Posti hii inahusu zaidi faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito, kuna kipindi ambacho wanawake wakati wa ujauzito uchaguza vyakula mbalimbali kuna ambao wanaweza kutumia vitunguu saumu na kupata faida kubwa
1. Kupunguza tatizo la kupata shinikizo la juu la damu.
2. Kuongezeka kwa uzito wa mtoto akiwa bado tumboni.
3. Kupunguza cholesterol mwilini.
4. Kulinda dhidi ya saratani.
5. Kulinda dhidi ya homa ya Maambukizi.
6. Kulinda dhidi ya Maambukizi ya ngozi kwa mtoto.
7. Kupunguza kuwepo kwa magonjwa mbalimbali ambayo utokea wakati wa mama wakati wa kujifungua pia usaidia kupunguza Magonjwa kwa mtoto akiwa tumboni
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ukwaju
Soma Zaidi...Zijuwe sababu kuu za kuwepo kwa maumivu ya tumbo baada ya kula chakula
Soma Zaidi...Makala hii itakuletea faida za kitunguu thaumu katika afyabyako.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za biringanya/ eggplant
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi tiba ya lishe ya ugonjwa wa kisukari ni tiba ambayo utumiwa sana na wagonjwa wa kisukari na walio wengi na wamefanikiwa kupona
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula samaki
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za vyakula vya fati na umuhimu wake mwilini
Soma Zaidi...Makala hii inakwenda kukueleza faida za kula maboga, na mbegu zake kwa afya yako
Soma Zaidi...