picha

NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tano)

Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma.

NIMLAUMU NANI

1. Kama tulivyoona kwamba juma anaenda hospitalini na kuwapatia hela nyingi wale wanaopima DNA ili kuweza kutangaza kwamba mimba sio ya Frank ni ya juma, kwa sababu juma alikuwa anazomewa na marafiki zake pamoja na ndugu kwa kufikia umri alio nao bila kuwa na mtoto hali hiyo umepata kwa sababu ya kutembea na wanawake wengi na pia mara nyingi huwa anadhulumia watoto na waume wengine, kwa hiyo alipobahatisha kwa Amisa na akakuta Frank hana hili wala lile akaamua kutaka kuchukua watoto wasio wa kwake.kwa hiyo siku zikaenda na frank akawa anajiandwa na watu wengi ndipo Amisa akaamua kumpeleka Frank chuo ili kukamilisha masomo yake aliyoachia njiani kwa sababu ya kukosa mtu wa kumlipia karo.

 

2. Basi Frank akaamua kwenda kusoma nchi za nje kwa kuwa alikuwa amefaulu vizuri masomo ya sayansi akaamua kuchukua udaktari wa kupima genetic kwa sababu ya tatizo aliloliacha nyumbani, kwa hiyo akaanza kusoma ila mawazo yake ni juu ya mimba yake aliyoacha inagombaniwa , Frank alipoondoka nyumbani Amisa mimba yake ilikuwa na miezi sita tu, kwa hiyo alipofika chuoni akatengeneza urafiki na balozi wa nchi yake aliyekuwa kule nje alikoenda kusomea na akamwambia inshu yote na jinsi hongo ilivyotumika ili kuweza kuwachukua watoto wake, kwa hiyo huyo balozi akawa bega kwa bega na Frank.

 

3. Basi siku za kujifungua zinafika na Amisa alikuwa na rafiki yake aliyekuwa anaitwa Rhoda akimsindikiza mpaka hospitali na hatimaye akajifungua mapacha wawili watoto wa kike, baada tu ya Mama kujifungua tayari madaktari wa kupima DNA wakajitokeza tayari na Amisa akawa na wasiwasi sana na akaamua kumpigia Frank simu , Frank akasema kadri ya sheria watoto upimwa DNA wakiwa na miaka mitano ila madaktari baada ya kuambiwa na Amisa hawakukubali wakajifanya ujuaji na Amisa akampigia simu Frank na baadae Frank akawasiliana na balozi na balozi akawasiliana na wizara ya afya nchini na mda mfupi polisi wakawa weka chini ya ulinzi madaktari pamoja na Juma na hatimaye wakawa weka sero na madaktari wakanyanganywa leseni kila mtu akaanza kusema NIMLAUMU NANI? Basi wakatumikia kifungo kwa mda na baadae mda ulipofika wakatolewa kifungoni na maadui wa Frank wakaongezeka mara James, Amina, Baba Amina na Juma.

 

4. Basi Frank akamaliza masomo na wakati ule baba Amina alifungua hospitali kubwa ya kupima genetic na hakuwa na daktari wa kusimamia hospital yake alipoangalia mtandaoni akaona kuna daktari mmoja ndiye aliye na ujuzi wa kufanya kazi ya genetic kwa hiyo akatafuta number zake akampigia simu akisema Mheshimiwa dactor Frank naomba unipe mda nije kuongea nawe basi akamwambia aje, alipofika ofisini kwa Frank alipiga magoti na kumsalimia Frank na Frank hakumtambua mara moja kama alikuwa baba Amina na baba Amina hakumtambua frank.

 

5. Basi wakaelewana na Frank akakubali kuwepo pale kama mkuu wa hospitali kwa hiyo baba Amina akasema inabidi wafanye mkataba wakapanga siku ya mkataba na siku hiyo baba Amina alimletea Amina Ili aweze kushuhudia basi Frank anajitambulisha na history yake kwa ufupi na katika kujitambulisha na kusema magumu aliyoyapitia akiwasihi vijana waliokuwapo pale kupambana  na kutokata tamaa na kuendelea kupambana Amina alikuwa na uchungu mkubwa kwa sababu aligundua kwamba ni Frank na ukizingatia alikuwa ameolewa na James na maisha yakawa magumu na akarudi nyumbani kwao kwa hiyo kabla ya Frank kumaliza kuongea Amina aliangua kilio kikubwa na watu wakakimbia kumsaidia ili watake kujua chanzo ni nini  hapo Amina akaanza kuita akisema Frank nisamehe.

itaendelea.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/11/14/Monday - 09:45:47 pm Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1488

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 web hosting    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 ai web app    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.

Soma Zaidi...
NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano, baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kuona udhaifu wake kwamba anapenda sana mali.

Soma Zaidi...
Usichofahamu kuhusu mazoezi

Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA

Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Post hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mitihani inaisha na wanaanza kuhukumiwa mmoja baada ya mwingine.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto.

Soma Zaidi...