Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.
1. Palikuwepo na vijana wawili mmoja aliitwa Jackie na mwingine Julius, vijana hao walikutana shuleni wote kuanzia chekechea mpaka darasa la saba, kitabia walikuwa na tabia tofauti kabisa, Jackie alikuwa mchangamfu sana ila Julius alikuwa mpole mno mzito na kwa ujumla ufaulu wake darasani haukua mzuri kuanzia darasa la tano mpaka la saba alianza kuchangamka na kufaulu kidogo kidogo.
2. Wakati wako primary ila shule ilikuwa ni shule ya kulala walipokuwa wanafunga Jackie alikuwa anaenda kwa bibi na Julius kwao ila hawakujua ya
kwamba walikuwa majirani, ila walipomaliza darasa la saba ndipo waliona wazazi wao wanakuja kwa wakati mmoja na watoto hawakujua kabisa kwamba walikuwa majirani kwa hiyo tangia siku hiyo wakajua na na wakaenda nyumbani wakakuta kuwa ni majirani wakaanza kutembeleana na kuangalia move kipindi wazazi wako kazini.
3. Basi katika kukaa wenyewe katika kipindi cha likizo ya baada ya darasa la saba wakisubiri matokeo ya kwenda sekondari wakaanza mahusiano kati yao na waliwashawishi wazazi kuwapeleka shule moja ya sekondari wakaenda wanajitambulisha kama ni ndugu pale shuleni wakasomo ila Jackie alikuwa na akili sana kuliko mwenzake na pia alikuwa na wivu kupita kiasi mpaka akikuta msichana anaongea na Julius alikuwa anachukia mpaka anazimia.
4. Kwa hiyo na ufaulu wa jack ulishuka mno yaani kutoka wa kwanza mpaka kuacha watu wawili nyuma ili kuwa wa mwisho ni kwa sababu ya wivu kwa Julius basi mama akafanya mpango wa kumwamisha mwanael ili mvulana nnaye akafanya mpango akaenda shule ya jack alipohamia na wakaenda wote shule moja wala na wakaendelea na mahusiano kawaida.
5. Yaani walikuwa na tabia hiyo ya kutembea wameshikana mikono na baadae waalimu hawakuelewa kwa sababu ya upendo kati kati.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na
Soma Zaidi...Posti hii inaendelea kuelezea hasara za kuwepo kwa wivu na kutokuwa wazi katika, jamii inafikia wakati baba anapifahamu ukweli anawaita wazazi wawili na kuwaombeza kwa kuwa kimya baada ya kuona matatizo yaliyokuwa yanampata mtoto Lisa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto.
Soma Zaidi...Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii .
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.
Soma Zaidi...