PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kutengeneza tabe na kuingiza data kw akutumia PDO:

 

Kabla hujaanza somo hili hakikisha una uwelewa wa database na php, na kama bado vyema urudi kwenye mafunzo yetu ya nyuma.

 

Sasa hapa kwanza tutakwenda kutengeneza database yenye jina wanafunzi, kisha tutatengeneza table yenye jina matokeo. Kamtika kutengeneza database na table yake tutatumia IF NOT EXISTS  kwenye query ili kunagalia kama database ipo hatutatengeneza, na kama table ipo pia hatutaitengeneza.

 

  Baada ya kutengeneza database tutatumia use query ili kuweza kuitumia. Tutaitajika kuitumia hoyo database tulioitengeneza ili kuweza kutengenza table.

 

Ili tuweze ku excute code za sql kwa kutumia php kwenye PDO tutatumia function inayoitwa  exec()   ambapo ndani yake ndipo tutaweka command za sql. 

Mfano:

  1. Kutengeneza database tutatumia

$createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";

$conn->exec($createDatabaseQuery);

 

  1. Kuitumia database 

$conn->exec("USE $dbName");

 

  1. Kutengeneza database

// Create the table

$createTableQuery = "

   CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (

       id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

       jina VARCHAR(255) NOT NULL,

       alama INT NOT NULL

   )

";

 

$conn->exec($createTableQuery);

 

Utaona hapo function ya exec() imetumika ili kuweza ku run sql query. Sasa waca tuone code zote kwa pamoja zinakuwaje:-

 

Code zote zitakuwa hivi:

<?php

 

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost", $dbUser, $dbPassword);

   echo "Database imeunganishwa";

 

   // Create the database if it doesn't exist

   $createDatabaseQuery = "CREATE DATABASE IF NOT EXISTS $dbName";

   $conn->exec($createDatabaseQuery);

 

   // Switch to the newly created database

   $conn->exec("USE $dbName");

 

   // Create the table

   $createTableQuery = "

       CREATE TABLE IF NOT EXISTS matokeo (

           id INT AUTO_INCREMENT PRIMARY KEY,

           jina VARCHAR(255) NOT NULL,

           alama INT NOT NULL

       )

   ";

 

   $conn->exec($createTableQuery);

 

   echo "Database 'wanafunzi' na table 'matokeo' zimeundwa";

} catch (Exception $e) {

 

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

}

 

$conn = null;

?>

 

Sasa hatuwa inayofuata ni kuingza data wenye database yetu. Hapa ttabadilisha kidogo query zetu za hapo awali. Kwanza tutaitaja database wakati wa kuunganisha kama ilivyo kwenye somo la kwanza.

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName ...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 891

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 12: Jinsi ya kufanyia kazi taarifa zilizokusanywa kutoka kwa mtumiaji

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 90: Jinsi ya kutumia json data kama blog post

Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 102: Cron job

atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 49: utangulizi wa Object Oriented Programming katika PHP

Huu ni mwendelezo wa mafunzo ya PHP na hapa tunaaza rasmi advanced PHP. tutakwenda kuingia ndani zaidi kwenye PHP. Ni vyema kabla ya kuanza course hii ya advanced PHP uwe una uelewa wa kutosha kuhusu mafunzo yetu ya PHP.

Soma Zaidi...