Post hii itakwenda kukueleza umuhimu wa limao kiafya
Umuhimu wa limao au ndimu
1. Hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa stroke au kiharusi
2. Hushusha presha ya damu
3. Huzuia kupata saratani
4. Huboresha afya ya ngozi
5. huzuia kupata pumu
6. Husaidia katika ufyonzwaji wa madini ya chuma
7. Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
8. Husaidia katika kupunguza uzito
9. Ni chanzo kizuri cha vitamini C
10. Limao Lina virutubisho Kama vitamin C, madini ya chuma, potassium, phosphorus na magnesium
11. Hulinda mwili dhidi ya ugonjwa wa kiseyeye
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa utajifunza kuhusu kazi za protini mwilini na vyakula vipi vina protini kwa wingi
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Okoa afya yako kwa kula tunda papai, kwa hakika hutajuta, papai lina virutubisho vingi
Soma Zaidi...Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya Piriton katika kutibu mzio au akeji ni dawa ambayo kwa lingine huitwa chlorpheniramine Maleate.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari kwa mwenye kisukari
Soma Zaidi...Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo.
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...