Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B
VYAKULA VYA VITAMINI B.
Kwa kuwa umesha jifunza kazi za vitamini B kulingana na makundi yake. Je ungependa kujuwa ni wapi unaweza kupata vitamini B? Sehemu hii utajifunza vyakula ambavyo husaidi kutupatia vitamini B. Vyakula hivyo ni kama:-
1. Nyama
2. Mapalachichi
3. Mboga za majani
4. Mimea jamii ya karanga
5. Alizeti
6. Mayai
7. Pilipili
8. Ndizi
9. Viazi
10. Maharagwe na kunde
11. Nafaka kama mchele, mtama na mahindi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi Aina kuu tatu za vyakula na kazi zake, hii ni Aina tatu za vyakula na kazi zake jinsi zinavyofanya kazi, hufanya kazi kama ifuatavyo,
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula chungwa na chenza (tangarine)
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kula vitamini C kupitiliza
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana na historia ya vitamin C
Soma Zaidi...Pera ni tunda bora lakini pia ni dawa, tambua umuhimu wa tunda hili kiafya
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...kuhusu vitamini K, wapi tutavipata, ni zipi athari zake na ni zipi kazi zake mwilini.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukutajia mahonjwa matano ambayo hutokana na utapia mlo.
Soma Zaidi...Matunda ya zamani, matunda ya asili, Zaituni tunda lipendezalo, zijuwe faida zake leo
Soma Zaidi...