Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Siku ilipofika wakamaliza mkutano na ikabidi engineer na daktari mkuu kukutana basi daktari akaenda ofisini mwake Ili kuongea na engineer kwa hiyo akafungua ofisi na kumtuma secretary wake Ili kumpatia engeener aweke sahihi Ili aingie ofisini kwa hiyo secretary akapeleka kitabu na engineer akaweka sahihi na daktari kuja kusoma akashangaa kuona majina yote ya julius base Jackie akashutuka sana na akafikilia kwa Mda na kutafakari upendo wao yeye na Juliusi basi akaamuru julius aingie ndani na daktari Jackie akamtuma secretary mbali Ili kikitokea cha kutokea hasijue.

 

2. Basi julius akaruhusiwa kuingia ndani kwa heshima Ili kukutana na daktari mkuu kuangalia daktari ni Jackie julius hakuamim macho yake akaja kusalimiana na Jackie kigugumuzi kikamshika Jackie akatoa machozi wakakumbatiana kwa furaha ila katika kukumbatiana Jackie akaanguka chini akazimia mle ofisi na Juliusi aliangaika sana na kuwaita watu Ili kumsaidia daktari,watu wakajiuliza sana kuhusu kuzimia kwa daktari mkuu na kwa sababu ya kuingia kwa mgeni na kitendo cha kumgukuza secretary.

 

3. Basi baada ya mda Jackie akazinduka na kuulizwa kilichotokea hakujibu chachote na pia mama yake alikuwa anaishi na Jackie kitendo cha kumwona julius mama Jackie aliumia mno na kuwaita polise Ili wamkamate Julius ila Jackie akamkataza mama yake na kumwambia kwamba ni engineer mkuu aliyekuja kujenga hospital usimdhuru ila mama yake aliumia sana na kumwambia Jackie asishirikiane naye ila Jackie akamwambia mama yake kwamba ni sehemu ya kazi mama.

 

4. Basi baadae Jackie ndipo akaamua kuongea na engineer kuhusu kujenga hospital ila Jackie alikuwa na wasiwasi mkubwa sana kwa sababu alishawahi kukutana na udanganyifu wa julius basi wakapanga vizuri na kazi zikaendelea vizuri, ila kitendo cha kuona julius kwenye mazingira kilimfanya Jackie akumbuke julius na pia julius alimkumbuka Jackie ila hakuna aliyedhubutu kumwambia mwenzake ila kazi zikaendelea kama kawaida.na siku Moja Julius akaamua kumwambia Jackie habari za kumchumbia Jackie.

Itaendelea baadae



Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/07/20/Wednesday - 07:58:29 pm     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 648


Download our Apps
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-