Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Faida za nyanya
1. Nyanya Ni chanzo kizuri cha virutubisho Kama fati, sukari na protini pia nyanya zinatupatia maji
2. Pua ni chanzo cha vitamini C, K na B9 pia Lina madini ya potassium
3. Ni nzuri kwa afya ya moyo
4. Huzuia ugonjwa wa saratani
5. Ni nzuri kwa afya ya macho
6. Ni nzuri kwa afya ya ngozi
7. Huzuia tatizo la kukosa choo
8. Ni nzuri kwa wenye kisukari
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula murajabu kea mwenye presha ya kushuka
Soma Zaidi...Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu umuhimu wa kitunguu maji mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula zaituni
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili
Soma Zaidi...