Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.

Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili.

1. Baada ya vijana wawili kuhamia kwenye shule mpya waliendelea na mahusiano kama kawaida ila wakaamua kuwekeana mikakati, ila kwasababu ya Julius alikuwa kijana mzuri na anayevutia kwa macho kwa hiyo alipendwa na wasichana wengi kwa hiyo hali ya jack ikawa mbaya zaidi na akatafutiwaa na mwana saikolojia mkuu ili kuweza kushauriwa zaidi kwa hiyo jack hakuwa wazi kwa sababu aliogopa kugombezwa na wazazi wake.

 

 

 

 

2. Siku moja rafiki yake jack aliyeitwa betina alimwita jack na kumshauri kwa sababu alijua  tatizo lake  kwa hiyo betina alimwambia jack kwamba tatizo hili na yeye alikwisha kulipata kwa hiyo akamwambia aachane naye na atafute mvulana mwingine. Basi betina aliamua kumtafuta mvulana aliyeitwa Dickson ila awe mpenzi wake lakini roho ya jack ilikuwa bado kwa Julius na Julius ingawa alikuwa anapendwa na wasichana wengi kwa sababu ya uzuri wake ila roho yake ilikuwa kwa jack.

 

 

 

 

 

3. Basi wakaendelea kupendana jack na Dickson na mapenzi yao yakawa ya ukweli  na pia jack akaanza kufaulu vizuri kabisa darasani kama mara ya kwanza na maisha yalikuwa ya kawaida,ila baada ya Jackie kufaulu sana na kuzidi wavulana wote darasani wavulana wakatafuta mbinu ya kumfanya afeli kwa sababu kila zawadi za shule alichukua yeye , na pia Julius alimpenda jack si kwa mapenzi ya kweli bali kwa sababu kwao na jack palikuwepo na hela nyingi kwa hiyo julius alipoenda kupendana na wasichana wengine kipato kilipungua kabisa.

 

 

 

 

 

 

4. Kwa hiyo wavulana wakaanza kutafuta mbinu za kumteka jack, wakaanza kumtumia Julius ila ateke akili zake na jack akajifanya amepunguza mapenzi kwa wasichana wengine akaanza kumtafuta jack,kwa sababu jack alimpenda mno juliusi akaanza kuchanganyikiwa kwa sababu akimwangalia jack pia Dickson hakuelewa somo, kwa hiyo kila siku alipata ujumbe kutoka kwa Julius ujumbe huo aliupata muda tofauti ulioomchanganya sana yaani mda mwalimu akiwa anafundisha na akitaka kujisomea kwa hiyo hali ya Jackie ikaanza kuwa ngumu tena ila siku moja aliandikiwa barua iliyomchanganya kabisa na barua yake ilikuwa kama ifuatavyo.

 

Itaendelea baadae

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 3532

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 4)

Posti hii inaendelea kuelezea hasara za kuwepo kwa wivu na kutokuwa wazi katika, jamii inafikia wakati baba anapifahamu ukweli anawaita wazazi wawili na kuwaombeza kwa kuwa kimya baada ya kuona matatizo yaliyokuwa yanampata mtoto Lisa.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya kijana Frank na Amisa pia na wapenzi wawili ambao ni James na Amina.

Soma Zaidi...
Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 2

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA

Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano, baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kuona udhaifu wake kwamba anapenda sana mali.

Soma Zaidi...
Ni nani kama mama

Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita

Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.

Soma Zaidi...