Faida za kitunguu maji (onion)

  1. kitunguu kina virutubisho kama  vitamini C, B9 na B6 pia madini kama potassium
  2. Hulinda afya ya moyo
  3. Hushusha presha ya damu
  4. Hulinda mwili dhidi ya kisukari, saratani na maradhi ya moyo
  5. Husaidia katika kuzuia saratani kusambaa maeneo mengine ya mwili
  6. Husaidia katika kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu na hii ni muhimu hasa kwa watu wenye type2 diabetes
  7. Huboresha afya ya mifupa na kuifanya iwe imara na madhubuti
  8. Huimarisha ulinzi wa mwili dhidi ya maambukizi ya bakteria
  9. Huboresha na kuimarisha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula