PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO
Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.
Hapa tutakwenda kutumia database yetu tuliotengeneza somolililopita. Pia tutakwend akusima data ambazo tumeingiza kutoka katika somo lililopita.
Ili kuweza kusoma data kwenye data kwenye database tutatumia SELECT . Kwa mfano tutaandika
$query = "SELECT * FROM matokeo";
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
Kisha baada ya hapo tutatumia loop ili kuweza kuprint matokeo ya hizo data ambazo tume select hapo juu loop ipo nyingi lakini hapa tutakwenda kutumia loop tatu ambazoni:-
- for LOOP
- While loop
- Foreach loop
Kwa kutumia for loop:
Baada ya ku select tutatumia fetchAll() method ili kuweza kuchukuwa data kutoka kwenye database.
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
// Code to read data from the database
$query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name
$stmt = $conn->prepare($query);
$stmt->execute();
// Fetch all data into an array
$result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);
// Use a for loop to iterate through the array
for ($i = 0; $i < count($result); $i++) {
$row = $result[$i];
// Access individual columns using $row['column_name']
echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";
}
} catch (Exception $e) {
echo "Imefeli kuunganishwa";
echo $e->getMessage();
} finally {
// Close the connection
$conn = null;
}
?>
Kwa kutumia while loop:
<?php
$dbHost = "localhost";
$dbName = "wanafunzi";
$dbUser = "root";
$dbPassword = "";
try {
$conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);
&...
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 web hosting 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
PHP somo la 51: Jinsi ya kutumia consctuct na destruct function
Katika somo hili utakwenda kujifunza kazi na matumizi ya construct function na desctruct function kwenye OOP
Soma Zaidi...PHP somo la 100: Jinsi ya kutumia sql moja kwa moja kwenye ORM ya RedBeanPHP
Katika somo hili utakwend akujifunz ajinsi ya kuandika query ndani ya ORM. Hii inakupa uhuru wa kufanya kileunachotaka bila ya kuathiri usalama wa project
Soma Zaidi...PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer
Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.
Soma Zaidi...PHP - somo la 45: Jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP
Katika soko hili takwenda kujufunza jinsi ya kutuma sms kwa kutumia PHP. Hii itasaidia kama unataka kutuma OTP yaqni Onetime password
Soma Zaidi...PHP - somo la 16: Jinsi ya kufuta tabale na database kwa kutumia php
Katika somo hili utajifunza jinsi ya kufuta table ya databse kwa kutumia PHP. Pia utajifunza jinsi ya kututa database yeto
Soma Zaidi...PHP - somo la 4: Aina za data zinazotumika kwenye PHP
Katika somo hili utakwenda kujifunza aina za data ambazo hutumika kwenye PHP
Soma Zaidi...