Mahusiano ya vijana wawili


image


Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.


Mahusiano ya vijana wawili.

1. Palikuwepo na vijana wawili mmoja aliitwa Jackie na mwingine Julius, vijana hao walikutana shuleni wote kuanzia chekechea mpaka darasa la saba, kitabia walikuwa na tabia tofauti kabisa, Jackie alikuwa mchangamfu sana ila Julius alikuwa mpole mno mzito na kwa ujumla ufaulu wake darasani haukua mzuri kuanzia darasa la tano mpaka la saba alianza kuchangamka na kufaulu kidogo kidogo.

 

 

 

 

 

2. Wakati wako primary ila shule ilikuwa ni shule ya kulala walipokuwa wanafunga Jackie alikuwa anaenda kwa bibi na Julius kwao ila hawakujua ya

 kwamba walikuwa majirani, ila walipomaliza darasa la saba ndipo waliona wazazi wao wanakuja kwa wakati mmoja na watoto hawakujua kabisa kwamba walikuwa majirani kwa hiyo tangia siku hiyo wakajua na na wakaenda nyumbani wakakuta kuwa ni majirani wakaanza kutembeleana na kuangalia move kipindi wazazi wako kazini.

 

 

 

 

 

3. Basi katika kukaa wenyewe katika kipindi cha likizo ya baada ya darasa la saba wakisubiri matokeo ya kwenda sekondari wakaanza mahusiano kati yao na waliwashawishi wazazi kuwapeleka shule moja ya sekondari wakaenda wanajitambulisha kama ni ndugu pale shuleni wakasomo ila Jackie alikuwa na akili sana kuliko mwenzake na pia alikuwa na wivu kupita kiasi mpaka akikuta msichana anaongea na Julius alikuwa anachukia mpaka anazimia.

 

 

 

 

 

4. Kwa hiyo na ufaulu wa jack ulishuka mno yaani kutoka wa kwanza mpaka kuacha watu wawili nyuma ili kuwa wa mwisho ni kwa sababu ya wivu kwa Julius basi mama akafanya mpango wa kumwamisha mwanael ili mvulana nnaye akafanya mpango akaenda shule  ya jack alipohamia na wakaenda wote shule moja wala na  wakaendelea na mahusiano kawaida.

 

 

 

 

 

5. Yaani walikuwa na tabia hiyo ya kutembea wameshikana mikono na baadae waalimu hawakuelewa kwa sababu ya upendo kati kati.

 

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Safari ya majibu juu ya maswali mawili
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Hadithi ya mke na kasuku
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Mshenga wa aladini mbele ya mfalme
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Kwanini vidole gumba vilikatwa
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa y Soma Zaidi...

image Hadithi ya binti mwenye kufichwa mtoto wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Kisiwa cha uokozi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa safari saba za Sinbad Soma Zaidi...

image Hadithi ya chongo watatu wa mfalme na wanawake wa Baghdad
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image USALITI (sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara. Soma Zaidi...

image Binti wa ndotoni
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa safari saba za Sinbad Soma Zaidi...

image Hadithi ya tabibu wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...