Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Kwa hiyo baba Jackie aliposikia kwamba mama Jackie na Jackie wapo wodin wamekazwa alishutuka sana akakimbilia hospital, kwa kawaida Kazi yake baba Jackie alikuwa mwanajeshi na

 alimpenda sana Binti yake, kwa hiyo baada ya kufika hospital na kuwaona au kuiona familia yake imelazwa na ugonjwa haueleweki alishangaa na akapanic sana na cha ajabu kusikia Binti yake akiita Juliusi , ndipo akamwuliza Binti yake Julius ni nani akasema ni mchumba wangu.

 

2. Ndipo baba yake akachukua bastola akakimbia nayo mpaka shuleni alikuta wanafunzi wanajiandaa na mtihani WA pili akaingia ofisi na bastola akiulizia julius naye Julius aliposikia habari akaanza kulia mapema kwa hiyo ilikuwa njia rahisi kumkamata kwa hiyo yule baba alipoulizia Julius akiwa amenyosha bastola kila mwanafunzi alikimbia na kumwacha julius mwenyewe, julius alipokamatwa alipigwa makofi mateke na kila aina ya kipigo ila walimu walipoona hayo waliita polisi na polisi ikamkamata baba Jackie wakampeleka police 

 

3. Kwa hiyo familia yote ilikuwa kwenye matatizo mama na mtoto wako hospital, baba Yuko polisi, kwa hiyo baada ya mtihani wenzake na Jackie walikenda kumwona na kumwambia kwamba baba yake yupo polisi, kwa sababu akili za Jackie zilikuwa sawa alikimbia nyumbani ni kutoa taarifa kwa ndugu ndipo ndugu wakafika shuleni na kuhakikisha kwamba na Juliusi na yeye yupo chini ya ulinzi.kwa hiyo Julius baada ya kuwekwa chini ya ulinzi baba yake alipewa taarifa na akaja kuangalia kinachoendelea , baba julius baada ya kumwona mwanae aliumia sana na kuanza kumwuliza kwa nini alifanyiwa hivyo hakutoa jibu la kutosha 

 

4. Kwa sababu mitihani ilikuwa inaendelea wanafunzi waliokuwa wamekamatwa kwenye makosa ambao ni julius na Jackie waliamuliwa kuendelea na mitihani wakati wakisubiri wahojiwe , julius na kundi lake baada ya kusikia hayo matumbo yaliwaka moto na pia hawakufanya mtihani. Kwa hiyo wazazi wakisubiri ilinkuweza kusikiliza kesi

Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1256

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Kila kitu ambacho wanaume wanatakiwa kufahamu kuhusu wanawake.
Kila kitu ambacho wanaume wanatakiwa kufahamu kuhusu wanawake.

Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache.

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1

Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
Hadithi ya Binti mfalme
Hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na

Soma Zaidi...
Usichofahamu kuhusu mazoezi
Usichofahamu kuhusu mazoezi

Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI part 1
NIMLAUMU NANI part 1

Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku

Soma Zaidi...
Chemsha bongo na bongoclass
Chemsha bongo na bongoclass

Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi.

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA
WAKATI WA KUFUMBUKA

Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA sehemu ya tatu
SAFARI YA MUUJIZA sehemu ya tatu

Post hii inahusu Zaidi hadithi ya safari ya muujiza ambapo ya Mungu mengi anaenda kwao na kuomba kufahamu history yake ili afahamu kuhusu wazazi weo walipo na ndugu zao walipo.

Soma Zaidi...