picha

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita

Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita.

1. Baada ya bibi kutoka kumpasha habari mke mdogo wa mfalme kwa kila kitu kinachoendelea alirudi kwa mke mkubwa  wa mfalme na kumwambia kwamba binti yako ameharibu kwa kuolewa na yule kijana ila ni lazima tufanye mbinu ila upate mfalme kwenye ukoo wako  kwa sababu nitaongea na mke mdogo wa mfalme aende kumtembelea kijana wake ilai siku akienda nenda ulale na mfalme utapata mimba ya mtoto wa kiume,kwa sababu bibi ashafanya mazindiko yake ili mama apate mtoto wa kiume.

 

2. Basi ilifika wakati yule mtoto wa  Mzee na kijana wa kiume wakapata watoto wa kiume wawili mapacha, kwa hiyo yule mke mdogo akaenda kuwasalimia wajukuu wa kiume ili aje ampashe mfalme habari, yule Mke mdogo wa mfalme alipoondoka yule mke mkubwa akaenda kwa mfalme akalala na mfalme akabeba mimba ya mtoto wa kiume, baada ya mke mdogo wa mfalme kurudi bibi akamwambia kwamba mke mkubwa wa mfalme amebeba mimba na dalili ni mtoto wa kiume.

 

3. Basi yule mke mdogo akapanic sana akamuuliza bibi mjanja tufanyeje? Bibi akamwambia tumpeleke yule mke wa kwanza wa kijana wa mfalme mbali na mme wake amsindikize na pia tumwambie mfalme kuwa anapaswa kusimika mrithi wa ufalme, kwa hiyo wakapanga na mtoto wa kiume wa mfalme wakamwahidia mali nyingi kwa sababu ya kupenda mali akakubali kurudi nyumbani kutoka machimboni ila mke yule alimwacha, akamwambia mfalme kwamba niko tayari kurithi ufalme wako, mfalme akafurahi sana ila akampa mashariti kwamba hapendi sherehe anaomba akabidhiwe kadri ya sheria na watu wachache sherehe itakuwa baadae mfalme akakubali.

 

4. Basi kesho yake yule mtoto wa kiume wa mfalme akamwambia mke wake yule pacha wake waende kutembea kwenye ufalme mwingine yule binti akafurahi sana wakaenda walipofika akamwacha huko akampitia mke mwingine yule mwenye mapacha akamleta kwa baba yake mfalme, baba yake akafurahi sana akaandaa sherehe akampatia mtoto wake ufalme na bibi akaitwa kukaa ikulu na baada ya siku chache yule mama mkubwa akajifungua mtoto wa kiume . hadithi yangu imeishia hapo.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 2564

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰5 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
Hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na

Soma Zaidi...
Ni nani kama mama

Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.

Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Post hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mitihani inaisha na wanaanza kuhukumiwa mmoja baada ya mwingine.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano, baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kuona udhaifu wake kwamba anapenda sana mali.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.

Soma Zaidi...
Hadithi katika kijiji cha burugo

Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii .

Soma Zaidi...