picha

Faida za kiafya za kula Tangawizi

Faida za kiafya za kula Tangawizi



Faida za kiafya za Tangawizi

  1. huondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
  2. Huondoa kichefuchefu hasa kwa kichefuchefu cha mimba
  3. Hupunguza maumivu ya viungio na misuli
  4. Hupunguza maambukizi ya mara kwa mara
  5. Huimarisha afya ya moyo
  6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
  7. Hutibu tatizo la kukosa hamu ya kula na kukosa choo
  8. Hupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
  9. Hushusha kiwango cha cholesterol
  10. Huzuia saratani
  11. Huimarisha afya ya ubongo hasa kwa wazee


                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2057

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Bongolite - Game zone - Play free game     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Vyakula vya vitamini na faida zake

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya vitamini na faida zake

Soma Zaidi...
Rangi za majimaji yanayotoka kwenye uke na maana yake kiafya

Je unajuwa kuwa majimaji yanayotoka ukeni yanatueleza mengi kuhusu afya yako, rangi za majimaji ya ukeni na damu ya hedhi

Soma Zaidi...
JITIBU KWA KITUNGUU THAUMU: faida za kiafya za kitunguu thaumu

Kitunguu thaumu ni katika viungo vya mboga na chakula.

Soma Zaidi...
Faida za kula Tango

Matunda ya zamani na ya asili, zijuwe faida za kiafya za tango

Soma Zaidi...