Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Faida za kula magimbi
1. Magimbi yana virutubisho Kama vitamin B6, C na E, protin na fati pia yana madini ya phosphorus, potassium, shaba, manganese na magnesium
2. Hudhibiti kiwango cha sukari
3. Hupunguza kasi ya mmeng'enyo wa chakula
4. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya damu
5. Huboresha afya ya utumbo
6. Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
7. Magimbi yana chembe chembe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani na kuzuia seli za saratani mwilini
8. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu faida za kunywa maji kabla hujula kitu chochote,tunajua kabisa kabla ujala au kunywa chochote sumu nyingi mwilini zinakuwa hazijachanganyikana na chochote kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kuna faida kubwa nyingi za kunywa maji kama ifuatavy
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukuletea vyakula vyeny maji kwa wingi na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za vyakula vya vitamin B
Soma Zaidi...Virutubisho vya protini vina kazi nyingi mwilini. Zifuatazo ndio kazi protini mwilini
Soma Zaidi...