Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Faida za kiafya za tope tope (accustard apple au sweetsop)
1. tope tope lina virutubisho kama vitamini C na B. pia lina madini ya potassium na magnessium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Kufanya moyo uwe katika afya salama
5. Hushusha presha ya damu
6. Husaidia katika kuupa mwili nguvu
7. Huboresha na kuimaisha afya ya mifupa
8. Hufanya tezi ya thyroid iwe salama
9. Huzuia matatizo ya ujauzito
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kutumia tangawizi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha aina za vyakula ambavyo vinaweza kuongeza damu kwa haraka.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa
Soma Zaidi...Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...