NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)

Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.

NIMLAUMU NANI .

1. Basi Amisa alikuwa anampenda sana Frank na akambembeleza sana ili alale naye ila Frank aliogopa sana na akaamua kwenda kulala kwenye kochi na Amisa akambembeleza na kumpa ahadi nyingi kwa sababu Amisa alikuwa na hela kwa hiyo hatimaye Frank akarudi kitandani mwake na Amisa pia wakalala wote na pia Amisa akapata mimba ya mapacha. Kwa hiyo baada ya mimba kugundulika kuwa  ni mapacha wawili Amisa alifurahi sana na kuwaambia marafiki zake habari za ujauzito wake na kuwatambulisha mme wake ambaye alikuwa na sura nzuri iliyovutia kila mtu.

 

2. Basi hapo siku za nyuma Amisa alikuwa na boyfriend wake aliyeitwa juma ila yule juma alimpenda sana Amisa lakini Hamisa hakumpenda hata kidogo kwa sababu ya tabia yake chafu ya kutembea na wasichana pamoja na wanawake wengi ila juma alimpenda sana Amisa na walikuwa wametembea wote wiki mbili kabla ya kutembea na Frank kwa hiyo juma aliposikia habari za ujauzito wa Amisa alifurahi sana na akadhni ni mimba yake na akaamua kwenda kwa Amisa ili aweze kumwoa na kuwa mke wake, kwa furaha kubwa alipofika kwa Amisa alikuta Amisa hayupo akamkuta frank, akasema atarudi kesho, na alipoenda kwao aliwaambia wazazi wake kwamba mchumba wake ana mimba ya mapacha walifurahi mno, na wakampigia simu Amisa na jibu alilolitoa akasema subiri nitawaambia, kwa sababu Amisa alikuwa mstaarabu aliamua kumwita juma na kumwambia atilie sio mimba yake ila ni ya frank, juma akataka kuzimia akarudi nyumbani kwa huzuni na kutokuamini.

 

3. Basi juma alimtumia ujumbe Amisa kwamba ninachojua hiyo mimba ni ya kwangu na mimi nilimwaga ndani kabisa na Amisa alijibu kwamba baada ya kumaliza kulala na wewe kesho yake niliingia hedhi na baada ya siku chache ndipo nikatembea na Frank, juma hakuamini akaanza kumfuatilia Frank na kujua ni nani na ana kazi gani , baada ya kufuatilia akakuta kwamba Frank hana kazi anaishi kwa Amisa na ni maskini,aliumia na kumtumia meseji Amisa wewe ni mjinga kazi yako ni kutembea na house boy kwa sababu Amisa alimpenda sana Frank ile meseji ilimuuma sana na akaamua kumpeleka juma polisi na kumshitaki kwa kumdhalilisha mme wake na kufuatilia maisha yake, badi juma akaitwa pale kituoni akasomewa mashtaka  na yeye akaamua kufungua kesi ya kwamba amebebesha mimba Amisa na akaamua kumpatia mme mwingine ambaye ni Frank, basi polisi wakaamua juma amlipe frank kwa kumdhalilisha na pindi Amisa akijifungua wapime DNA kujua mtoto ni wa nani.

 

 

4. Baada ya juma kusikia hayo akaanza kwenda hospitali ambayo wanapima DNA akawapa Hela nyingi mno na wakawa tayari kusubiri pindi Amisa akijifungua wapate kumpima mtoto.

Itaendelea baadae

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1462

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Kila kitu ambacho wanaume wanatakiwa kufahamu kuhusu wanawake.

Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Post hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mitihani inaisha na wanaanza kuhukumiwa mmoja baada ya mwingine.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani.

Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI part 1

Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA sehemu ya tatu

Post hii inahusu Zaidi hadithi ya safari ya muujiza ambapo ya Mungu mengi anaenda kwao na kuomba kufahamu history yake ili afahamu kuhusu wazazi weo walipo na ndugu zao walipo.

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya pili)

Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara.

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya kwanza)

Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo

Soma Zaidi...