MAFUNDISHO KUTOKANA NA HADITHI YA BINTI MFALME


image


Posti hii inahusu zaidi mafundisho ambayo tunayapata kutoka kwa binti mfalme, tunapotoa hadithi sio kusoma na kufurahia tu ila kuna mafundisho muhimu katika maisha yetu.


Mafundisho kutokana na hadithi ya Binti mfalme.

1. Fundisho la kwanza ni kwamba ukipata watoto wakiwa kwenye jinsia tofauti, watoto wote ni sawa.

Kwa mfano kuna mama anaweza kupata watoto wa kiume tu au wa kike tu mshukuru Mungu kwa sababu huwezi kujua nani atakusaidia kwa sababu tumeona jinsi mke mdogo wa mfalme alivyokuwa na wasiwasi sana baada ya kuona tatizo lake linagundulika la kumtupa Mtoto wa kike na kubakiza wa kiume ingawa alichokipenda alikipata ila kwa kutumia nguvu na mda hata kama angejifungua wote wawili me sioni shida bali mmoja angerithi ufalme na mwingine angebaki kawaida.

 

2. Pia fundisho la pili kutokana na hadithi hii ni kwamba wasichana acheni tabia ya kutupa watoto kwa sababu ujui unayemtupa ndiye atakufa upoteze amani baadae , kwa mfano unaweza kutoa mimba ukaitoa vibaya na kizazi kikapitiwa kwa hiyo utaumia maisha yako yote , kama mke mdogo alivyoangaika kwa kitendo cha kutomtambulisha mtoto wa kike kwa mfalme.

 

3 fundisho la tatu ni kwamba tunapaswa kuachana na usaliti katika maisha kwa sababu mtoto wa kiume wa mfalme baada ya kuona yule binti kwa mzee aliweza kushawishika na kuamua kumwacha mkewe mpandwa aliyepigania na kukosa uhusiano mzuri na mama yake akaona msichana wa kwa mzee.

 

4. Fundisho la nne ni kwamba wivu ni mbaya kwa sababu wake wenza walimwonaea wivu mke mdogo akaamua kutoroka na kuzaa watoto wawili msichana na mvulana , mmoja akamwacha kwa bibi, labda hasingeonewa wivu na kutoroka angezalia kwa mumewe hasingemtupa kwa bibi yule msichana.

 

5.  Katika maisha yetu tuache kuwa ndumila kuwili kama bibi mara yuko kwa mtoto wa kiume wa mfalme, mara kwa mke mdogo wa mfalme, mara yuko kwa mke mkubwa wa mfalme, mara yuko kwa mzee lengo lake ni kupata maslahi yake na alifanikiwa.

 

6. Fundisho la mwisho wanaume wanapaswa kuwa na msimamo mkubwa kwenye familia zao bila kuendesha na wanawake sawa ingawa kushauriana ni kuzuri ila kuna mambo mengine makubali tu bila kuchunguza kama mfalme alivyokuwa anakubali kila kitu kutoka kwa mke mdogo.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Ujumbe wa Siri kwenye kitabu cha ajabu
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Kila kitu ambacho wanaume wanatakiwa kufahamu kuhusu wanawake.
Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache. Soma Zaidi...

image Kutokana kwenye kisima mpaka kuwa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Hadithi ya chongo wa tatu mtoto wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image WAKATI WA KUFUMBUKA
Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha. Soma Zaidi...

image Hadithi ya kinyozi msiri wa mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Harusi ya aladini na binti sultani
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)
Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha. Soma Zaidi...

image Siri ya kifo yafichuka
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Safari ya pili ya Sinbad
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa safari saba za Sinbad Soma Zaidi...