Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai
Faida za mayai mwilini
1. Mayai yana virutubisho Kama vile vitamin A, B2, B5, B6, B12, D, E na K pia Lina madini ya selenium, zink na calcium
2. Huongeza cholesterol nzuri mwilini
3. Husaidia katika kuufanya ufanyaji kazi wa ubongo kua mzuri pia katika kutengeneza utando wa seli
4. Mayai hupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya moyo
5. Ni mazuri kwa afya ya macho
6. Yana kiwango kizuri cha protini kilicho Bora kabisa
7. Mayai hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa kiharusi yaani kupalalaizi
8. Husaidia katika kupunguza uzito
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu orodha ya madini chanzo chake na faida zake
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia
Soma Zaidi...Hapa utajifunza vyakula hatari kwa mgonjwa wa kisukari, pia utajifunza vyakula salama anavyotakiwa ale mgonjwa wa kisukari, Pia ujajifunza njia za kujikinga na kisukari
Soma Zaidi...hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya kuwepo kwa vyakula vya kisasa, vyakula vya kisasa ni vyakula vya madukani ambavyo vimetengenezwa na kuwekwa kwenye maduka
Soma Zaidi...Kama tulivyosema hapo juu kuwa afya ni kuwa mzima kimwili na kiakili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kutumika ili kuweza kuweka ini kwenye hali yake ya kawaida.
Soma Zaidi...