Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.
1. Basi Amisa alikuwa anampenda sana Frank na akambembeleza sana ili alale naye ila Frank aliogopa sana na akaamua kwenda kulala kwenye kochi na Amisa akambembeleza na kumpa ahadi nyingi kwa sababu Amisa alikuwa na hela kwa hiyo hatimaye Frank akarudi kitandani mwake na Amisa pia wakalala wote na pia Amisa akapata mimba ya mapacha. Kwa hiyo baada ya mimba kugundulika kuwa ni mapacha wawili Amisa alifurahi sana na kuwaambia marafiki zake habari za ujauzito wake na kuwatambulisha mme wake ambaye alikuwa na sura nzuri iliyovutia kila mtu.
2. Basi hapo siku za nyuma Amisa alikuwa na boyfriend wake aliyeitwa juma ila yule juma alimpenda sana Amisa lakini Hamisa hakumpenda hata kidogo kwa sababu ya tabia yake chafu ya kutembea na wasichana pamoja na wanawake wengi ila juma alimpenda sana Amisa na walikuwa wametembea wote wiki mbili kabla ya kutembea na Frank kwa hiyo juma aliposikia habari za ujauzito wa Amisa alifurahi sana na akadhni ni mimba yake na akaamua kwenda kwa Amisa ili aweze kumwoa na kuwa mke wake, kwa furaha kubwa alipofika kwa Amisa alikuta Amisa hayupo akamkuta frank, akasema atarudi kesho, na alipoenda kwao aliwaambia wazazi wake kwamba mchumba wake ana mimba ya mapacha walifurahi mno, na wakampigia simu Amisa na jibu alilolitoa akasema subiri nitawaambia, kwa sababu Amisa alikuwa mstaarabu aliamua kumwita juma na kumwambia atilie sio mimba yake ila ni ya frank, juma akataka kuzimia akarudi nyumbani kwa huzuni na kutokuamini.
3. Basi juma alimtumia ujumbe Amisa kwamba ninachojua hiyo mimba ni ya kwangu na mimi nilimwaga ndani kabisa na Amisa alijibu kwamba baada ya kumaliza kulala na wewe kesho yake niliingia hedhi na baada ya siku chache ndipo nikatembea na Frank, juma hakuamini akaanza kumfuatilia Frank na kujua ni nani na ana kazi gani , baada ya kufuatilia akakuta kwamba Frank hana kazi anaishi kwa Amisa na ni maskini,aliumia na kumtumia meseji Amisa wewe ni mjinga kazi yako ni kutembea na house boy kwa sababu Amisa alimpenda sana Frank ile meseji ilimuuma sana na akaamua kumpeleka juma polisi na kumshitaki kwa kumdhalilisha mme wake na kufuatilia maisha yake, badi juma akaitwa pale kituoni akasomewa mashtaka na yeye akaamua kufungua kesi ya kwamba amebebesha mimba Amisa na akaamua kumpatia mme mwingine ambaye ni Frank, basi polisi wakaamua juma amlipe frank kwa kumdhalilisha na pindi Amisa akijifungua wapime DNA kujua mtoto ni wa nani.
4. Baada ya juma kusikia hayo akaanza kwenda hospitali ambayo wanapima DNA akawapa Hela nyingi mno na wakawa tayari kusubiri pindi Amisa akijifungua wapate kumpima mtoto.
Itaendelea baadae
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.
Soma Zaidi...Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii .
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.
Soma Zaidi...Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano, baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kuona udhaifu wake kwamba anapenda sana mali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme.
Soma Zaidi...