Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya
Umuhimu wa limao au ndimu
1. Hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke au kiharusi
2. Hushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Huboresha afya ya ngozi
5. huzuia kupata pumu
6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizuri cha vitamini C
10. Limao Lina virutubisho Kama vitamin C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na magnesium
11. Hulinda mwili dhidi ya ugonjwa wa kiseyeye
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini
Soma Zaidi...hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mahindi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Usiogope kuwashwa, kula pilipili ni nzuri kwa afya yako ia virutubisho vingi sana
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.
Soma Zaidi...