picha

Faida za kiafya za kula Tangawizi

Faida za kiafya za kula Tangawizi



Faida za kiafya za Tangawizi

  1. huondoa sumu za vyakula na kemikali mwilini
  2. Huondoa kichefuchefu hasa kwa kichefuchefu cha mimba
  3. Hupunguza maumivu ya viungio na misuli
  4. Hupunguza maambukizi ya mara kwa mara
  5. Huimarisha afya ya moyo
  6. Hushusha kiwango cha sukari kwenye damu
  7. Hutibu tatizo la kukosa hamu ya kula na kukosa choo
  8. Hupunguza maumivu ya tumbo la chango kwa wakinamama
  9. Hushusha kiwango cha cholesterol
  10. Huzuia saratani
  11. Huimarisha afya ya ubongo hasa kwa wazee


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 2448

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 web hosting     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Vijuwe vyakula vya kyongeza nguvu za kiume na mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Faida za muarobaini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini

Soma Zaidi...
Vyakula vyenye protini kwa wingi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vyenye protini kwa wingi

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume

Zijuwe dawa za kuongeza nguvu za kiume, na vyakula salama vya kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Ndizi (banana)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ndizi

Soma Zaidi...