Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano, baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kuona udhaifu wake kwamba anapenda sana mali.
1. Baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kugundua kwamba anapenda sana mali. Kwa hiyo bibi akagundua namna ya kumtega ili aweze kuona mke wa pili ili aje apate ufalme na bibi apate sehemu ya kuishi na kutunzwa.
2. Palikuwepo na mzee mmoja alikuwa na kiwanja kikubwa cha madini mbalimbali kwa hiyo bibi alisafiri akaenda huku na kuongea na mzee kwamba kuna mtoto wa kiume wa mfalme angependa kuchimba madini pamoja nawe, basi yule Mzee aliogopa sana na kusema yeye ni nani mpaka afanye kazi na mtoto wa pekee wa kiume wa mfalme? Bibi akasema usihofu yeye ameomba,
3. Basi yule mzee alikuwa na mabinti wanne wazuri sana . Bibi akamwambia sheria ni kwamba ukimpatia mtoto wa kiume wa mfalme sehemu ya kuchimba ni lazima umpatie na binti mmoja wa kumliwadha na mzee akafurahi sana kuona binti yake anaolewa na mtoto wa mfalme, kwa hiyo binti akaandaliwa vizuri na kupambwa kwa ajili ya mtoto wa kiume wa mfalme.
4. Basi bibi alienda kwa mtoto wa kiume wa mfalme na kumwambia yote kuhusu mali na madini kutoka kwa yule mzee, mtoto wa kiume wa mfalme alifurahi sana kusikia kitu kinachoitwa madini na kusikia mali kwa hiyo siku hiyo mtoto wa kiume wa mfalme akaandamana na umati mkubwa wa watu na farasi watu wa kijiji cha yule mzee waliogopa sana ila bibi aliwahakikishia usalama na amani pia.
5. Basi mtoto wa mfalme akaonyeshwa sehemu kubwa ya kuchimba akaanza kuchimba, na akapiga hema uko, ila siku ya kwanza alichoka mno alipoingia chumbani kwake alikuta binti mzuri alifurahi sana kuona jinsi alivyoandaliwa na yule mzee binti mzuri mno akalala naye na ilikuwa siku ya kubeba mimba akabeba mimba ya mapacha wa kiume na baada ya siku chache aliambiwa habari ya ujauzito wa mke wake alifurahi sana kwa sababu yule mke wa kwanza hakuwahi kuwa na mimba.
6. Basi bibi baada ya kuchimba kila kitu akamwacha mtoto wa kiume wa mfalme na mke mpa akaenda kwa mke mdogo wa mfalme akamwambia kila kitu na yule mama alifurahi mno.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme.
Soma Zaidi...Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank
Soma Zaidi...