Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Faida za kiafya za tope tope (accustard apple au sweetsop)
1. tope tope lina virutubisho kama vitamini C na B. pia lina madini ya potassium na magnessium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Kufanya moyo uwe katika afya salama
5. Hushusha presha ya damu
6. Husaidia katika kuupa mwili nguvu
7. Huboresha na kuimaisha afya ya mifupa
8. Hufanya tezi ya thyroid iwe salama
9. Huzuia matatizo ya ujauzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...unayopaswa kuyajuwa kuhusu protini na vyakula vya protini, faida zake na hasara zake. Madhara ya kiafya yanayohusiana na protini pamoja na kuyaepuka madhara hayo
Soma Zaidi...Kuna faida kubwa za kiafya kwa kula ndizi, soma makala hii mpaka mwisho
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kupambana na saratani
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula korosho
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...