Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita


image


Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.


Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita.

1. Baada ya bibi kutoka kumpasha habari mke mdogo wa mfalme kwa kila kitu kinachoendelea alirudi kwa mke mkubwa  wa mfalme na kumwambia kwamba binti yako ameharibu kwa kuolewa na yule kijana ila ni lazima tufanye mbinu ila upate mfalme kwenye ukoo wako  kwa sababu nitaongea na mke mdogo wa mfalme aende kumtembelea kijana wake ilai siku akienda nenda ulale na mfalme utapata mimba ya mtoto wa kiume,kwa sababu bibi ashafanya mazindiko yake ili mama apate mtoto wa kiume.

 

2. Basi ilifika wakati yule mtoto wa  Mzee na kijana wa kiume wakapata watoto wa kiume wawili mapacha, kwa hiyo yule mke mdogo akaenda kuwasalimia wajukuu wa kiume ili aje ampashe mfalme habari, yule Mke mdogo wa mfalme alipoondoka yule mke mkubwa akaenda kwa mfalme akalala na mfalme akabeba mimba ya mtoto wa kiume, baada ya mke mdogo wa mfalme kurudi bibi akamwambia kwamba mke mkubwa wa mfalme amebeba mimba na dalili ni mtoto wa kiume.

 

3. Basi yule mke mdogo akapanic sana akamuuliza bibi mjanja tufanyeje? Bibi akamwambia tumpeleke yule mke wa kwanza wa kijana wa mfalme mbali na mme wake amsindikize na pia tumwambie mfalme kuwa anapaswa kusimika mrithi wa ufalme, kwa hiyo wakapanga na mtoto wa kiume wa mfalme wakamwahidia mali nyingi kwa sababu ya kupenda mali akakubali kurudi nyumbani kutoka machimboni ila mke yule alimwacha, akamwambia mfalme kwamba niko tayari kurithi ufalme wako, mfalme akafurahi sana ila akampa mashariti kwamba hapendi sherehe anaomba akabidhiwe kadri ya sheria na watu wachache sherehe itakuwa baadae mfalme akakubali.

 

4. Basi kesho yake yule mtoto wa kiume wa mfalme akamwambia mke wake yule pacha wake waende kutembea kwenye ufalme mwingine yule binti akafurahi sana wakaenda walipofika akamwacha huko akampitia mke mwingine yule mwenye mapacha akamleta kwa baba yake mfalme, baba yake akafurahi sana akaandaa sherehe akampatia mtoto wake ufalme na bibi akaitwa kukaa ikulu na baada ya siku chache yule mama mkubwa akajifungua mtoto wa kiume . hadithi yangu imeishia hapo.

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    2 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Hadithi ya binti mwenye kufichwa mtoto wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image The fastest (anakwenda mbio zaidi)
Posti hii inakwenda kukuletea sifa za mnyama anayekwenda mbio zaidi Soma Zaidi...

image Hatma ya kinyozi maishani mwangu
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

image Hadithi ya chongo wa kwanza mtoto wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara. Soma Zaidi...

image Ndani ya pango la makaburi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa safari saba za Sinbad Soma Zaidi...

image Usaliti unaanza hapa
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Historia ya zamani
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Ujumbe wa Siri kwenye kitabu cha ajabu
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Jaribio la tatu la aladini
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...