picha

Faida za kiafya za kula Komamanga

Faida za kiafya za kula Komamanga



Faida za kiafya za kula komamanga

  1. komamanga lina virutubisho kama A, C, K na E.
  2. Hulinda mili dhidi ya kemikali
  3. Huzuia damu kutokuganda kwenye mishipa ya damu na moyo
  4. Huboresha afya ya moyo na mfumo wa mzunguruko wa damu
  5. Komamanga husaidia kupunguza tatizo la nguvu za kiume
  6. Husaidia katika harakati za kupambana na saratani
  7. Husaidia katika afya ya ubongo hasa katika utunzaji wa kumbukumbu
  8. Hushusha presha ya damu
  9. Huimarisha mfumo wa kinga
  10. Hupunguza stress na misongo ya mawazo

 



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 1592

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Dua za Mitume na Manabii     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh     👉5 web hosting     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Faida za kula embe

Somo hili linakwenda kukuletea faida za embe na umuhimu wake kiafya

Soma Zaidi...
Faida za kula maini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini

Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA PROTINI NA FATI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Karanga (groundnuts)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa vitamini C

Utajuaje kama una upungufu wa vitamini C. Zijuwe dalili za upungufu wa vitamini C hapa

Soma Zaidi...
Faida za kula pilipili

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula pilipili

Soma Zaidi...