Posti hii inahusu zaidi mafundisho ambayo tunayapata kutoka kwa binti mfalme, tunapotoa hadithi sio kusoma na kufurahia tu ila kuna mafundisho muhimu katika maisha yetu.
1. Fundisho la kwanza ni kwamba ukipata watoto wakiwa kwenye jinsia tofauti, watoto wote ni sawa.
Kwa mfano kuna mama anaweza kupata watoto wa kiume tu au wa kike tu mshukuru Mungu kwa sababu huwezi kujua nani atakusaidia kwa sababu tumeona jinsi mke mdogo wa mfalme alivyokuwa na wasiwasi sana baada ya kuona tatizo lake linagundulika la kumtupa Mtoto wa kike na kubakiza wa kiume ingawa alichokipenda alikipata ila kwa kutumia nguvu na mda hata kama angejifungua wote wawili me sioni shida bali mmoja angerithi ufalme na mwingine angebaki kawaida.
2. Pia fundisho la pili kutokana na hadithi hii ni kwamba wasichana acheni tabia ya kutupa watoto kwa sababu ujui unayemtupa ndiye atakufa upoteze amani baadae , kwa mfano unaweza kutoa mimba ukaitoa vibaya na kizazi kikapitiwa kwa hiyo utaumia maisha yako yote , kama mke mdogo alivyoangaika kwa kitendo cha kutomtambulisha mtoto wa kike kwa mfalme.
3 fundisho la tatu ni kwamba tunapaswa kuachana na usaliti katika maisha kwa sababu mtoto wa kiume wa mfalme baada ya kuona yule binti kwa mzee aliweza kushawishika na kuamua kumwacha mkewe mpandwa aliyepigania na kukosa uhusiano mzuri na mama yake akaona msichana wa kwa mzee.
4. Fundisho la nne ni kwamba wivu ni mbaya kwa sababu wake wenza walimwonaea wivu mke mdogo akaamua kutoroka na kuzaa watoto wawili msichana na mvulana , mmoja akamwacha kwa bibi, labda hasingeonewa wivu na kutoroka angezalia kwa mumewe hasingemtupa kwa bibi yule msichana.
5. Katika maisha yetu tuache kuwa ndumila kuwili kama bibi mara yuko kwa mtoto wa kiume wa mfalme, mara kwa mke mdogo wa mfalme, mara yuko kwa mke mkubwa wa mfalme, mara yuko kwa mzee lengo lake ni kupata maslahi yake na alifanikiwa.
6. Fundisho la mwisho wanaume wanapaswa kuwa na msimamo mkubwa kwenye familia zao bila kuendesha na wanawake sawa ingawa kushauriana ni kuzuri ila kuna mambo mengine makubali tu bila kuchunguza kama mfalme alivyokuwa anakubali kila kitu kutoka kwa mke mdogo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano, baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kuona udhaifu wake kwamba anapenda sana mali.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.
Soma Zaidi...