Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamin B
VYAKULA VYA VITAMINI B.
Kwa kuwa umesha jifunza kazi za vitamini B kulingana na makundi yake. Je ungependa kujuwa ni wapi unaweza kupata vitamini B? Sehemu hii utajifunza vyakula ambavyo husaidi kutupatia vitamini B. Vyakula hivyo ni kama:-
1. Nyama
2. Mapalachichi
3. Mboga za majani
4. Mimea jamii ya karanga
5. Alizeti
6. Mayai
7. Pilipili
8. Ndizi
9. Viazi
10. Maharagwe na kunde
11. Nafaka kama mchele, mtama na mahindi
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi vyakula anavyopaswa kutumia mama mjamzito, mama mjamzito ni mama ambaye amebeba kiumbe ndani kwa hiyo anapaswa kutumia vyakula vyenye virutubisho mbalimbali vitakavyomsaidia mtoto kukua vizuri.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.
Soma Zaidi...Je! unatambuwa madhara ya vyakula vya protini na mafuta? ungana nasi kwenye somo hili
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi virutubisho vya mwili, ni aina tano za vyakula ambayo ufanya kazi mbalimbali kwenye sehemu za mwili wa binadamu.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza maana ya Vitamini C, mwaka vilipogunduliwa na aliyegundua vitamini C
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha Faida za kula papai.papai Ni tunda na Lina leta afya,nguvu na kuujenga mwili.
Soma Zaidi...