Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama
Faida za kula nyama
1. Tunapata virutubisho Kama vile protini, vitamini na fati
2. Huboresha afya ya mifupa
3. Husaidia katika ukuaji Bora na wa haraka
4. Husaidia katika kuongeza uzito
5. Hulinda mwili dhidi ya utapia mlo
6. Madini yaliyopo kwenye nyama husaidia mwili kujilina
7. Ni chakula kitamu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo
Soma Zaidi...Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Soma Zaidi...