image

NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)

Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.

NIMLAUMU NANI .

1. Basi Amisa alikuwa anampenda sana Frank na akambembeleza sana ili alale naye ila Frank aliogopa sana na akaamua kwenda kulala kwenye kochi na Amisa akambembeleza na kumpa ahadi nyingi kwa sababu Amisa alikuwa na hela kwa hiyo hatimaye Frank akarudi kitandani mwake na Amisa pia wakalala wote na pia Amisa akapata mimba ya mapacha. Kwa hiyo baada ya mimba kugundulika kuwa  ni mapacha wawili Amisa alifurahi sana na kuwaambia marafiki zake habari za ujauzito wake na kuwatambulisha mme wake ambaye alikuwa na sura nzuri iliyovutia kila mtu.

 

2. Basi hapo siku za nyuma Amisa alikuwa na boyfriend wake aliyeitwa juma ila yule juma alimpenda sana Amisa lakini Hamisa hakumpenda hata kidogo kwa sababu ya tabia yake chafu ya kutembea na wasichana pamoja na wanawake wengi ila juma alimpenda sana Amisa na walikuwa wametembea wote wiki mbili kabla ya kutembea na Frank kwa hiyo juma aliposikia habari za ujauzito wa Amisa alifurahi sana na akadhni ni mimba yake na akaamua kwenda kwa Amisa ili aweze kumwoa na kuwa mke wake, kwa furaha kubwa alipofika kwa Amisa alikuta Amisa hayupo akamkuta frank, akasema atarudi kesho, na alipoenda kwao aliwaambia wazazi wake kwamba mchumba wake ana mimba ya mapacha walifurahi mno, na wakampigia simu Amisa na jibu alilolitoa akasema subiri nitawaambia, kwa sababu Amisa alikuwa mstaarabu aliamua kumwita juma na kumwambia atilie sio mimba yake ila ni ya frank, juma akataka kuzimia akarudi nyumbani kwa huzuni na kutokuamini.

 

3. Basi juma alimtumia ujumbe Amisa kwamba ninachojua hiyo mimba ni ya kwangu na mimi nilimwaga ndani kabisa na Amisa alijibu kwamba baada ya kumaliza kulala na wewe kesho yake niliingia hedhi na baada ya siku chache ndipo nikatembea na Frank, juma hakuamini akaanza kumfuatilia Frank na kujua ni nani na ana kazi gani , baada ya kufuatilia akakuta kwamba Frank hana kazi anaishi kwa Amisa na ni maskini,aliumia na kumtumia meseji Amisa wewe ni mjinga kazi yako ni kutembea na house boy kwa sababu Amisa alimpenda sana Frank ile meseji ilimuuma sana na akaamua kumpeleka juma polisi na kumshitaki kwa kumdhalilisha mme wake na kufuatilia maisha yake, badi juma akaitwa pale kituoni akasomewa mashtaka  na yeye akaamua kufungua kesi ya kwamba amebebesha mimba Amisa na akaamua kumpatia mme mwingine ambaye ni Frank, basi polisi wakaamua juma amlipe frank kwa kumdhalilisha na pindi Amisa akijifungua wapime DNA kujua mtoto ni wa nani.

 

 

4. Baada ya juma kusikia hayo akaanza kwenda hospitali ambayo wanapima DNA akawapa Hela nyingi mno na wakawa tayari kusubiri pindi Amisa akijifungua wapate kumpima mtoto.

Itaendelea baadae

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 734


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI part 1
Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku Soma Zaidi...

Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya tatu)
Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara. Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 3)
Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo. Soma Zaidi...

Usichofahamu kuhusu mazoezi
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tatu)
Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya kijana Frank na Amisa pia na wapenzi wawili ambao ni James na Amina. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya kwanza)
Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo Soma Zaidi...

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)
Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha. Soma Zaidi...