picha

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Kwa hiyo baba Jackie aliposikia kwamba mama Jackie na Jackie wapo wodin wamekazwa alishutuka sana akakimbilia hospital, kwa kawaida Kazi yake baba Jackie alikuwa mwanajeshi na

 alimpenda sana Binti yake, kwa hiyo baada ya kufika hospital na kuwaona au kuiona familia yake imelazwa na ugonjwa haueleweki alishangaa na akapanic sana na cha ajabu kusikia Binti yake akiita Juliusi , ndipo akamwuliza Binti yake Julius ni nani akasema ni mchumba wangu.

 

2. Ndipo baba yake akachukua bastola akakimbia nayo mpaka shuleni alikuta wanafunzi wanajiandaa na mtihani WA pili akaingia ofisi na bastola akiulizia julius naye Julius aliposikia habari akaanza kulia mapema kwa hiyo ilikuwa njia rahisi kumkamata kwa hiyo yule baba alipoulizia Julius akiwa amenyosha bastola kila mwanafunzi alikimbia na kumwacha julius mwenyewe, julius alipokamatwa alipigwa makofi mateke na kila aina ya kipigo ila walimu walipoona hayo waliita polisi na polisi ikamkamata baba Jackie wakampeleka police 

 

3. Kwa hiyo familia yote ilikuwa kwenye matatizo mama na mtoto wako hospital, baba Yuko polisi, kwa hiyo baada ya mtihani wenzake na Jackie walikenda kumwona na kumwambia kwamba baba yake yupo polisi, kwa sababu akili za Jackie zilikuwa sawa alikimbia nyumbani ni kutoa taarifa kwa ndugu ndipo ndugu wakafika shuleni na kuhakikisha kwamba na Juliusi na yeye yupo chini ya ulinzi.kwa hiyo Julius baada ya kuwekwa chini ya ulinzi baba yake alipewa taarifa na akaja kuangalia kinachoendelea , baba julius baada ya kumwona mwanae aliumia sana na kuanza kumwuliza kwa nini alifanyiwa hivyo hakutoa jibu la kutosha 

 

4. Kwa sababu mitihani ilikuwa inaendelea wanafunzi waliokuwa wamekamatwa kwenye makosa ambao ni julius na Jackie waliamuliwa kuendelea na mitihani wakati wakisubiri wahojiwe , julius na kundi lake baada ya kusikia hayo matumbo yaliwaka moto na pia hawakufanya mtihani. Kwa hiyo wazazi wakisubiri ilinkuweza kusikiliza kesi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jamvini Main: Post File: Download PDF Views 1998

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 ai web app     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme (sehemu ya nne)

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu

Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 2

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tano)

Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma.

Soma Zaidi...
Ni nani kama mama

Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita

Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.

Soma Zaidi...