Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili


image


Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima.


Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Siku ilipofika wakamaliza mkutano na ikabidi engineer na daktari mkuu kukutana basi daktari akaenda ofisini mwake Ili kuongea na engineer kwa hiyo akafungua ofisi na kumtuma secretary wake Ili kumpatia engeener aweke sahihi Ili aingie ofisini kwa hiyo secretary akapeleka kitabu na engineer akaweka sahihi na daktari kuja kusoma akashangaa kuona majina yote ya julius base Jackie akashutuka sana na akafikilia kwa Mda na kutafakari upendo wao yeye na Juliusi basi akaamuru julius aingie ndani na daktari Jackie akamtuma secretary mbali Ili kikitokea cha kutokea hasijue.

 

2. Basi julius akaruhusiwa kuingia ndani kwa heshima Ili kukutana na daktari mkuu kuangalia daktari ni Jackie julius hakuamim macho yake akaja kusalimiana na Jackie kigugumuzi kikamshika Jackie akatoa machozi wakakumbatiana kwa furaha ila katika kukumbatiana Jackie akaanguka chini akazimia mle ofisi na Juliusi aliangaika sana na kuwaita watu Ili kumsaidia daktari,watu wakajiuliza sana kuhusu kuzimia kwa daktari mkuu na kwa sababu ya kuingia kwa mgeni na kitendo cha kumgukuza secretary.

 

3. Basi baada ya mda Jackie akazinduka na kuulizwa kilichotokea hakujibu chachote na pia mama yake alikuwa anaishi na Jackie kitendo cha kumwona julius mama Jackie aliumia mno na kuwaita polise Ili wamkamate Julius ila Jackie akamkataza mama yake na kumwambia kwamba ni engineer mkuu aliyekuja kujenga hospital usimdhuru ila mama yake aliumia sana na kumwambia Jackie asishirikiane naye ila Jackie akamwambia mama yake kwamba ni sehemu ya kazi mama.

 

4. Basi baadae Jackie ndipo akaamua kuongea na engineer kuhusu kujenga hospital ila Jackie alikuwa na wasiwasi mkubwa sana kwa sababu alishawahi kukutana na udanganyifu wa julius basi wakapanga vizuri na kazi zikaendelea vizuri, ila kitendo cha kuona julius kwenye mazingira kilimfanya Jackie akumbuke julius na pia julius alimkumbuka Jackie ila hakuna aliyedhubutu kumwambia mwenzake ila kazi zikaendelea kama kawaida.na siku Moja Julius akaamua kumwambia Jackie habari za kumchumbia Jackie.

Itaendelea baadae



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Hadithi ya aliyekatwa vidole gumba
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

image Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani. Soma Zaidi...

image Safari saba za sinbad
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za safari saba za Sinbad Soma Zaidi...

image Mahusiano ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake. Soma Zaidi...

image Jaribio la tatu la aladini
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Hadithi ya binti mwenye kufichwa mtoto wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki. Soma Zaidi...

image Jaribio la kwanza la aladini
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Jaribio la pili la aladini
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Hadithi ya chongo watatu wa mfalme na wanawake wa Baghdad
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...