Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Hapa tutakwenda kutumia database yetu tuliotengeneza somolililopita. Pia tutakwend akusima data ambazo tumeingiza kutoka katika somo lililopita.
Ili kuweza kusoma data kwenye data kwenye database tutatumia SELECT . Kwa mfano tutaandika
$query = "SELECT * FROM matokeo";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
Kisha baada ya hapo tutatumia loop ili kuweza kuprint matokeo ya hizo data ambazo tume select hapo juu loop ipo nyingi lakini hapa tutakwenda kutumia loop tatu ambazoni:-
Kwa kutumia for loop:
Baada ya ku select tutatumia fetchAll() method ili kuweza kuchukuwa data kutoka kwenye database.
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
// Code to read data from the database
$query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
// Fetch all data into an array
$result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);
// Use a for loop to iterate through the array
for ($i = 0; $i < count($result); $i++) {
$row = $result[$i];
// Access individual columns using $row['column_name']
echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";
}
} catch (Exception $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa";
echo $e->getMessage();
} finally {
// Close the connection
$conn = null;
}
?>
Kwa kutumia while loop:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
&...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu static method na inavtotumika kwenye OOP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http header, maana yake na jinsi ya kusoma taarifa zilizopo kwenye http header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu content-type header.
Soma Zaidi...Katika somo hili utajifunza kuhusu cronjob na matumizi yake kwenye PHP
Soma Zaidi...Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject
Soma Zaidi...