Vinywaji salama kwa mwenye kisukari
Vijuwe vinywaji salama kwa mgonjwa wa kisukari
Vjinywaji salama kwa mwenye kisukari ni kama:-

- Maji
- Chai isiyo na sukari
- Kahawa isiyowekewa sukari ama kunywewa na vitu vitamu kama kashata
- Juisi ya tomato (nyanya) ama tango, pia isiwe kwa wingi
- Vinywaji vya wanamichezo ambavyo havikuwekewa sukari
- Baadhi ya vinywaji vingine visivyo na wanga
- Juisi ya mbogamboga
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting 👉2 ai web app 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
👉1 web hosting 👉2 ai web app 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Matunda yenye Vitamin C kwa wingi
Vitamin C ni katika vitamin vinavyosaidia sana mfumo wa Kinga kulinda mwili dhidi ya vimelea vya maradhi. Hapa nitakuletea orodha ya matunda ambayo yana vitamini C kwa wingi.
Soma Zaidi...Vyakula gani ambavyo sitakiwi kula kama nina pressure ya kupanda
Post hii itakufundisha kwa ufupi vyakula vya kuviepuka kama una presha ya kupanda.
Soma Zaidi...Fahamu kuhusu maji, kazizake mwilini na athari za upungufu wake mwilini
Hpa utafahamu faida za maji mwilini pamoja na athari za upungufu wa maji mwilini na dalili zake
Soma Zaidi...Faida za kafya za kula asali
Post hii itakwenda kukufundisha faida za kiafya za kula asali
Soma Zaidi...Faida 5 za asali na matumizi yake.
Katika post hii utakwenda kujifunza faida na matumizi ya asali mwilini.
Soma Zaidi...