picha

Faida za kiafya za kula Komamanga

Faida za kiafya za kula Komamanga



Faida za kiafya za kula komamanga

  1. komamanga lina virutubisho kama A, C, K na E.
  2. Hulinda mili dhidi ya kemikali
  3. Huzuia damu kutokuganda kwenye mishipa ya damu na moyo
  4. Huboresha afya ya moyo na mfumo wa mzunguruko wa damu
  5. Komamanga husaidia kupunguza tatizo la nguvu za kiume
  6. Husaidia katika harakati za kupambana na saratani
  7. Husaidia katika afya ya ubongo hasa katika utunzaji wa kumbukumbu
  8. Hushusha presha ya damu
  9. Huimarisha mfumo wa kinga
  10. Hupunguza stress na misongo ya mawazo

 



                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1677

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...
Faida za kafya za kula asali

Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kisamvu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula kisamvu

Soma Zaidi...
Hizi ndio kazi za madini mwilini mwako

Post huu inakwenda kukupa orodha ya madini muhimu kwa ajili ya afya yako.

Soma Zaidi...
Karanga (groundnuts)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...