Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Faida za nyanya
1. Nyanya Ni chanzo kizuri cha virutubisho Kama fati, sukari na protini pia nyanya zinatupatia maji
2. Pua ni chanzo cha vitamini C, K na B9 pia Lina madini ya potassium
3. Ni nzuri kwa afya ya moyo
4. Huzuia ugonjwa wa saratani
5. Ni nzuri kwa afya ya macho
6. Ni nzuri kwa afya ya ngozi
7. Huzuia tatizo la kukosa choo
8. Ni nzuri kwa wenye kisukari
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya vyakula vyenye vitamini C kwa wingi
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara?
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mihogo
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo wanapaswa kutumia watu wenye matatizo ya macho,ni vyakula ambavyo uhimalisha mishipa na sehemu nyingine za jicho na kufanya jicho lisiwe na matatizo kwa sababu tunajua wazi kuwa vyakula ni dawa.
Soma Zaidi...Vitamini C kwa wingi hupatikana kwenye machungwa, maembe, mananasi, limao na ndimu
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Soma Zaidi...