina wanafunzi, kisha tutatengeneza table yenye jina matokeo. Kamtika kutengeneza database na table yake tutatumia IF NOT EXISTS kwenye query ili kunagalia kama database ipo hatutatengeneza, na kama table ipo pia hatutaitengeneza.
Baada ya kutengeneza database tutatumia use query ili kuweza kuitumia. Tutaitajika kuitumia hoyo database tulioitengeneza ili kuweza kutengenza table.
Ili tuweze ku excute code za sql kwa kutumia php kwenye PDO tutatumia function inayoitwa exec() ambapo ndani yake ndipo tutaweka command za sql.
Mfano:
- Kutengeneza database tutatumia
$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";
$conn->exec($createDatabaseQuery);
- Kuitumia database
$conn->exec("USE $dbName");
- Kutengeneza database
// Create the table
$createTableQuery = "
CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(255) NOT NULL,
alama INT NOT NULL
)
";
$conn->exec($createTableQuery);
Utaona hapo function ya exec() imetumika ili kuweza ku run sql query. Sasa waca tuone code zote kwa pamoja zinakuwaje:-
Code zote zitakuwa hivi:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost", $dbUser, $dbPassword);
echo "Database imeunganishwa";
// Create the database if it doesn't exist
$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";
$conn->exec($createDatabaseQuery);
// Switch to the newly created database
$conn->exec("USE $dbName");
// Create the table
$createTableQuery = "
CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (
id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,
jina VARCHAR(255) NOT NULL,
alama INT NOT NULL
)
";
$conn->exec($createTableQuery);
echo "Database 'wanafunzi' na table 'matokeo' zimeundwa";
} catch (Excep...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog
Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.
Soma Zaidi...PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP
Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP
Soma Zaidi...PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP
katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database
Soma Zaidi...PHP somo la 79: Custom header
Katika somo hili utakwenda kuhifunza kuhusu Custom header na aina zake
Soma Zaidi...PHP somo la 84: Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Maana ya JSON na sheria za kuandika faili la json
Soma Zaidi...PHP BLOG - somo la 2: Jinsi ya kutengeneza database na kuiunganisha kwenye blog
Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...