Matunda yenye Vitamin C kwa wingi

Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.

Matunda yenye vitamini C kwa wingi ni pamoja na:

 

1. Machungwa (Oranges) - Machungwa ni chanzo kizuri sana cha vitamini C.

 

2. Mapapai (Papayas) - Papai lina kiwango kikubwa cha vitamini C.

 

3. Mastrawberry (Strawberries) - Haya matunda yana vitamini C nyingi.

 

4. Parachichi (Guavas) - Parachichi lina kiasi kikubwa cha vitamini C kuliko matunda mengi.

 

5. Pilipili hoho (Bell Peppers) - Ingawa si tunda la kawaida, pilipili hoho hasa ile nyekundu ina kiwango cha juu cha vitamini C.

 

6. Kiwi - Matunda haya yana vitamini C nyingi.

 

7. Pineapple - Mananasi yana vitamini C kwa wingi.

 

Ulaji wa matunda haya unaweza kusaidia kuongeza kiwango cha vitamini C mwilini, ambayo ni muhimu kwa afya ya ngozi, kinga ya mwili, na uponyaji wa majeraha.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 705

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

JITIBU KWA KITUNGUU THAUMU: faida za kiafya za kitunguu thaumu

Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.

Soma Zaidi...
Boga (pumpkin)

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula maboga

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kunywa maziwa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa maziwa

Soma Zaidi...
KITABU CHA MATUNDA

Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume.

Tatizo la nguvu za kiume linawwza kuzuiliwa ama kupunguzwa kwa kutumia muunganimo wa njiankadhaa kama kubaduki vyakula, kutumia dawa, kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano ama kufanya nazoezi. Je na wewe unasumbuliwa na tatizo hili? Makala hii

Soma Zaidi...