Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya
Umuhimu wa limao au ndimu
1. Hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke au kiharusi
2. Hushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Huboresha afya ya ngozi
5. huzuia kupata pumu
6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizuri cha vitamini C
10. Limao Lina virutubisho Kama vitamin C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na magnesium
11. Hulinda mwili dhidi ya ugonjwa wa kiseyeye
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Nanasi ni katika matunda matamu lakini mazuri pia kiafya, je unazijuwa faida zake kiafya
Soma Zaidi...Hapa tutaona kuhusu virutubisho vya wanga, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu lishe salama kwa mjamzito
Soma Zaidi...Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa vitamini C mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi
Soma Zaidi...