Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.
Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili.
1. Baada ya vijana wawili kuhamia kwenye shule mpya waliendelea na mahusiano kama kawaida ila wakaamua kuwekeana mikakati, ila kwasababu ya Julius alikuwa kijana mzuri na anayevutia kwa macho kwa hiyo alipendwa na wasichana wengi kwa hiyo hali ya jack ikawa mbaya zaidi na akatafutiwaa na mwana saikolojia mkuu ili kuweza kushauriwa zaidi kwa hiyo jack hakuwa wazi kwa sababu aliogopa kugombezwa na wazazi wake.
2. Siku moja rafiki yake jack aliyeitwa betina alimwita jack na kumshauri kwa sababu alijua tatizo lake kwa hiyo betina alimwambia jack kwamba tatizo hili na yeye alikwisha kulipata kwa hiyo akamwambia aachane naye na atafute mvulana mwingine. Basi betina aliamua kumtafuta mvulana aliyeitwa Dickson ila awe mpenzi wake lakini roho ya jack ilikuwa bado kwa Julius na Julius ingawa alikuwa anapendwa na wasichana wengi kwa sababu ya uzuri wake ila roho yake ilikuwa kwa jack.
3. Basi wakaendelea kupendana jack na Dickson na mapenzi yao yakawa ya ukweli na pia jack akaanza kufaulu vizuri kabisa darasani kama mara ya kwanza na maisha yalikuwa ya kawaida,ila baada ya Jackie kufaulu sana na kuzidi wavulana wote darasani wavulana wakatafuta mbinu ya kumfanya afeli kwa sababu kila zawadi za shule alichukua yeye , na pia Julius alimpenda jack si kwa mapenzi ya kweli bali kwa sababu kwao na jack palikuwepo na hela nyingi kwa hiyo julius alipoenda kupendana na wasichana wengine kipato kilipungua kabisa.
4. Kwa hiyo wavulana wakaanza kutafuta mbinu za kumteka jack, wakaanza kumtumia Julius ila ateke akili zake na jack akajifanya amepunguza mapenzi kwa wasichana wengine akaanza kumtafuta jack,kwa sababu jack alimpenda mno juliusi akaanza kuchanganyikiwa kwa sababu akimwangalia jack pia Dickson hakuelewa somo, kwa hiyo kila siku alipata ujumbe kutoka kwa Julius ujumbe huo aliupata muda tofauti ulioomchanganya sana yaani mda mwalimu akiwa anafundisha na akitaka kujisomea kwa hiyo hali ya Jackie ikaanza kuwa ngumu tena ila siku moja aliandikiwa barua iliyomchanganya kabisa na barua yake ilikuwa kama ifuatavyo.
Itaendelea baadae
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 web hosting 👉3 ai web app 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Mafundisho kutokana na hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mafundisho ambayo tunayapata kutoka kwa binti mfalme, tunapotoa hadithi sio kusoma na kufurahia tu ila kuna mafundisho muhimu katika maisha yetu.
Soma Zaidi...NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.
Soma Zaidi...Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.
Soma Zaidi...Usichofahamu kuhusu mazoezi
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.
Soma Zaidi...Ni nani kama mama
Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.
Soma Zaidi...Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il
Soma Zaidi...