PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

Kuangalia error wakati wa ku decode json na ku encode

Kuangalia error ni moja katika mambo muhimu yanayoweza kuimarisha usalama wa project. Katika php ili kuweza kuangalia error tutatumia function ya json_last_error()  ambayo ina output value kadhaa tutakuja kuziona hapo mbele. Kisha ili kuweza ku print message ya error tutatumia function ya json_last_error_msg() hata hivyo zingatia sana kuwa hutakiwi ku print error wakati wa produnction stage.

 

Mfano

 Wakati wa ku decode

<?php

$jsonData = '{ "name": "Bongoclass", "year": 2018, "status": "Active" }';

 

// Decode JSON data

$dataObject = json_decode($jsonData);

 

// Check for JSON decoding errors

if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {

   echo 'Decoding error: ' . json_last_error_msg();

} else {

   echo 'Decoding successful!';

   // Process the decoded data

   print_r($dataObject);

}

?>

 

Inatosha pia kwenye kuangalia error hapo kuweka json_last_error() tu bila ya kuweka JSON_ERROR_NONE   hata hivyo kama kuna error maalumu umeikusudia ndipo utaweka hizi constatnt. Kkwa mfanp hii ya JSON_ERROR_NONE kwa ujumla inaangalia kama hakuna error yeyote. Lakini zipo nyingine kwa ajili ya kuangalia error maalimu.  

 

Wakati wa ku encode

Utaratibu ni uleule kama tulivyoona hapo juu. Sheria ni hizo hizo .

<?php

$data = [

   'name' => 'Bongoclass',

   'year' => 2018,

   'status' => 'Active',

];

 

// Encode data to JSON

$jsonData = json_encode($data);

 

// Check for JSON encodi">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 223

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

PHP somo la 82: Content-Disposition

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

Soma Zaidi...
PHP somo la 70: jinsi ya kutuma email yenye html, picha na attachment

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email ambayo ina HTML, pia utajifunza kutuma email yenye picha na attachment nyinginezo kama pdf

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 32: Jinsi ya kutumia filter_var() function kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kutumia filter_var() function kwa ajili ya kuchuja code zilizo hatari kwenye PHP file

Soma Zaidi...
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 3: Maana ya variable na inavyoandika kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...