Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Faida za kiafya za tope tope (accustard apple au sweetsop)
1. tope tope lina virutubisho kama vitamini C na B. pia lina madini ya potassium na magnessium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Kufanya moyo uwe katika afya salama
5. Hushusha presha ya damu
6. Husaidia katika kuupa mwili nguvu
7. Huboresha na kuimaisha afya ya mifupa
8. Hufanya tezi ya thyroid iwe salama
9. Huzuia matatizo ya ujauzito
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
hivi ndio vyakula vya protini kwa wingi, maziwa, mayai, samaki, dagaa, nyama, maini. Endelea na zaidi
Soma Zaidi...Hapa utajifunza sababu za kupatwa na maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume
Soma Zaidi...Umetaja faida za matunda , mimi ninataka kujuwa Je miwa ina madhara yoyote?
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za stafeli ama soursop
Soma Zaidi...