image

PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza tabe na kuingiza data kw akutumia PDO:

 

Kabla hujaanza somo hili hakikisha una uwelewa wa database na php, na kama bado vyema urudi kwenye mafunzo yetu ya nyuma.

 

Sasa hapa kwanza tutakwenda kutengeneza database yenye jina wanafunzi, kisha tutatengeneza table yenye jina matokeo. Kamtika kutengeneza database na table yake tutatumia IF NOT EXISTS  kwenye query ili kunagalia kama database ipo hatutatengeneza, na kama table ipo pia hatutaitengeneza.

 

  Baada ya kutengeneza database tutatumia use query ili kuweza kuitumia. Tutaitajika kuitumia hoyo database tulioitengeneza ili kuweza kutengenza table.

 

Ili tuweze ku excute code za sql kwa kutumia php kwenye PDO tutatumia function inayoitwa  exec()   ambapo ndani yake ndipo tutaweka command za sql. 

Mfano:

  1. Kutengeneza database tutatumia

$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";

$conn->exec($createDatabaseQuery);

 

  1. Kuitumia database 

$conn->exec("USE $dbName");

 

  1. Kutengeneza database

// Create the table

$createTableQuery = "

   CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (

       id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

       jina VARCHAR(255) NOT NULL,

       alama INT NOT NULL

   )

";

 

$conn->exec($createTableQuery);

 

Utaona hapo function ya exec() imetumika ili kuweza ku run sql query. Sasa waca tuone code zote kwa pamoja zinakuwaje:-

 

Code zote zitakuwa hivi:

<?php

 

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost", $dbUser, $dbPassword);

   echo "Database imeunganishwa";

 

   // Create the database if it doesn't exist

   $createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";

   $conn->exec($createDatabaseQuery);

 

   // Switch to the newly created database

   $conn->exec("USE $dbName");

 

   // Create the table

   $createTableQuery = "

       CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (

           id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

           jina VARCHAR(255) NOT NULL,

           alama INT NOT NULL

       )

   ";

 

   $conn->exec($createTableQuery);

 

   echo "Database 'wanafunzi' na table 'matokeo' zimeundwa";

} catch (Exception $e) {

 

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

}

 

$conn = null;

?>

 

Sasa hatuwa inayofuata ni kuingza data wenye database yetu. Hapa ttabadilisha kidogo query zetu za hapo awali. Kwanza tutaitaja database wakati wa kuunganisha kama ilivyo kwenye somo la kwanza.

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi&">...



Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 254


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

PHP somo la 66: Jinsi ya ku edit data na kufuta kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi jinsi ya ku edit ama ku update data na kuzifuta kwenye database kwa kutumia PDO Soma Zaidi...

PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming. Soma Zaidi...

PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost. Soma Zaidi...

PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blo post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website
Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php Soma Zaidi...

PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP Soma Zaidi...

PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto Soma Zaidi...

PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP. Soma Zaidi...

PHP somo la 74: aina za http headerna server variable
Katika somo hii utakwenda kujifunza aina za http header na server variable. Hapa tutakwenda kuchambuwa mgawanyiko wa httpheader na kazi zake. Soma Zaidi...

PHP BLOG - somo la 10: Jinsi ya kufanya sanitization
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufanya sanitization kwenye user input ili kuzuia sql injection kwenye database. Soma Zaidi...

PHP - somo la 42: Jinsi ya kufanya encryption na de cryption kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya encryption na decryption kwa kutumia PHP. hii itakusaidia kuongeza usalama kwenye taarifa za watu Soma Zaidi...

PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake
Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database. Soma Zaidi...