Faida za kula apple (tufaha)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula apple/tufaha
Faida za kula epo (tufaha)
1. Tufaha lin virutubisho kama vitamini C, K, A, E, B1, B2 na B6. pia lina madini ya potassium.
2. Husaidia katika kupunguza uzito wa ziada mwilino
3. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
4. Hupunguza athari za kisukari
5. Husaidia kuzuia saratani
6. Husaida kupambana na pumu
7. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya mifupa
8. Hulinda tumbo dhidi ya majeraha kutokana na matumizi ya madawa
9. Husaidia kuimarisha afya ya ubongo
?
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 web hosting 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Vyakula vyenye madini kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula vyenye madini kwa wingi
Soma Zaidi...VYAKULA VYA WANGA NA MADINI
Kuna aina nyingi za vyakula kama mafuta, wanga, fati, protini na vitamini. Je! unajuwa faida zake na hasara zake?
Soma Zaidi...Faida za karoti
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za karoti na umuhimu wake kiafya
Soma Zaidi...Madhara ya kula chakula chenye chumvi nyingi
Posti hii inakwendavkukufundisha madhara unayoweza kuyapata unapokula chakula cgenye chumvi nyingi
Soma Zaidi...