Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.
1. Baada ya vijana wawili kuhamia kwenye shule mpya waliendelea na mahusiano kama kawaida ila wakaamua kuwekeana mikakati, ila kwasababu ya Julius alikuwa kijana mzuri na anayevutia kwa macho kwa hiyo alipendwa na wasichana wengi kwa hiyo hali ya jack ikawa mbaya zaidi na akatafutiwaa na mwana saikolojia mkuu ili kuweza kushauriwa zaidi kwa hiyo jack hakuwa wazi kwa sababu aliogopa kugombezwa na wazazi wake.
2. Siku moja rafiki yake jack aliyeitwa betina alimwita jack na kumshauri kwa sababu alijua tatizo lake kwa hiyo betina alimwambia jack kwamba tatizo hili na yeye alikwisha kulipata kwa hiyo akamwambia aachane naye na atafute mvulana mwingine. Basi betina aliamua kumtafuta mvulana aliyeitwa Dickson ila awe mpenzi wake lakini roho ya jack ilikuwa bado kwa Julius na Julius ingawa alikuwa anapendwa na wasichana wengi kwa sababu ya uzuri wake ila roho yake ilikuwa kwa jack.
3. Basi wakaendelea kupendana jack na Dickson na mapenzi yao yakawa ya ukweli na pia jack akaanza kufaulu vizuri kabisa darasani kama mara ya kwanza na maisha yalikuwa ya kawaida,ila baada ya Jackie kufaulu sana na kuzidi wavulana wote darasani wavulana wakatafuta mbinu ya kumfanya afeli kwa sababu kila zawadi za shule alichukua yeye , na pia Julius alimpenda jack si kwa mapenzi ya kweli bali kwa sababu kwao na jack palikuwepo na hela nyingi kwa hiyo julius alipoenda kupendana na wasichana wengine kipato kilipungua kabisa.
4. Kwa hiyo wavulana wakaanza kutafuta mbinu za kumteka jack, wakaanza kumtumia Julius ila ateke akili zake na jack akajifanya amepunguza mapenzi kwa wasichana wengine akaanza kumtafuta jack,kwa sababu jack alimpenda mno juliusi akaanza kuchanganyikiwa kwa sababu akimwangalia jack pia Dickson hakuelewa somo, kwa hiyo kila siku alipata ujumbe kutoka kwa Julius ujumbe huo aliupata muda tofauti ulioomchanganya sana yaani mda mwalimu akiwa anafundisha na akitaka kujisomea kwa hiyo hali ya Jackie ikaanza kuwa ngumu tena ila siku moja aliandikiwa barua iliyomchanganya kabisa na barua yake ilikuwa kama ifuatavyo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jamvini Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 2536
Sponsored links
👉1
kitabu cha Simulizi
👉2
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉3
Kitabu cha Afya
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
Simulizi za Hadithi Audio
👉6
Madrasa kiganjani
NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)
Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha. Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1
Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao. Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima. Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya tatu)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi. Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara. Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya kwanza)
Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo Soma Zaidi...
Mtoto wa Tajiri na maskini ( sehemu ya kwanza)
Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini. Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki. Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tano)
Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma. Soma Zaidi...
Chemsha bongo na bongoclass
Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi. Soma Zaidi...