picha

NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)

Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.

NIMLAUMU NANI .

1. Basi Amisa alikuwa anampenda sana Frank na akambembeleza sana ili alale naye ila Frank aliogopa sana na akaamua kwenda kulala kwenye kochi na Amisa akambembeleza na kumpa ahadi nyingi kwa sababu Amisa alikuwa na hela kwa hiyo hatimaye Frank akarudi kitandani mwake na Amisa pia wakalala wote na pia Amisa akapata mimba ya mapacha. Kwa hiyo baada ya mimba kugundulika kuwa  ni mapacha wawili Amisa alifurahi sana na kuwaambia marafiki zake habari za ujauzito wake na kuwatambulisha mme wake ambaye alikuwa na sura nzuri iliyovutia kila mtu.

 

2. Basi hapo siku za nyuma Amisa alikuwa na boyfriend wake aliyeitwa juma ila yule juma alimpenda sana Amisa lakini Hamisa hakumpenda hata kidogo kwa sababu ya tabia yake chafu ya kutembea na wasichana pamoja na wanawake wengi ila juma alimpenda sana Amisa na walikuwa wametembea wote wiki mbili kabla ya kutembea na Frank kwa hiyo juma aliposikia habari za ujauzito wa Amisa alifurahi sana na akadhni ni mimba yake na akaamua kwenda kwa Amisa ili aweze kumwoa na kuwa mke wake, kwa furaha kubwa alipofika kwa Amisa alikuta Amisa hayupo akamkuta frank, akasema atarudi kesho, na alipoenda kwao aliwaambia wazazi wake kwamba mchumba wake ana mimba ya mapacha walifurahi mno, na wakampigia simu Amisa na jibu alilolitoa akasema subiri nitawaambia, kwa sababu Amisa alikuwa mstaarabu aliamua kumwita juma na kumwambia atilie sio mimba yake ila ni ya frank, juma akataka kuzimia akarudi nyumbani kwa huzuni na kutokuamini.

 

3. Basi juma alimtumia ujumbe Amisa kwamba ninachojua hiyo mimba ni ya kwangu na mimi nilimwaga ndani kabisa na Amisa alijibu kwamba baada ya kumaliza kulala na wewe kesho yake niliingia hedhi na baada ya siku chache ndipo nikatembea na Frank, juma hakuamini akaanza kumfuatilia Frank na kujua ni nani na ana kazi gani , baada ya kufuatilia akakuta kwamba Frank hana kazi anaishi kwa Amisa na ni maskini,aliumia na kumtumia meseji Amisa wewe ni mjinga kazi yako ni kutembea na house boy kwa sababu Amisa alimpenda sana Frank ile meseji ilimuuma sana na akaamua kumpeleka juma polisi na kumshitaki kwa kumdhalilisha mme wake na kufuatilia maisha yake, badi juma akaitwa pale kituoni akasomewa mashtaka  na yeye akaamua kufungua kesi ya kwamba amebebesha mimba Amisa na akaamua kumpatia mme mwingine ambaye ni Frank, basi polisi wakaamua juma amlipe frank kwa kumdhalilisha na pindi Amisa akijifungua wapime DNA kujua mtoto ni wa nani.

 

 

4. Baada ya juma kusikia hayo akaanza kwenda hospitali ambayo wanapima DNA akawapa Hela nyingi mno na wakawa tayari kusubiri pindi Amisa akijifungua wapate kumpima mtoto.

Itaendelea baadae

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/11/14/Monday - 05:37:13 pm Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1790

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 ai web app    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Hadithi za alif lela u lela

Haya ni masimulizi ya Hadithi za alif lela u lela

Soma Zaidi...
Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Soma Zaidi...
Hasara za wivu na kutokuwa wazi ( sehemu ya 2)

Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI part 1

Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani.

Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na maskini (sehemu ya pili)

Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.

Soma Zaidi...
Mtoto wa Tajiri na maskini ( sehemu ya kwanza)

Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini.

Soma Zaidi...
Chemsha bongo na bongoclass

Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi.

Soma Zaidi...