Faida za kiafya za kula mayai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula mayai

Faida za mayai mwilini

1. Mayai yana virutubisho Kama vile vitamin A, B2, B5, B6, B12, D, E na K pia Lina madini ya selenium, zink na calcium

2. Huongeza cholesterol nzuri mwilini

3. Husaidia katika kuufanya ufanyaji kazi wa ubongo kua mzuri pia katika kutengeneza utando wa seli

4. Mayai hupunguza uwezekano wa kupata maradhi ya moyo

5. Ni mazuri kwa afya ya macho

6. Yana kiwango kizuri cha protini kilicho Bora kabisa

7. Mayai hupunguza hatari ya kupata ugonjwa wa kiharusi yaani kupalalaizi

8. Husaidia katika kupunguza uzito

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Vyakula Main: Afya File: Download PDF Views 2078

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 Dua za Mitume na Manabii    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Tango (cucumber)

Somo hili linakwenda kukuletea faida za kiafya za kula tango

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuboresha afya ya meno

Katika post hii utakwenda kujifunza vyakula unavyopasa kul ili kuboresha afya ya meno yako. Pia utajifunza vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno yako.

Soma Zaidi...
Faida za kula Ukwaju

Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako

Soma Zaidi...
Faida za nazi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nazi

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula topetope/ accustard apple

Soma Zaidi...
Faida za chumvi mwilini (madini ya chumvi)

Post hii inakwenda kukipa faida za madini ya chumvi mwilini.

Soma Zaidi...