NIMLAUMU NANI part 1

NIMLAUMU NANI part 1

Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku

"NIMLAUMU NANI"

1. Ni asubuhi Moja nzuri iliyokuwa na upepo kidogo na jua kuanza kujitokeza huku ndege wakiimba nyimbo nzuri na watu wakijiandaa kwenda makazini, ila kwa sababu Frank siku hiyo hakuwa na picha atatokea wapi kwa sababu yeye kupata kazi kwa siku ilikuwa ni majaliwa ya mwenyezi Mungu kwa sababu alitegemea vibarua Ili mkono uweze kuingia kinywani kwa hiyo siku hiyo alikuwa Hana picha na hata hajapata mtu wa kumwita kumpatia kibarua. Frank aliendelea kuvuta shuka ghafla akasikia simu ikiitia kupokea anasikia maneno makali kutoka kwa mpenzi wake Amina, ni maneno ya kusikitisha yakisema.

 

 

 

 

2. "Wewe ni mpenzi gani maskini naona huwezi kunitunza kwa hiyo chukua zako hamsini na mimi nichukue zangu hamsini kwa sababu siwezi kuishi na mvulana maskini Kama wewe" maneno haya yalimchoma sana Frank na yalimfanya ahamke kutoka usingizi na kukimbia kwenda dukani kutafuta vocha kwa ajili ya kuongea na mpenzi wake Amina, lakini Amina alimjibu hivi, " yaani wewe maskini hujanielewa sikutaki na usinifatilie na koma kwa sababu mimi sio wa kiwango chako, baada ya Frank kusikia maneno kama hayo aliumia sana na kuwa na uchungu sana kwa sababu alitegemea sana Amina kama faraja kwake, alifikilia sana akajipigapiga kichwa ,akajishauri na akaamua kwenda kwa rafiki yake James kuomba ushauri Ili kumbembeleza Amina kuendelea kuwa karibu na frank.

 

 

 

 

 

3 Basi frank aliamua kujiandaa vizuri kwenda kwa rafiki yake James kumwambia yaliyo moyoni, ingawa  Frank alikuwa na uchungu aliamua kuwa mkakamavu Ili asiweze kuonyesha uchungu kwa watu aliokutana nao kwa sababu ilimpasa kupanda daladala kwa sababu Kuna mwendo kama saa moja  hivi, Frank alikuwa kwenye kituo cha daladala anmesubiri daladala ghafla akaja gari linaendeshwa na msichana mlembo sana yule msichana akamwambia frank aingie kwenye gari ampe lift akihaidi kumfikisha pale anapoenda basi frank akakubali akapanda lile gari na alifurahi kwa sababu na nauli kwake  ilikuwa ni shida.

 

 

 

 

4. Basi frank alipokuwa kwenye gari alikuwa na uzuni, ila yule msichana aliamua kusimamisha gari Ili kujua yaliyompata Frank, basi frank akapaswa kumwambia msichana yaliyompata yule msichana akaumia sana akaamua kumpa Frank moyo na kumpatia frank number za simu Ili waje kuongea baadae basi frank akafikishwa kwa rafiki yake wakaagana na yule msichana wakapeana number za simu  basi frank alipofika kwake na James akabisha hodi hakufunguliwa akazunguka nyuma ya nyumba hakuona mtu baadae aliamua kuingia ndani mpaka chumbani kwa James ndipo aliposhutuka kuwakuta James na Amina wako kitandani wamekumbatiana.

 

Itaendelea.

 

 

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1383

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)
SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.

Soma Zaidi...
Mafundisho kutokana na hadithi ya Binti mfalme
Mafundisho kutokana na hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi mafundisho ambayo tunayapata kutoka kwa binti mfalme, tunapotoa hadithi sio kusoma na kufurahia tu ila kuna mafundisho muhimu katika maisha yetu.

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA sehemu ya tatu
SAFARI YA MUUJIZA sehemu ya tatu

Post hii inahusu Zaidi hadithi ya safari ya muujiza ambapo ya Mungu mengi anaenda kwao na kuomba kufahamu history yake ili afahamu kuhusu wazazi weo walipo na ndugu zao walipo.

Soma Zaidi...
Chemsha bongo na bongoclass
Chemsha bongo na bongoclass

Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi.

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya tatu)
USALITI (sehemu ya tatu)

Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi.

Soma Zaidi...
Mahusiano ya vijana wawili
Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)
NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)

Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)
NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)

Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.

Soma Zaidi...
Hasara za wivu na kutokuwa wazi ( sehemu ya 2)
Hasara za wivu na kutokuwa wazi ( sehemu ya 2)

Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani.

Soma Zaidi...