Menu



PHP - somo la 41: Jinsi ya kufanya hashing kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsiya kufanya hashing taarifa muhimu kama password. Kufanya hashing kunaongeza usalama wa taarifa za waumiaji kwenye blog yako.

Kufanya hashing

Moja katika somo muhimu kwa ajili ya usalama wa kazi yako ni hii ya kutumia hashing. Chukulia mfano password yako ni admin123 sas akule kwenye database hii password ni hatari kama itaonekana hivihivi. Hivyo basi tunatakiwa kubadili kuwa hatika namna tofauti ili mtu asiweze kuijuwa hata kama ikitokea amehack database. Kwa mfano passowr hivyo kwenye database inaweza kuwa hivi 0192023a7bbd73250516f069df18b500

 

Je hii ni njia sahihi kiusalama?

Jibu ndio, mpaka sasa hakujatokea teknolojia ya kuweza kuijuwa password ambayo imefanhyiwa hashing. Hata hivyo zipo software hutumiwa ili kuweza kuges password. Pia endapo mtu ataipata hiyo hash anaweza kutumia vifaa mbalimbali kuweza kupata password ambayo itafanana na hiyo na kweza ku login.

Password ikiwa hashed haiwezi kurudishwa tena katika hali ya kawaida. Ndio maana hii ni njia salama zaidi kuliko encryption ama kuwacha password kuwa plain text. Kuna function kadhaa za kufanya hashing ambazo ni md5(), sha1() na hash() na password_hash().

 

  1. Kwa kutumia md5()

$password = "admin123";

$hasshed_password = md5($password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokeo 0192023a7bbd73250516f069df18b500

 

  1. Kwa kutumia sha1()

$password = "admin123";

$hasshed_password = sha1($password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokea f865b53623b121fd34ee5426c792e5c33af8c227

 

  1. Kwa kutumia hash()

Hii ina utofauti kidogo, yenyewe ina parameter 2 za lazima kwanza ni gost au gost-crypto, na ya pili ni password yako.

$password = "admin123";

$hasshed_password = hash('gost',$password);

echo $hasshed_password;

?>

Hii itakupa matokeao 6fea3e5f10dff1f2f6be984728d8b9ae84ecc0412024ce8e55b4c22970268801

 

Katika njia 3 hizo nilizotaja hapo hiyo ya mwisho ni salama zaidi. Hata hivyo kuna namna ya kuzifanya hizo za pili lkuwa salama zaidi. Ni kwa kutumia neno la siri jingine ambayo itatumiaka kwenye kutengeneza password. Kwa mfano tunaweza kutumia neno myall@pass# 1+)lkhd sasa hili neno litatusaidia katika kutengeneza hash ambayo sio rahisi ku predict.

 

Kwa md5

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = md5($password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea 4e0c20ed60ac98b646b886740ab59344

 

Kwa sh1

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = sha1($password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea 3af05cd45ac6a5b373f6fe2b29864ac6ea7de344

 

Kwa hash

$password = "admin123";

$neno_siri = "myall@pass# 1+)lkhd";

$hasshed_password = hash('gost',$password.$neno_siri);

echo $hasshed_password;

Itakuletea e308f01a40829fc0a3c7a164205048d9461967d1c0941b7624bd17ede270178e

 

Utaona hapo hizo hash zimekuja tofauti na zilivyo mwanza. Hii password hata mmiliki wa hiyo database hawezi kuijuwa yee lamda ataweza kuona hizo hash tu lakini ni password gani unayotumia hawezi kuijuwa.

 

password_hash()

Sasa kuna njia nyuingine ambayo ni salama zaidi. Nayo ni pasword_hash() function. Hii yenyewe inafanyika katika njia kuu 3 ambazo ni kwa kutumia

  1. PASSWORD_BCRYPT

  2. PASSWORD_ARGON2I

  3. PASSWORD_DEFAULT

 

 

Mfano

  1. Kwa kutumia PASSWO">...

    Download App Yetu

    Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

    Download Now Bongoclass

    Nyuma Endelea

    Ndio     Hapana     Save post
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: Masomo File: Download PDF Views 236

    Share On:

    Facebook WhatsApp

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO

    Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 58: static method kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 29: Jinsi ya kaundika function kwenye php

    Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

    Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 50: Jinsi ya kutengeneza CLASS na OBJECT kwenye PHP OOP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza class na object. Tunakwenda kutumia mfano wetu wa hapo juu kwa ajili ya kukamilisha somo hili.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

    Soma Zaidi...
    PHP -somo la 6: Jinsi ya kusoma saa na tarehe kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma muda kama saa na tarehe kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP BLOG - somo la 8: Jinsi ya kufuta post kwenye database

    katika post hii utajifunza jinsi ya kufuta post kwenye database. pia utajifunza jinsi ya kufuta picha kwenye server

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

    Soma Zaidi...