Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Siku ilipofika wakamaliza mkutano na ikabidi engineer na daktari mkuu kukutana basi daktari akaenda ofisini mwake Ili kuongea na engineer kwa hiyo akafungua ofisi na kumtuma secretary wake Ili kumpatia engeener aweke sahihi Ili aingie ofisini kwa hiyo secretary akapeleka kitabu na engineer akaweka sahihi na daktari kuja kusoma akashangaa kuona majina yote ya julius base Jackie akashutuka sana na akafikilia kwa Mda na kutafakari upendo wao yeye na Juliusi basi akaamuru julius aingie ndani na daktari Jackie akamtuma secretary mbali Ili kikitokea cha kutokea hasijue.

 

2. Basi julius akaruhusiwa kuingia ndani kwa heshima Ili kukutana na daktari mkuu kuangalia daktari ni Jackie julius hakuamim macho yake akaja kusalimiana na Jackie kigugumuzi kikamshika Jackie akatoa machozi wakakumbatiana kwa furaha ila katika kukumbatiana Jackie akaanguka chini akazimia mle ofisi na Juliusi aliangaika sana na kuwaita watu Ili kumsaidia daktari,watu wakajiuliza sana kuhusu kuzimia kwa daktari mkuu na kwa sababu ya kuingia kwa mgeni na kitendo cha kumgukuza secretary.

 

3. Basi baada ya mda Jackie akazinduka na kuulizwa kilichotokea hakujibu chachote na pia mama yake alikuwa anaishi na Jackie kitendo cha kumwona julius mama Jackie aliumia mno na kuwaita polise Ili wamkamate Julius ila Jackie akamkataza mama yake na kumwambia kwamba ni engineer mkuu aliyekuja kujenga hospital usimdhuru ila mama yake aliumia sana na kumwambia Jackie asishirikiane naye ila Jackie akamwambia mama yake kwamba ni sehemu ya kazi mama.

 

4. Basi baadae Jackie ndipo akaamua kuongea na engineer kuhusu kujenga hospital ila Jackie alikuwa na wasiwasi mkubwa sana kwa sababu alishawahi kukutana na udanganyifu wa julius basi wakapanga vizuri na kazi zikaendelea vizuri, ila kitendo cha kuona julius kwenye mazingira kilimfanya Jackie akumbuke julius na pia julius alimkumbuka Jackie ila hakuna aliyedhubutu kumwambia mwenzake ila kazi zikaendelea kama kawaida.na siku Moja Julius akaamua kumwambia Jackie habari za kumchumbia Jackie.

Itaendelea baadae

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 955

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani.

Soma Zaidi...
Mtoto wa Tajiri na maskini ( sehemu ya kwanza)
Mtoto wa Tajiri na maskini ( sehemu ya kwanza)

Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme (sehemu ya nne)
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme (sehemu ya nne)

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1

Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Soma Zaidi...
Mahusiano ya vijana wawili
Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya pili)
USALITI (sehemu ya pili)

Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA
SAFARI YA MUUJIZA

Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.

Soma Zaidi...