PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Kufanya hashing

Moja katika somo muhimu kwa ajili ya usalama wa kazi yako ni hii ya kutumia hashing. Chukulia mfano password yako ni admin123 sas akule kwenye database hii password ni hatari kama itaonekana hivihivi. Hivyo basi tunatakiwa kubadili kuwa hatika namna tofauti ili mtu asiweze kuijuwa hata kama ikitokea amehack database. Kwa mfano passowr hivyo kwenye database inaweza kuwa hivi 0192023a7bbd73250516f069df18b500

 

Je hii ni njia sahihi kiusalama?

Jibu ndio, mpaka sasa hakujatokea teknolojia ya kuweza kuijuwa password ambayo imefanhyiwa hashing. Hata hivyo zipo software hutumiwa ili kuweza kuges password. Pia endapo mtu ataipata hiyo hash anaweza kutumia vifaa mbalimbali kuweza kupata password ambayo itafanana na hiyo na kweza ku login.

Password ikiwa hashed haiwezi kurudishwa tena katika hali ya kawaida. Ndio maana hii ni njia salama zaidi kuliko encryption ama kuwacha password kuwa plain text. Kuna function kadhaa za kufanya hashing ambazo ni md5(), sha1() na hash() na password_hash().

 

  1. Kwa kutumia md5()

$password = "admin123";

$hasshed_password = md5($password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokeo 0192023a7bbd73250516f069df18b500

 

  1. Kwa kutumia sha1()

$password = "admin123";

$hasshed_password = sha1($password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokea f865b53623b121fd34ee5426c792e5c33af8c227

 

  1. Kwa kutumia hash()

Hii ina utofauti kidogo, yenyewe ina parameter 2 za lazima kwanza ni gost au gost-crypto, na ya pili ni password yako.

$password = "admin123";

$hasshed_password = hash('gost',$password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokeao 6fea3e5f10dff1f2f6be984728d8b9ae84ecc0412024ce8e55b4c22970268801

 

Katika njia 3 hizo nilizotaja hapo hiyo ya mwisho ni salama zaidi. Hata hivyo kuna namna ya kuzifanya hizo za pili lkuwa salama zaidi. Ni kwa kutumia neno la siri jingine ambayo itatumiaka kwenye kutengeneza password. Kwa mfano tunaweza kutumia neno myall@pass# 1+)lkhd sasa hili neno litatusaidia katika kutengeneza hash ambayo sio rahisi ku predict.

 

Kwa md5

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = md5($password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea 4e0c20ed60ac98b646b886740ab59344

 

Kwa sh1

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = sha1($password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea 3af05cd45ac6a5b373f6fe2b29864ac6ea7de344

 

Kwa hash

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = hash('gost',$password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea e308f01a40829fc0a3c7a164205048d9461967d1c0941b7624bd17ede270178e

 

Utaona hapo hizo hash zimekuja tofauti na zilivyo mwanza. Hii password hata mmiliki wa hiyo database hawezi kuijuwa yee lamda ataweza kuona hizo hash tu lakini ni password gani unayotumia hawezi kuijuwa.

 

password_hash()

Sasa kuna njia nyuingine ambayo ni salama zaidi. Nayo ni pasword_hash() function. Hii yenyewe inafanyika katika njia kuu 3 ambazo ni kwa kutumia

  1. PASSWORD_BCRYPT

  2. PASSWORD_ARGON2I

  3. PASSWORD_DEFAULT

 

 

Mfano

  1. Kwa kutumia PASSWO">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Nyuma Endelea


    Je umeipenda post hii ?

    Ndio            Hapana            Save post
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 252

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitabu cha Afya   

    Post zinazofanana:

    Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

    Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 87: Jinsi ya kuangalia error wakati wa ku decode na ku encode json data

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisni ya kudhibiti error ambazo zinaweza kutokea wakati wa ku encode na ku decoe json data

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 62: Project ya CRUDE operation kwa kutumia PHP - OOP na MySQL database

    Katika project hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PHP OOP na MySQL database.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

    Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

    HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 31: Matumizi ya include() na require() function kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function za PHP kama require() na iclude()

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...