Zijuwe faida za kiafya za kula nanasi

Je umeshawahi kula nanasi kwa wingi.

2.Faida za kula nanasi
1.Nanasi lin virutubisho kama fati, protini, vitamini C, vitamini B6, madini ya chuma, manganeseum na shaba.
2.Hupunguza misongo ya mawazo (stress)
3.Nanasi ni rahisi kumeng’enywa tumboni
4.Hupunguza hatari ya ugonjwa wa saratani
5.Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
6.Hupunguza maumivu ya viungio
7.Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji
8.Ni tunda tamu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 876

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za tangawizi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kutumia tangawizi

Soma Zaidi...
Vitamini C Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C

Soma Zaidi...
Rangi za matunda

Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula samaki

Posti hii itakwenda kukupa faida za kula samaki kwenye mwili wako.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula biringanya (eggplant)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)

Soma Zaidi...
Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini

hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini

Soma Zaidi...