image

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Kama tulivyoona kwenye hadithi iliyotangulia ni kwamba wavulana waliandika barua kwa jack ili waweze kumfanya jack apumbazike na kufeli mtihani kwa hiyo barua hiyo iliandikwa kama ifuatavyo.

 

2. Natumaini kuwa ujambo na unaendelea vizuri na masomo na pia naona siku hizi unafaulu sana , mpenzi jack kwa kweli umeejaliwa kila kitu uzuri wa sura, umbo zuri,mguu kama bia , unapendwa na wanafunzi wote na kitu kizuri zaidi ni kufaulu darasani kwa hayo yote naona hakuna msichana mwenye sifa kama hizo katika shule nzima kweli umebalikiwa.

 

2. Jackie kwa kweli mimi huwa nakupenda sana na ukumbuke tumetoka mbali mno mimi na wewe kumbuka tulikotoka jinsi ulivyohama nikakufuata na sasa mimi naona kama unanisaliti kwa kumpenda Dickson na inaniuma sana kutoka moyoni kwa hiyo ni vizuri kabisa tuje pamoja tuyajenge na turudie kawaida, Jackie mpaka umenifanya nikawa na feli ni kwa sababu ya kufikilia wewe, pamoja na hayo nakuomba tuwe tunasoma wote kila siku na kwenye dawati tuwe tunakaa wote.

 

3. Kama unataka kuamini siku ya jumamosi twende hotelini tuongee vizuri ili uone uchungu nilionao kwa sababu naumia sana mno yaani mpaka naona aibu kulia mbele ya wenzangu kwa sababu ya kuwepo kwa uchungu moyoni mwangu, jackie umenifanya nalia nakonda mimi, Bora nife kuliko kuishi bila wewe, yaani baada ya kupokea barua hii nijibu Ili nione cha kufanya.ila natumain ombi litafanikiwa.

 

4. Jackie baada ya kupokea barua hii alifurahi mno kwa sababu alimpenda sana Julius na kumpenda Dickson alitafuta sehemu ya kujishikisha yaani tangia hapo akili zikamruka na akamtafuta Rafiki yake Ili kumwonuesha barua Ile, ila rafiki yake hakufurahi kwa sababu alijua kabisa kuhusu usaliti wa wavulana alijaribu kumshauri sana Jackie lakini Jackie hakuelewa alitafuta mda Ili kuweza kujibu barua ya Julius.

 

5. Kesho yake Julius alikuuja kukaa na Jackie kwenye dawati Moja na Jackie alifurahi sana kuona Julius anakuja kukaa naye na hapo ndipo mwanzo wa kupoteza masomo darasani. Kwa hiyo Julius akaomba majibu ya barua yake , Jackie aliandika kama ifuatavyo.

Itaendelea baadae





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 734


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Chemsha bongo na bongoclass
Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi. Soma Zaidi...

NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tatu)
Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya kijana Frank na Amisa pia na wapenzi wawili ambao ni James na Amina. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tano)
Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)
Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il Soma Zaidi...

Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya nne)
Post hii inahusu zaidi watoto Hawa wawili wakiwa kwenye kituo cha mapumziko ambapo mtoto wa tajiri anabugia soda aliyopewa na yule mwalimu pia tumbo linaanza tena na anaanza kuendesha Soma Zaidi...

JIFUNZE DINI YA KIISLAMU, quran, hadithi, tawhid, tajwid, sira na fiqh
Jifunze mengi kuhusu dini hapa Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara. Soma Zaidi...