Madhara ya upungufu wa protini mwilini
Madhara ya upungufu wa protini ni mengi kiafya. Miongoni mwa madhara hayo ni..
UPUNGUFU WA PROTINI NA DALILI ZAKE
Kama tulizoona faida za protini ndani ya miili yetu basi pia itambulike kuwa kuna hasara kubwa za kiafya endapo mtu atashindwa kupata protini za kutosheleza ndani ya miili yetu. Hapo chini nitakuorodheshea tu baadhi ya madhara ya kukosa protini ya kutosha:
1.Kudumaa na ukuaji hafifu wa mtoto
2.Kypata kiriba tumbo
3.Kupata kwashiakoo
4.Misuli na nyama kustokijazia vya kutosha
5.Kukosa nguvu ya kutoka kufanya kazi
6.Kukonda na kudhoofu
ULAJI WA PROTINI KUPITILIZA
Kwa upande wa pili ulaji wa protini nje ya kiwango unaweza kuleta athari hasi katika afya ya mlaji. Zifuatazo ni madhara ya kula vyakula vya protini kupitiliza:-
1.Kuongezeka kwa uzito mwilini
2.Kupata tatizo la kukosa chookuharisha
3.Kupungua kwa maji mwilini
4.Kupata matatizo ya moyo
5.Kuathirika kwa fogo
6.Hatari ya kutengengezwa kwa seli za saratani mwilini
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 web hosting 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
Fahamu vitamini K na kazi zake, vyakula vya vitamini k na athari za upungufu wake
kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Matunda yenye vitamin C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Faida za kula kachumbari
Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.
Soma Zaidi...Kitabu cha Afya 02
Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...