Je umeshawahi kula nanasi kwa wingi.
2.Faida za kula nanasi
1.Nanasi lin virutubisho kama fati, protini, vitamini C, vitamini B6, madini ya chuma, manganeseum na shaba.
2.Hupunguza misongo ya mawazo (stress)
3.Nanasi ni rahisi kumeng’enywa tumboni
4.Hupunguza hatari ya ugonjwa wa saratani
5.Huboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
6.Hupunguza maumivu ya viungio
7.Husaidia kupona haraka baada ya kufanyiwa upasuaji
8.Ni tunda tamu
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vitamini C mwilini
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo?
Soma Zaidi...Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula miwa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula passion
Soma Zaidi...Posti hii inahusu vyakula ambavyo vinasaidia kupunguza uzito, ni baadhi ya vyakula ambavyo unaweza kutumia ili kuweza kuweka kwenye hali ya kawaida.
Soma Zaidi...