Faida za kiafya za kula mihogo

  1. mihogo ina virutubisho kama vitamini C, protini, wanga, sukari, vitamini B, madini ya calcium, magnesium, sodium na phosphorus.
  2. Husaidia katika kupunguza uzito
  3. Huboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  4. Husaidia kuboresha afya ya macho
  5. Hutibu tatizo la kuharisha chemsha mizizi yake kisha kunywa
  6. Husaidia katika kupenesha vidonda
  7. Hutibu homa na maumivu ya kichwa
  8. Hutibu minyoo
  9. Huongeza hamu ya kula
  10. Huianguvu miili yetu kwa haraka