Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Hapa tutakwenda kutumia database yetu tuliotengeneza somolililopita. Pia tutakwend akusima data ambazo tumeingiza kutoka katika somo lililopita.
Ili kuweza kusoma data kwenye data kwenye database tutatumia SELECT . Kwa mfano tutaandika
$query = "SELECT * FROM matokeo";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
Kisha baada ya hapo tutatumia loop ili kuweza kuprint matokeo ya hizo data ambazo tume select hapo juu loop ipo nyingi lakini hapa tutakwenda kutumia loop tatu ambazoni:-
Kwa kutumia for loop:
Baada ya ku select tutatumia fetchAll() method ili kuweza kuchukuwa data kutoka kwenye database.
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
// Code to read data from the database
$query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
// Fetch all data into an array
$result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);
// Use a for loop to iterate through the array
for ($i = 0; $i < count($result); $i++) {
$row = $result[$i];
// Access individual columns using $row['column_name']
echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";
}
} catch (Exception $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa";
echo $e->getMessage();
} finally {
// Close the connection
$conn = null;
}
?>
Kwa kutumia while loop:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
// Code to read data from the database
$query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
// Fetch data using fetch with while loop
while ($row = $stmt->fetch(PDO::FETCH_ASSOC)) {
// Access individual columns using $row['column_name']
echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";
}
} catch (Exception $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa";
echo $e->getMessage();
...
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Katika somo hili utakwenda kujifundisha kuhus matumizi ya function kwenye php. Pia utajifunza jinsi ya kuandika function
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utaweza kujifunza ni kwa nambna gani utaweza kutengeneza blog post na kuisoma kwa kutumia data za json
Soma Zaidi...Katika somo hili unakwenda kujifunza jinsi y kutengeneza database na kuungansha kwenye blog yetu.
Soma Zaidi...hapa utawenda utuma database wa ajl ya utengeneza maudhu ya PDF.
Soma Zaidi...katika post hii utajifunza jinsi ya kutengeneza ukurasa wa dashboard kwa ajili ya kutibti post
Soma Zaidi...Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.
Soma Zaidi...