Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.

Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili.

1. Baada ya vijana wawili kuhamia kwenye shule mpya waliendelea na mahusiano kama kawaida ila wakaamua kuwekeana mikakati, ila kwasababu ya Julius alikuwa kijana mzuri na anayevutia kwa macho kwa hiyo alipendwa na wasichana wengi kwa hiyo hali ya jack ikawa mbaya zaidi na akatafutiwaa na mwana saikolojia mkuu ili kuweza kushauriwa zaidi kwa hiyo jack hakuwa wazi kwa sababu aliogopa kugombezwa na wazazi wake.

 

 

 

 

2. Siku moja rafiki yake jack aliyeitwa betina alimwita jack na kumshauri kwa sababu alijua  tatizo lake  kwa hiyo betina alimwambia jack kwamba tatizo hili na yeye alikwisha kulipata kwa hiyo akamwambia aachane naye na atafute mvulana mwingine. Basi betina aliamua kumtafuta mvulana aliyeitwa Dickson ila awe mpenzi wake lakini roho ya jack ilikuwa bado kwa Julius na Julius ingawa alikuwa anapendwa na wasichana wengi kwa sababu ya uzuri wake ila roho yake ilikuwa kwa jack.

 

 

 

 

 

3. Basi wakaendelea kupendana jack na Dickson na mapenzi yao yakawa ya ukweli  na pia jack akaanza kufaulu vizuri kabisa darasani kama mara ya kwanza na maisha yalikuwa ya kawaida,ila baada ya Jackie kufaulu sana na kuzidi wavulana wote darasani wavulana wakatafuta mbinu ya kumfanya afeli kwa sababu kila zawadi za shule alichukua yeye , na pia Julius alimpenda jack si kwa mapenzi ya kweli bali kwa sababu kwao na jack palikuwepo na hela nyingi kwa hiyo julius alipoenda kupendana na wasichana wengine kipato kilipungua kabisa.

 

 

 

 

 

 

4. Kwa hiyo wavulana wakaanza kutafuta mbinu za kumteka jack, wakaanza kumtumia Julius ila ateke akili zake na jack akajifanya amepunguza mapenzi kwa wasichana wengine akaanza kumtafuta jack,kwa sababu jack alimpenda mno juliusi akaanza kuchanganyikiwa kwa sababu akimwangalia jack pia Dickson hakuelewa somo, kwa hiyo kila siku alipata ujumbe kutoka kwa Julius ujumbe huo aliupata muda tofauti ulioomchanganya sana yaani mda mwalimu akiwa anafundisha na akitaka kujisomea kwa hiyo hali ya Jackie ikaanza kuwa ngumu tena ila siku moja aliandikiwa barua iliyomchanganya kabisa na barua yake ilikuwa kama ifuatavyo.

 

Itaendelea baadae

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 3664

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA

Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme (sehemu ya nne)

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya kwanza)

Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya tatu)

Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi.

Soma Zaidi...