PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Hapa tutakwenda kutumia database yetu tuliotengeneza somolililopita. Pia tutakwend akusima data ambazo tumeingiza kutoka katika somo lililopita.

 

Ili kuweza kusoma data kwenye data kwenye database tutatumia SELECT . Kwa mfano tutaandika

 $query = "SELECT * FROM matokeo";

    $stmt = $conn->prepare($query);

    $stmt->execute();

 

Kisha baada ya hapo tutatumia loop  ili kuweza kuprint matokeo ya hizo data ambazo tume select hapo juu loop ipo nyingi lakini hapa tutakwenda kutumia loop tatu ambazoni:-

  1. for LOOP
  2. While loop
  3. Foreach loop


 

Kwa kutumia for loop:

Baada ya ku select tutatumia fetchAll() method ili kuweza kuchukuwa data kutoka kwenye database.

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch all data into an array

   $result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);

 

   // Use a for loop to iterate through the array

   for ($i = 0; $i < count($result); $i++) {

       $row = $result[$i];

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (Exception $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

} finally {

   // Close the connection

   $conn = null;

}

?>

 

 



 

Kwa kutumia while loop:

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch data using fetch with while loop

   while ($row = $stmt->fetch(PDO::FETCH_ASSOC)) {

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (Exception $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 576

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 11: Jinsi ya kutumia prepared statement

Katika somo hili utajifnza jinsi ya kufanya prepared statement kama njia ya kuzuia sql ingection kwenye PHP blog

Soma Zaidi...
PHP somo la 82: Content-Disposition

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu aina ya header inayoitwa Content-Disposition

Soma Zaidi...
PHP - somo la 24: Jinsi ya ku upload file kwenye database na kulisoma kw akutumia php

Katika somo hili utajifnza jinsi ya ku upload file kwenye database. Kisha utajifunza jinsi ya kulisoma faili hilo kwa kutumia php

Soma Zaidi...
PHP somo la 102: Cron job

atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

Soma Zaidi...
PHP somola 63: Jinsi ya ku connect database kwa kutumia PDO na faida zake

Katika soo hili utakwenda kujifunza umuhmu wa kutumia PDO kwenye PHP kwa ajili ya kutumia database.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 48: Jinsi ya kuzuia hacking kwenye sytem ya kujisajili na ku login

Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo utaweza kutengeneza mfumo wa kuisajiki na ku login, kisha kuangalia usalama wa mfumo kwa kuzuia sql injection.

Soma Zaidi...
PHP somo la 93: Jinsi ya kutumia faili la env

Faili la env ni moja kati ya mafaili ambayo ni muhimu kwa usalama wa project. Fili hili hutumika kuhifadhi data za siri

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 7: Jinsi ya kutengeneza ukurasa wa kusoma post kwenye blog

HApa utakwenda kujifunza sasa namna ya kuzisoma post kutoka kwenye blog

Soma Zaidi...