Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Kwa hiyo baba Jackie aliposikia kwamba mama Jackie na Jackie wapo wodin wamekazwa alishutuka sana akakimbilia hospital, kwa kawaida Kazi yake baba Jackie alikuwa mwanajeshi na

 alimpenda sana Binti yake, kwa hiyo baada ya kufika hospital na kuwaona au kuiona familia yake imelazwa na ugonjwa haueleweki alishangaa na akapanic sana na cha ajabu kusikia Binti yake akiita Juliusi , ndipo akamwuliza Binti yake Julius ni nani akasema ni mchumba wangu.

 

2. Ndipo baba yake akachukua bastola akakimbia nayo mpaka shuleni alikuta wanafunzi wanajiandaa na mtihani WA pili akaingia ofisi na bastola akiulizia julius naye Julius aliposikia habari akaanza kulia mapema kwa hiyo ilikuwa njia rahisi kumkamata kwa hiyo yule baba alipoulizia Julius akiwa amenyosha bastola kila mwanafunzi alikimbia na kumwacha julius mwenyewe, julius alipokamatwa alipigwa makofi mateke na kila aina ya kipigo ila walimu walipoona hayo waliita polisi na polisi ikamkamata baba Jackie wakampeleka police 

 

3. Kwa hiyo familia yote ilikuwa kwenye matatizo mama na mtoto wako hospital, baba Yuko polisi, kwa hiyo baada ya mtihani wenzake na Jackie walikenda kumwona na kumwambia kwamba baba yake yupo polisi, kwa sababu akili za Jackie zilikuwa sawa alikimbia nyumbani ni kutoa taarifa kwa ndugu ndipo ndugu wakafika shuleni na kuhakikisha kwamba na Juliusi na yeye yupo chini ya ulinzi.kwa hiyo Julius baada ya kuwekwa chini ya ulinzi baba yake alipewa taarifa na akaja kuangalia kinachoendelea , baba julius baada ya kumwona mwanae aliumia sana na kuanza kumwuliza kwa nini alifanyiwa hivyo hakutoa jibu la kutosha 

 

4. Kwa sababu mitihani ilikuwa inaendelea wanafunzi waliokuwa wamekamatwa kwenye makosa ambao ni julius na Jackie waliamuliwa kuendelea na mitihani wakati wakisubiri wahojiwe , julius na kundi lake baada ya kusikia hayo matumbo yaliwaka moto na pia hawakufanya mtihani. Kwa hiyo wazazi wakisubiri ilinkuweza kusikiliza kesi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1304

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰3 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰4 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰5 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.

Soma Zaidi...
Usichofahamu kuhusu mazoezi

Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.

Soma Zaidi...
Hadithi katika kijiji cha burugo

Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii .

Soma Zaidi...
Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 2

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
Mtoto wa Tajiri na maskini ( sehemu ya kwanza)

Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Post hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mitihani inaisha na wanaanza kuhukumiwa mmoja baada ya mwingine.

Soma Zaidi...