Posti hii inahusu zaidi faida za kitunguu swaumu wakati wa ujauzito, kuna kipindi ambacho wanawake wakati wa ujauzito uchaguza vyakula mbalimbali kuna ambao wanaweza kutumia vitunguu saumu na kupata faida kubwa
1. Kupunguza tatizo la kupata shinikizo la juu la damu.
2. Kuongezeka kwa uzito wa mtoto akiwa bado tumboni.
3. Kupunguza cholesterol mwilini.
4. Kulinda dhidi ya saratani.
5. Kulinda dhidi ya homa ya Maambukizi.
6. Kulinda dhidi ya Maambukizi ya ngozi kwa mtoto.
7. Kupunguza kuwepo kwa magonjwa mbalimbali ambayo utokea wakati wa mama wakati wa kujifungua pia usaidia kupunguza Magonjwa kwa mtoto akiwa tumboni
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kabichi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Katika post hii utakwenda kujifunza faida na matumizi ya asali mwilini.
Soma Zaidi...Hizi ni aina za vyakula ambavyo husaidia katika kuongeza damu kwa wajawazito na watoto.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere, mbaazi na njugu mawe
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C
Soma Zaidi...Zitambue aina zote za vyakule na ufanye maamuzi yaliyo kuwa sahihi katika uandaaji wa chakula chako
Soma Zaidi...