picha

Faida za kiafya za kula Kunazi

Faida za kiafya za kula Kunazi



Faida za kiafya za kula kunazi (lote tree)

Tumia matunda na majani yake, majani unaweza kuyakausha na kusaga unga wake ama kuyachemsha.

 

  1. husaidia katika kupunguza maumivu
  2. Husaidia katika kupunguza maumivu ya tumbo
  3. Ni tunda zuri kwa afya ya mfumo wa upumuaji
  4. Husaidia katika kuondosha sumu za vyakula na makemikali mwilini
  5. Husaidia kurefresh mwili
  6. Husaidia katika kutibu maradhi ya ngozi
  7. Hupunguz maumivu ya chango kwa wakinamama
  8. Husaidia katika afya ya hedhi
  9. Husaidia katika ujauzito kwa mama na mtoto
  10. Husaidia katika kushusha joto la mwili

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2605

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Vyakula vinavyosaidia katika kusafisha ini

Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za spinachi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula spinach

Soma Zaidi...
vyakula vya kuongeza damu, dalili zake na sababu za upungufu wa damu

Zijuwe sababu za upungufu wa damu, dalili za upungufu wa damu na kazi za damu mwilini,n avyakula vya kuongeza damu

Soma Zaidi...