PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Hapa tutakwenda kutumia database yetu tuliotengeneza somolililopita. Pia tutakwend akusima data ambazo tumeingiza kutoka katika somo lililopita.
Ili kuweza kusoma data kwenye data kwenye database tutatumia SELECT . Kwa mfano tutaandika
$query = "SELECT * FROM matokeo";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
Kisha baada ya hapo tutatumia loop ili kuweza kuprint matokeo ya hizo data ambazo tume select hapo juu loop ipo nyingi lakini hapa tutakwenda kutumia loop tatu ambazoni:-
- for LOOP
- While loop
- Foreach loop
Kwa kutumia for loop:
Baada ya ku select tutatumia fetchAll() method ili kuweza kuchukuwa data kutoka kwenye database.
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
// Code to read data from the database
$query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
// Fetch all data into an array
$result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);
// Use a for loop to iterate through the array
for ($i = 0; $i < count($result); $i++) {
$row = $result[$i];
// Access individual columns using $row['column_name']
echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";
}
} catch (Exception $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa";
echo $e->getMessage();
} finally {
// Close the connection
$conn = null;
}
?>
Kwa kutumia while loop:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
&...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Kitabu cha Afya 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Madrasa kiganjani 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
PHP somo la 102: Cron job
atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic
Soma Zaidi...PHP somo la 67: Project ya CUDE operaton wa utuma OOP na PDO
Katika somo hii utakwenda kujifunza jinsi ya kufanya CRUDE operation kwa kutumia PDO. crude operation inahusu create, read, update. Delete.
Soma Zaidi...PHP - somo la 37: Jinsi ya kutengeneza blog post kwa kutumia PHP
Katika somo hili utajifunza jinsi ambavyo unaweza kutengeneza blog ambayo utaweza ku upload faili na kuandika makala kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming
Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.
Soma Zaidi...PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .
Soma Zaidi...PHP somo la 97: Jinsi ya kuchakata data zaidi kwa kutumia ORM
Katika somo hili utakwenda kujifunz akuchakata data zaidi kw akutumia ORM kama ku join table
Soma Zaidi...