Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple
Faida za kiafya za tope tope (accustard apple au sweetsop)
1. tope tope lina virutubisho kama vitamini C na B. pia lina madini ya potassium na magnessium
2. Husaidia kulinda mwili dhidi ya pumu
3. Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu
4. Kufanya moyo uwe katika afya salama
5. Hushusha presha ya damu
6. Husaidia katika kuupa mwili nguvu
7. Huboresha na kuimaisha afya ya mifupa
8. Hufanya tezi ya thyroid iwe salama
9. Huzuia matatizo ya ujauzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya majani ya mstafeli dhidi ya bakteria na fangasi, pamoja na kutibu saratani mbalimbali na upambana na fangasi na bakteria kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...Hivi ni vyakula hatari kwa watu wenye maradhi ya moyo. Vyakula hivi si salama kwa afya ya moyo
Soma Zaidi...Homa ya dengue hupatikana sana Afrika, Asia na baadhi ya maeneo ya Caribbean.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula biringanya eggplant)
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula tikiti
Soma Zaidi...