Posti hii inahusu zaidi mafundisho ambayo tunayapata kutoka kwa binti mfalme, tunapotoa hadithi sio kusoma na kufurahia tu ila kuna mafundisho muhimu katika maisha yetu.
1. Fundisho la kwanza ni kwamba ukipata watoto wakiwa kwenye jinsia tofauti, watoto wote ni sawa.
Kwa mfano kuna mama anaweza kupata watoto wa kiume tu au wa kike tu mshukuru Mungu kwa sababu huwezi kujua nani atakusaidia kwa sababu tumeona jinsi mke mdogo wa mfalme alivyokuwa na wasiwasi sana baada ya kuona tatizo lake linagundulika la kumtupa Mtoto wa kike na kubakiza wa kiume ingawa alichokipenda alikipata ila kwa kutumia nguvu na mda hata kama angejifungua wote wawili me sioni shida bali mmoja angerithi ufalme na mwingine angebaki kawaida.
2. Pia fundisho la pili kutokana na hadithi hii ni kwamba wasichana acheni tabia ya kutupa watoto kwa sababu ujui unayemtupa ndiye atakufa upoteze amani baadae , kwa mfano unaweza kutoa mimba ukaitoa vibaya na kizazi kikapitiwa kwa hiyo utaumia maisha yako yote , kama mke mdogo alivyoangaika kwa kitendo cha kutomtambulisha mtoto wa kike kwa mfalme.
3 fundisho la tatu ni kwamba tunapaswa kuachana na usaliti katika maisha kwa sababu mtoto wa kiume wa mfalme baada ya kuona yule binti kwa mzee aliweza kushawishika na kuamua kumwacha mkewe mpandwa aliyepigania na kukosa uhusiano mzuri na mama yake akaona msichana wa kwa mzee.
4. Fundisho la nne ni kwamba wivu ni mbaya kwa sababu wake wenza walimwonaea wivu mke mdogo akaamua kutoroka na kuzaa watoto wawili msichana na mvulana , mmoja akamwacha kwa bibi, labda hasingeonewa wivu na kutoroka angezalia kwa mumewe hasingemtupa kwa bibi yule msichana.
5. Katika maisha yetu tuache kuwa ndumila kuwili kama bibi mara yuko kwa mtoto wa kiume wa mfalme, mara kwa mke mdogo wa mfalme, mara yuko kwa mke mkubwa wa mfalme, mara yuko kwa mzee lengo lake ni kupata maslahi yake na alifanikiwa.
6. Fundisho la mwisho wanaume wanapaswa kuwa na msimamo mkubwa kwenye familia zao bila kuendesha na wanawake sawa ingawa kushauriana ni kuzuri ila kuna mambo mengine makubali tu bila kuchunguza kama mfalme alivyokuwa anakubali kila kitu kutoka kwa mke mdogo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma.
Soma Zaidi...Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii .
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.
Soma Zaidi...