PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Hapa tutakwenda kutumia database yetu tuliotengeneza somolililopita. Pia tutakwend akusima data ambazo tumeingiza kutoka katika somo lililopita.

 

Ili kuweza kusoma data kwenye data kwenye database tutatumia SELECT . Kwa mfano tutaandika

 $query = "SELECT * FROM matokeo";

    $stmt = $conn->prepare($query);

    $stmt->execute();

 

Kisha baada ya hapo tutatumia loop  ili kuweza kuprint matokeo ya hizo data ambazo tume select hapo juu loop ipo nyingi lakini hapa tutakwenda kutumia loop tatu ambazoni:-

  1. for LOOP
  2. While loop
  3. Foreach loop


 

Kwa kutumia for loop:

Baada ya ku select tutatumia fetchAll() method ili kuweza kuchukuwa data kutoka kwenye database.

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch all data into an array

   $result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);

 

   // Use a for loop to iterate through the array

   for ($i = 0; $i < count($result); $i++) {

       $row = $result[$i];

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (Exception $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

} finally {

   // Close the connection

   $conn = null;

}

?>

 

 



 

Kwa kutumia while loop:

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch data using fetch with while loop

   while ($row = $stmt->fetch(PDO::FETCH_ASSOC)) {

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (Exception $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 367

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

PHP BLOG - somo la 12: Jinsi ya kutumia prepared statement kwenye kusoma post za blog

Katika somo hili tutakwenda kutumia prepared ststement kwenye ku fetch data kutoka kwenye database.

Soma Zaidi...
PHP somola 78: Cookie Headers

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 3: Jinsi ya kutengeneza table kwenye databse kwa ajili ya blog

Hapa utajifunza jinsi ya kutengeneza table ambayo tutaitumia kwenye blog yetu

Soma Zaidi...
PHP -somo la 33: Matumizi ya while loop kwenye PHP

Katika somo hili utajifunza jinsi ya kuandika while loop kwenye PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 85: Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Katika somo hili utakwenda kujifunza Jinsi ya utengeneza json data kwa utumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP

Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password

Soma Zaidi...
PHP somo la 64: Jinsi ya kutengeneza database na kuingiza data kwa kuumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PDO kutengeneza database, kuteneneza table na kuingiza data moja na zaidi ya moja.

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: PHP OOP class constant

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 7: Jinsi ya kaundika function yakwako

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika function yako mwenyewe yaani user defined function

Soma Zaidi...