PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Kufanya hashing

Moja katika somo muhimu kwa ajili ya usalama wa kazi yako ni hii ya kutumia hashing. Chukulia mfano password yako ni admin123 sas akule kwenye database hii password ni hatari kama itaonekana hivihivi. Hivyo basi tunatakiwa kubadili kuwa hatika namna tofauti ili mtu asiweze kuijuwa hata kama ikitokea amehack database. Kwa mfano passowr hivyo kwenye database inaweza kuwa hivi 0192023a7bbd73250516f069df18b500

 

Je hii ni njia sahihi kiusalama?

Jibu ndio, mpaka sasa hakujatokea teknolojia ya kuweza kuijuwa password ambayo imefanhyiwa hashing. Hata hivyo zipo software hutumiwa ili kuweza kuges password. Pia endapo mtu ataipata hiyo hash anaweza kutumia vifaa mbalimbali kuweza kupata password ambayo itafanana na hiyo na kweza ku login.

Password ikiwa hashed haiwezi kurudishwa tena katika hali ya kawaida. Ndio maana hii ni njia salama zaidi kuliko encryption ama kuwacha password kuwa plain text. Kuna function kadhaa za kufanya hashing ambazo ni md5(), sha1() na hash() na password_hash().

 

  1. Kwa kutumia md5()

$password = "admin123";

$hasshed_password = md5($password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokeo 0192023a7bbd73250516f069df18b500

 

  1. Kwa kutumia sha1()

$password = "admin123";

$hasshed_password = sha1($password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokea f865b53623b121fd34ee5426c792e5c33af8c227

 

  1. Kwa kutumia hash()

Hii ina utofauti kidogo, yenyewe ina parameter 2 za lazima kwanza ni gost au gost-crypto, na ya pili ni password yako.

$password = "admin123";

$hasshed_password = hash('gost',$password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokeao 6fea3e5f10dff1f2f6be984728d8b9ae84ecc0412024ce8e55b4c22970268801

 

Katika njia 3 hizo nilizotaja hapo hiyo ya mwisho ni salama zaidi. Hata hivyo kuna namna ya kuzifanya hizo za pili lkuwa salama zaidi. Ni kwa kutumia neno la siri jingine ambayo itatumiaka kwenye kutengeneza password. Kwa mfano tunaweza kutumia neno myall@pass# 1+)lkhd sasa hili neno litatusaidia katika kutengeneza hash ambayo sio rahisi ku predict.

 

Kwa md5

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = md5($password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea 4e0c20ed60ac98b646b886740ab59344

 

Kwa sh1

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = sha1($password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea 3af05cd45ac6a5b373f6fe2b29864ac6ea7de344

 

Kwa hash

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = hash('gost',$password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea e308f01a40829fc0a3c7a164205048d9461967d1c0941b7624bd17ede270178e

 

Utaona hapo hizo hash zimekuja tofauti na zilivyo mwanza. Hii password hata mmiliki wa hiyo database hawezi kuijuwa yee lamda ataweza kuona hizo hash tu lakini ni password gani unayotumia hawezi kuijuwa.

 

password_hash()

Sasa kuna njia nyuingine ambayo ni salama zaidi. Nayo ni pasword_hash() function. Hii yenyewe inafanyika katika njia kuu 3 ambazo ni kwa kutumia

  1. PASSWORD_BCRYPT

  2. PASSWORD_ARGON2I

  3. PASSWORD_DEFAULT

 

 

Mfano

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 357

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 36: Jinsi ya ku upload taarifa za mafaili kwenye database kw akutumia PHP

katika somo hili utajfunza kukusanya taarifa za mafaili. kisha ku upload hayo mafaili. kisha kuandika hizo taarifa za mafaii kwenye database

Soma Zaidi...
PHP somo la 58: static method kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 14: Jinsi ya kutengeneza database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza database kwenye mysql database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 17: Jinsi ya kuingiza data kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuingiza data kwenye dtabase kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 6: Jinsi ya kutengeneza dashboard kwa ajili ya blog

katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...