Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Faida za kula epo (tufaha)
1. Tufaha lin virutubisho kama vitamini C, K, A, E, B1, B2 na B6. pia lina madini ya potassium.
2. Husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilino
3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
4. Hupunguza athari za kisukari
5. Husaidia kuzuia saratani
6. Husaida kupambana na pumu
7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha kutokana na matumizi ya madawa
9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo
?
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nanasi
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza aina 20 za vitamini. Utajifunza kazu zake mwilini, vyanzo vyake na madhara yanayoweza kutokea kutokana na upungufu wake.
Soma Zaidi...Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako.
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...