PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Hapa tutakwenda kutumia database yetu tuliotengeneza somolililopita. Pia tutakwend akusima data ambazo tumeingiza kutoka katika somo lililopita.

 

Ili kuweza kusoma data kwenye data kwenye database tutatumia SELECT . Kwa mfano tutaandika

 $query = "SELECT * FROM matokeo";

    $stmt = $conn->prepare($query);

    $stmt->execute();

 

Kisha baada ya hapo tutatumia loop  ili kuweza kuprint matokeo ya hizo data ambazo tume select hapo juu loop ipo nyingi lakini hapa tutakwenda kutumia loop tatu ambazoni:-

  1. for LOOP
  2. While loop
  3. Foreach loop


 

Kwa kutumia for loop:

Baada ya ku select tutatumia fetchAll() method ili kuweza kuchukuwa data kutoka kwenye database.

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch all data into an array

   $result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);

 

   // Use a for loop to iterate through the array

   for ($i = 0; $i < count($result); $i++) {

       $row = $result[$i];

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (Exception $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

} finally {

   // Close the connection

   $conn = null;

}

?>

 

 



 

Kwa kutumia while loop:

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch data using fetch with while loop

   while ($row = $stmt->fetch(PDO::FETCH_ASSOC)) {

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (Exception $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

...

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 331

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

PHP somo la 89: Jinsi ya kutumia data za json kwenye program ya php na html

Katika somo hili utakwend akujifunza ni kwa namna gani utaweza kuzitumiadata za jsonkwenye program yako

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 59: static property kwenye PHP

Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

Soma Zaidi...
PHP - somo la 2: sheria za uandishi wa code za PHP

Katika somo hili utajifunza kuhusu syntax za PHP

Soma Zaidi...
PHP somo la 101: Advanced RedBeanPHP - Usimamizi wa Database, Usalama, na Ufanisi

Hili ni somo la mwisho katika mfululizo huu wa ORM, kupata ujuzi zaidi endelea kusoma ORM nyinginezo ambazo nimetangulia kuzitaja awali ya masomo haya.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 75: Content-Type Header

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.

Soma Zaidi...
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function

Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 21: Jinsi ya kutafuta kitu kwenye database kwa mutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifundisha jinsi ya kutafuta taarifa maalumu kwenye database kwa kutumia PHP

Soma Zaidi...
PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

Soma Zaidi...