Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya
Faida za nyanya
1. Nyanya Ni chanzo kizuri cha virutubisho Kama fati, sukari na protini pia nyanya zinatupatia maji
2. Pua ni chanzo cha vitamini C, K na B9 pia Lina madini ya potassium
3. Ni nzuri kwa afya ya moyo
4. Huzuia ugonjwa wa saratani
5. Ni nzuri kwa afya ya macho
6. Ni nzuri kwa afya ya ngozi
7. Huzuia tatizo la kukosa choo
8. Ni nzuri kwa wenye kisukari
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya vyakula vimpasavyo mgonjwa wa kisukari
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida ya juice ya tende,ni juice inayotumiwa na watu wengi sana na wengine wanajua kabisa faida zake na kuna wengine hawajui wanaitumia kama mazoea tu, ila kuna ambao hawajui kabisa basi zifuatazo ni faida za juice ya tende kwa wal
Soma Zaidi...Kamala hii inakwenda kufundisha vyakuna na vinjwaji salama anavyopaswa kutumia mgonjwa wa vidonda vya tumbo. Pia utajifunza vyakula na vinywaji hatari kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...