Faida za kiafya za kitunguu thaumu

  1. ina chembechembe za salfa ambazo ni dawa kubwa kwa afya ya mtu
  2. Kuna virutubisho kama vitamini C na vitamini B6, pia madini ya manganese
  3. Hupunguza usingizi
  4. Hupambana na mafua
  5. Hushusha presha ya damu
  6. Huboresha afya ya moyo
  7. Huborsha afya ya ubongo na kuondoa tatizo la kusahausahau
  8. Huondosha sumu za vyakula na kemikali mwilini
  9. Huboresha afya ya mifupa