Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya
Umuhimu wa limao au ndimu
1. Hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke au kiharusi
2. Hushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Huboresha afya ya ngozi
5. huzuia kupata pumu
6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizuri cha vitamini C
10. Limao Lina virutubisho Kama vitamin C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na magnesium
11. Hulinda mwili dhidi ya ugonjwa wa kiseyeye
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi
Soma Zaidi...Posti hii moja kwa moja inaenda kuelezea vyakula vya nyuzinyuzi zinazopatikana kwenye matunda na mboga mboga.
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...