Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data
Kuangalia error wakati wa ku decode json na ku encode
Kuangalia error ni moja katika mambo muhimu yanayoweza kuimarisha usalama wa project. Katika php ili kuweza kuangalia error tutatumia function ya json_last_error() ambayo ina output value kadhaa tutakuja kuziona hapo mbele. Kisha ili kuweza ku print message ya error tutatumia function ya json_last_error_msg() hata hivyo zingatia sana kuwa hutakiwi ku print error wakati wa produnction stage.
Mfano
Wakati wa ku decode
<?php
$jsonData = '{ "name": "Bongoclass", "year": 2018, "status": "Active" }';
// Decode JSON data
$dataObject = json_decode($jsonData);
// Check for JSON decoding errors
if (json_last_error() !== JSON_ERROR_NONE) {
echo 'Decoding error: ' . json_last_error_msg();
} else {
echo 'Decoding successful!';
// Process the decoded data
print_r($dataObject);
}
?>
Inatosha pia kwenye kuangalia error hapo kuweka json_last_error() tu bila ya kuweka JSON_ERROR_NONE hata hivyo kama kuna error maalumu umeikusudia ndipo utaweka hizi constatnt. Kkwa mfanp hii ya JSON_ERROR_NONE kwa ujumla inaangalia kama hakuna error yeyote. Lakini zipo nyingine kwa ajili ya kuangalia error maalimu.
Wakati wa ku encode
Utaratibu ni uleule kama tulivyoona hapo juu. Sheria ni hizo hizo .
<?php
$data = [
'name' => 'Bongoclass',
'year' => 2018,
'status' => 'Active',
];
// Encode data to JSON
$jsonData = json_encode($data);
// Check for JSON encoding errors
...
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowKatika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia taarifa ambazo zimekusanywa kutoka kwa mtumiaji ili kuweka kutatuwa hoja mbalimbali
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku upload mafaili kwenye server kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina za loop DO, FOR, FOREACH LOOPS kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()
Soma Zaidi...Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...