Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Faida za kula magimbi
1. Magimbi yana virutubisho Kama vitamin B6, C na E, protin na fati pia yana madini ya phosphorus, potassium, shaba, manganese na magnesium
2. Hudhibiti kiwango cha sukari
3. Hupunguza kasi ya mmeng'enyo wa chakula
4. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya damu
5. Huboresha afya ya utumbo
6. Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
7. Magimbi yana chembe chembe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani na kuzuia seli za saratani mwilini
8. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi faida mbalimbali ambazo anaweza kuzipata mtu anayetumia kachumbari, tunajua wazi kwamba kachumbari ni mchanganyiko wa nyanya, vitunguu maji,kabichi,na pilipili kidogo.
Soma Zaidi...Tangaizi ni katika mimea yenye asili na bara la asia hususan nchi ya China.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu
Soma Zaidi...Palachichi lina virutubisho vingi na vitamini, kula palachichi uiokoe afya yako
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi/peas
Soma Zaidi...Unaijuwa maana ya virutubisho vya protini, na kazi zake mwilini. Soma zaidi hapa
Soma Zaidi...