picha

Faida za kiafya za kula Pera

Faida za kiafya za kula Pera



Faida z kiafya za pera

  1. husaidia kushusha kiwango cha sukari kwenye damu
  2. Husaidia kuimarisha afya ya moyo
  3. Husaidia kupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
  4. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  5. Husaidia katika kupunguza uzito
  6. Husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani
  7. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
  8. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya ngozi


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1314

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 web hosting     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Faida za muarobaini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kitunguu maji

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu maji

Soma Zaidi...
Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)

Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.

Soma Zaidi...