PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP
Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.
Kufanya hashing
Moja katika somo muhimu kwa ajili ya usalama wa kazi yako ni hii ya kutumia hashing. Chukulia mfano password yako ni admin123 sas akule kwenye database hii password ni hatari kama itaonekana hivihivi. Hivyo basi tunatakiwa kubadili kuwa hatika namna tofauti ili mtu asiweze kuijuwa hata kama ikitokea amehack database. Kwa mfano passowr hivyo kwenye database inaweza kuwa hivi 0192023a7bbd73250516f069df18b500
Je hii ni njia sahihi kiusalama?
Jibu ndio, mpaka sasa hakujatokea teknolojia ya kuweza kuijuwa password ambayo imefanhyiwa hashing. Hata hivyo zipo software hutumiwa ili kuweza kuges password. Pia endapo mtu ataipata hiyo hash anaweza kutumia vifaa mbalimbali kuweza kupata password ambayo itafanana na hiyo na kweza ku login.
Password ikiwa hashed haiwezi kurudishwa tena katika hali ya kawaida. Ndio maana hii ni njia salama zaidi kuliko encryption ama kuwacha password kuwa plain text. Kuna function kadhaa za kufanya hashing ambazo ni md5(), sha1() na hash() na password_hash().
-
Kwa kutumia md5()
$password = "admin123";
$hasshed_password = md5($password);
echo $hasshed_password;
?>
Hii itakupa matokeo 0192023a7bbd73250516f069df18b500
-
Kwa kutumia sha1()
$password = "admin123";
$hasshed_password = sha1($password);
echo $hasshed_password;
?>
Hii itakupa matokea f865b53623b121fd34ee5426c792e5c33af8c227
-
Kwa kutumia hash()
Hii ina utofauti kidogo, yenyewe ina parameter 2 za lazima kwanza ni gost au gost-crypto, na ya pili ni password yako.
$password = "admin123";
$hasshed_password = hash('gost',$password);
echo $hasshed_password;
?>
Hii itakupa matokeao 6fea3e5f10dff1f2f6be984728d8b9ae84ecc0412024ce8e55b4c22970268801
Katika njia 3 hizo nilizotaja hapo hiyo ya mwisho ni salama zaidi. Hata hivyo kuna namna ya kuzifanya hizo za pili lkuwa salama zaidi. Ni kwa kutumia neno la siri jingine ambayo itatumiaka kwenye kutengeneza password. Kwa mfano tunaweza kutumia neno myall@pass# 1+)lkhd sasa hili neno litatusaidia katika kutengeneza hash ambayo sio rahisi ku predict.
Kwa md5
$password = "admin123";
$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";
$hasshed_password = md5($password.$neno_siri);
echo $hasshed_password;
Itakuletea 4e0c20ed60ac98b646b886740ab59344
Kwa sh1
$password = "admin123";
$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";
$hasshed_password = sha1($password.$neno_siri);
echo $hasshed_password;
Itakuletea 3af05cd45ac6a5b373f6fe2b29864ac6ea7de344
Kwa hash
$password = "admin123";
$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";
$hasshed_password = hash('gost',$password.$neno_siri);
echo $hasshed_password;
Itakuletea e308f01a40829fc0a3c7a164205048d9461967d1c0941b7624bd17ede270178e
Utaona hapo hizo hash zimekuja tofauti na zilivyo mwanza. Hii password hata mmiliki wa hiyo database hawezi kuijuwa yee lamda ataweza kuona hizo hash tu lakini ni password gani unayotumia hawezi kuijuwa.
password_hash()
Sasa kuna njia nyuingine ambayo ni salama zaidi. Nayo ni pasword_hash() function. Hii yenyewe inafanyika katika njia kuu 3 ambazo ni kwa kutumia
-
PASSWORD_BCRYPT
-
PASSWORD_ARGON2I
-
PASSWORD_DEFAULT
Mfano
-
Kwa kutumia PASSWORD_BCRYPT
$password = "admin123...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake
Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.
Soma Zaidi...PHP somo la 95: Jinsi ya kutengeneza customer ORM
Katika somo hili uttakwend akujifunz ajinsi ambavyo utaweza kutengeneza simple ORM yakwako mwenyewe
Soma Zaidi...PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable
Soma Zaidi...PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...PHP somo la 71: Jinsi ya kutengeneza PDF kwa kutumia PHP na library ya tcpdf
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku generate PDF automatik kutoka kwenye php code , html, javascript na css.
Soma Zaidi...PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...