picha

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Siku ilipofika wakamaliza mkutano na ikabidi engineer na daktari mkuu kukutana basi daktari akaenda ofisini mwake Ili kuongea na engineer kwa hiyo akafungua ofisi na kumtuma secretary wake Ili kumpatia engeener aweke sahihi Ili aingie ofisini kwa hiyo secretary akapeleka kitabu na engineer akaweka sahihi na daktari kuja kusoma akashangaa kuona majina yote ya julius base Jackie akashutuka sana na akafikilia kwa Mda na kutafakari upendo wao yeye na Juliusi basi akaamuru julius aingie ndani na daktari Jackie akamtuma secretary mbali Ili kikitokea cha kutokea hasijue.

 

2. Basi julius akaruhusiwa kuingia ndani kwa heshima Ili kukutana na daktari mkuu kuangalia daktari ni Jackie julius hakuamim macho yake akaja kusalimiana na Jackie kigugumuzi kikamshika Jackie akatoa machozi wakakumbatiana kwa furaha ila katika kukumbatiana Jackie akaanguka chini akazimia mle ofisi na Juliusi aliangaika sana na kuwaita watu Ili kumsaidia daktari,watu wakajiuliza sana kuhusu kuzimia kwa daktari mkuu na kwa sababu ya kuingia kwa mgeni na kitendo cha kumgukuza secretary.

 

3. Basi baada ya mda Jackie akazinduka na kuulizwa kilichotokea hakujibu chachote na pia mama yake alikuwa anaishi na Jackie kitendo cha kumwona julius mama Jackie aliumia mno na kuwaita polise Ili wamkamate Julius ila Jackie akamkataza mama yake na kumwambia kwamba ni engineer mkuu aliyekuja kujenga hospital usimdhuru ila mama yake aliumia sana na kumwambia Jackie asishirikiane naye ila Jackie akamwambia mama yake kwamba ni sehemu ya kazi mama.

 

4. Basi baadae Jackie ndipo akaamua kuongea na engineer kuhusu kujenga hospital ila Jackie alikuwa na wasiwasi mkubwa sana kwa sababu alishawahi kukutana na udanganyifu wa julius basi wakapanga vizuri na kazi zikaendelea vizuri, ila kitendo cha kuona julius kwenye mazingira kilimfanya Jackie akumbuke julius na pia julius alimkumbuka Jackie ila hakuna aliyedhubutu kumwambia mwenzake ila kazi zikaendelea kama kawaida.na siku Moja Julius akaamua kumwambia Jackie habari za kumchumbia Jackie.

Itaendelea baadae

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1326

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya kijana Frank na Amisa pia na wapenzi wawili ambao ni James na Amina.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI part 1

Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku

Soma Zaidi...
Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Soma Zaidi...
Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 3)

Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani.

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA

Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya tatu)

Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto.

Soma Zaidi...
Hadithi za alif lela u lela

Haya ni masimulizi ya Hadithi za alif lela u lela

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Soma Zaidi...