picha

PHP somo la 65: Jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kwenye database kwa kutumia PDO.

Hapa tutakwenda kutumia database yetu tuliotengeneza somolililopita. Pia tutakwend akusima data ambazo tumeingiza kutoka katika somo lililopita.

 

Ili kuweza kusoma data kwenye data kwenye database tutatumia SELECT . Kwa mfano tutaandika

 $query = "SELECT * FROM matokeo";

    $stmt = $conn->prepare($query);

    $stmt->execute();

 

Kisha baada ya hapo tutatumia loop  ili kuweza kuprint matokeo ya hizo data ambazo tume select hapo juu loop ipo nyingi lakini hapa tutakwenda kutumia loop tatu ambazoni:-

  1. for LOOP
  2. While loop
  3. Foreach loop


 

Kwa kutumia for loop:

Baada ya ku select tutatumia fetchAll() method ili kuweza kuchukuwa data kutoka kwenye database.

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch all data into an array

   $result = $stmt->fetchAll(PDO::FETCH_ASSOC);

 

   // Use a for loop to iterate through the array

   for ($i = 0; $i < count($result); $i++) {

       $row = $result[$i];

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (Exception $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

} finally {

   // Close the connection

   $conn = null;

}

?>

 

 



 

Kwa kutumia while loop:

<?php

$dbHost = "localhost";

$dbName = "wanafunzi";

$dbUser = "root";

$dbPassword = "";

 

try {

   $conn = new PDO("mysql:host=$dbHost;dbname=$dbName", $dbUser, $dbPassword);

 

   // Code to read data from the database

   $query = "SELECT * FROM matokeo"; // Replace 'your_table_name' with the actual table name

   $stmt = $conn->prepare($query);

   $stmt->execute();

 

   // Fetch data using fetch with while loop

   while ($row = $stmt->fetch(PDO::FETCH_ASSOC)) {

       // Access individual columns using $row['column_name']

       echo "ID: " . $row['id'] . ", Name: " . $row['jina'] . "<br>";

   }

 

} catch (Exception $e) {

   echo "Imefeli kuunganishwa";

   echo $e->getMessage();

...

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-01-28 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 887

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

PHP somo la 53: class inheritance kwenye PHP Object Oriented Programming

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu class inheritance kwenye object oriented programming.

Soma Zaidi...
PHP somo la 86: JInsi ya ku decode json yaani kubadili json kuwa php data kama array ana object

Katika somo hili utakwend akujifunza jinsi ya kubadili json data na kuwaphp array ama php object. Kwa ufupi tunakwend aku decode json data kuwa phparray amaobject

Soma Zaidi...
PHP somol la 55: PHP Abstract Class na abstract method

Katika somo hili utakwenda kujifunza concept mpya ya abstract class na abstract method kwenye OOP.

Soma Zaidi...
PHP somo la 77: aina za http redirect

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu http redirect header

Soma Zaidi...
PHP somo la 54: class constant kwenye php

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia constatnt kwenye class.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 44: Nini cURL na ni yapi matumizi yake?

Katika somo hilibutajifunza maana ya cURL pamoja na matumini yake

Soma Zaidi...
PHP - somo la 1: Maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Katika somo hili utakwenda kujifunza maana ya PHP na jinsi inavyofanya kazi

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutuma Email kwa kutumia PHP

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ya kutuma email kwa kutumia php function ya email()

Soma Zaidi...
PHP BLOG - somo la 1: Utangulizi na jinsi ya kuandaa kwa ajili ya somo

Katika course hii utakwenda kujifundisha jinsi ya lutengeneza blog kutoka mwanzo hadi mwisho.

Soma Zaidi...
PHP - somo la 18: Jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kusoma data kutoka kwenye database kwa kutumia PHP.

Soma Zaidi...