Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Kuangalia error wakati wa ku decode json na ku encode
Kuangalia error ni moja katika mambo muhimu yanayoweza kuimarisha usalama wa project. Katika php ili kuweza kuangalia error tutatumia function ya json_last_error() ambayo ina output value kadhaa tutakuja kuziona hapo mbele. Kisha ili kuweza ku print message ya error tutatumia function ya json_last_error_msg() hata hivyo zingatia sana kuwa hutakiwi ku print error wakati wa produnction stage.
Mfano
Wakati wa ku decode
<?php
$jsonData = '{ "name": "Bongoclass", "year": 2018, "status": "Active" }';
// Decode JSON data
$dataObject = json_decode($jsonData);
// Check for JSON decoding errors
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
echo 'Decoding error: ' . json_last_error_msg();
} else {
echo 'Decoding successful!';
// Process the decoded data
print_r($dataObject);
}
?>
Inatosha pia kwenye kuangalia error hapo kuweka json_last_error() tu bila ya kuweka JSON_ERROR_NONE hata hivyo kama kuna error maalumu umeikusudia ndipo utaweka hizi constatnt. Kkwa mfanp hii ya JSON_ERROR_NONE kwa ujumla inaangalia kama hakuna error yeyote. Lakini zipo nyingine kwa ajili ya kuangalia error maalimu.
Wakati wa ku encode
Utaratibu ni uleule kama tulivyoona hapo juu. Sheria ni hizo hizo .
<?php
$data = [
'name' => 'Bongoclass',
'year' => 2018,
'status' => 'Active',
];
// Encode data to JSON
$jsonData = json_encode($data);
// Check for JSON encodi">
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifunza kujusu PHP variable, maana yake na sheria za uandishi wa variable
Soma Zaidi...Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri
Soma Zaidi...Katika ukurasa huu utakwenda kujifunz jinsi ya kuandika code za php kwa ajili ya kutuma post yetu kwenye blog.
Soma Zaidi...Katika somo ili utakwenda kujifunz ahatuwa kwa hatuwa jinsi ya kutengeneza json data kutkana na data ambazo zio kwenye database
Soma Zaidi...HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cross - Orgn Resource Sharing ama inafupishwa kama CORSE header
Soma Zaidi...Haya ni mabo ya kuzingatia unapo encode ama ku decode data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza kuhusu server variables
Soma Zaidi...