picha

Faida za kiafya za kula maharagwe, njegere, kund na mbaazi

Faida za kiafya za kula maharagwe, njegere, kund na mbaazi



Faida za kiafya za kula kunde, maharage, njegere mbaazi na njugumawe

  1. Tunapata virutubisho kama protini, vitamini B, A na K madini ya shaba, chuma, na manganese.
  2. Husaidia kushusha sukari na kuboresha kiwango cha insulini
  3. Hupunguza uwezekano wa kupata kisukari
  4. Hupunguza cholesterol mbaya mwilini
  5. Husaidia katika kupunguza uzito
  6. Husaidia hatari ya kupata saratani
  7. Hupunguza uwezekano wa kupata presha
  8. Huboresha afya ya mifupa


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2248

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 web hosting     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Je ni kweli vitunguu saumu vinashusha presure

Kitunguu saumu ni tiba mbadala ya presha yabkushuja. Hakitatui tatizo yaani hakiponyeshi, ila husaidia katika kushusha presha iliyo panda.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula karanga

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula karanga

Soma Zaidi...
Faida za chungwa na chenza ( tangarine)

Somo hili litakwenda kukueleza kuhusu faida za chungwa na chenza mwilini

Soma Zaidi...
Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake

Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake

Soma Zaidi...