Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..

        Kama tulizoona faida za protini ndani ya miili yetu basi pia itambulike kuwa kuna hasara kubwa za kiafya endapo mtu atashindwa kupata protini za kutosheleza ndani ya miili yetu. Hapo chini nitakuorodheshea tu baadhi ya madhara ya kukosa protini ya kutosha:
1.Kudumaa na ukuaji hafifu wa mtoto
        2.Kypata kiriba tumbo
        3.Kupata kwashiakoo
        4.Misuli na nyama kustokijazia vya kutosha
        5.Kukosa nguvu ya kutoka kufanya kazi
        6.Kukonda na kudhoofu
ULAJI WA PROTINI KUPITILIZA
Kwa upande wa pili ulaji wa protini nje ya kiwango unaweza kuleta athari hasi katika afya ya mlaji. Zifuatazo ni madhara ya kula vyakula vya protini kupitiliza:-
1.Kuongezeka kwa uzito mwilini
        2.Kupata tatizo la kukosa chookuharisha
        3.Kupungua kwa maji mwilini
        4.Kupata matatizo ya moyo
        5.Kuathirika kwa fogo
        6.Hatari ya kutengengezwa kwa seli za saratani mwilini
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi mbatata
Soma Zaidi...Uchachu wa ukwaju, ndio ubora wake, kuna virutubisho vingi kwa kula ukwaju, soma makala hii
Soma Zaidi...Utafahamu faida za vitamini C mwilini pamoja na kujuwa umuhimu wa vitamini C
Soma Zaidi...