PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

Kuangalia error wakati wa ku decode json na ku encode

Kuangalia error ni moja katika mambo muhimu yanayoweza kuimarisha usalama wa project. Katika php ili kuweza kuangalia error tutatumia function ya json_last_error()  ambayo ina output value kadhaa tutakuja kuziona hapo mbele. Kisha ili kuweza ku print message ya error tutatumia function ya json_last_error_msg() hata hivyo zingatia sana kuwa hutakiwi ku print error wakati wa produnction stage.

 

Mfano

 Wakati wa ku decode

<?php

$jsonData = '{ "name": "Bongoclass", "year": 2018, "status": "Active" }';

 

// Decode JSON data

$dataObject = json_decode($jsonData);

 

// Check for JSON decoding errors

if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {

   echo 'Decoding error: ' . json_last_error_msg();

} else {

   echo 'Decoding successful!';

   // Process the decoded data

   print_r($dataObject);

}

?>

 

Inatosha pia kwenye kuangalia error hapo kuweka json_last_error() tu bila ya kuweka JSON_ERROR_NONE   hata hivyo kama kuna error maalumu umeikusudia ndipo utaweka hizi constatnt. Kkwa mfanp hii ya JSON_ERROR_NONE kwa ujumla inaangalia kama hakuna error yeyote. Lakini zipo nyingine kwa ajili ya kuangalia error maalimu.  

 

Wakati wa ku encode

Utaratibu ni uleule kama tulivyoona hapo juu. Sheria ni hizo hizo .

<?php

$data = [

   'name' => 'Bongoclass',

   'year' => 2018,

   'status' => 'Active',

];

 

// Encode data to JSON

$jsonData = json_encode($data);

 

// Check for JSON encodi">...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 379

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 19: Jinsi ya kudhibiti mpangilio wa data baada ya kuzisoma

Katika somo hili utajifunza kupangilia data wakati wa kuzisoma kwenye database kw akutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 56:class interface na polymorphism kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept ya interface na concept ya polymorphism kwenye PHP OOP.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 60: namespace na matumizi yake kwenye PHP

Katika somo hili utakwendakujifunza concept ya namespaces na jinsi inavyosaidi kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP somo la 94: Maana ya ORM na kazi zake

Katika somo hili utakwenda kujifunzo kuhusu teknolojia ya ORM na inavyotumika kulinda usalama wa database

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

Soma Zaidi...
PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM

Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe

Soma Zaidi...