Faida za kiafya za kula Kunazi

Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)
Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.
- husaidia katika kupunguza maumivu
- Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
- Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
- Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
- Husaidia kurefresh mwili
- Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
- Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
- Husaidia katika afya ya hedhi
- Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
- Husaidia katika kushusha joto la mwili
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 web hosting
👉1 ai web app 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
FAIDA ZA MAJI MWILINI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Yafahamu magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo.
Soma Zaidi...Fahamu Fati na kazi zake, vyakula vya fati na athari za upungufu wake
Makala hii inakwenda kukueleza kuhusu fati, vyakula vya fati, kazi zake na athari za upungufu wake
Soma Zaidi...