Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi
Faida za kula magimbi
1. Magimbi yana virutubisho Kama vitamin B6, C na E, protin na fati pia yana madini ya phosphorus, potassium, shaba, manganese na magnesium
2. Hudhibiti kiwango cha sukari
3. Hupunguza kasi ya mmeng'enyo wa chakula
4. Hupunguza hatari ya kupata maradhi ya moyo na mishipa ya damu
5. Huboresha afya ya utumbo
6. Hulinda mwili dhidi ya mashambulizi
7. Magimbi yana chembe chembe ambazo hulinda mwili dhidi ya saratani na kuzuia seli za saratani mwilini
8. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida ambazo anaweza kupata mwanadamu Kama akila bamia Mara kwa mara. Bamia huliwa Kama tunda au Kama mboga pia na husaidia vitu vingi mwilini.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vilivyomo kwenye parachichi, tunajua sana kuwa parachichi ina virutubisho vingi ambavyo vinaweza kuleta faida nyingi kwenye mwili kama yalivyo matunda na vyakula vingine.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi asili ya madini ya zinki, hii inaonesha sehemu gani tunaaweza kupata madini ya zinki.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula viazi vitamin
Soma Zaidi...Vitamini C tunaweza kuvipata kwenye matuinda kama machunwa vina kazi kuu tatu ambazo ni hizi hapa
Soma Zaidi...