Somo Hili linakwenda kukuletea faida za kula parachichi
3. Faida za kula palachichi
1. palachichi lina virutubisho kama wanga, vitamini C, E, K na B^. pia lina madini ya managesium na potassium.
2. Husaidia kuboresha na kuimarisha afya ya moyo
3. Huzuia kupata ugonjwa wa mifupa (kuwa dhaifu na kufunjika kwa urahisi)
4. Huzuia ama kupunguza kupata ugonjwa wa saratani
5. Huboresha afya ya watoto wadogo na ukuaji wao
6. Hupunguza misongo ya mawazo
7. Huondoa tatizo la kutopata choo kikubwa
8. Husaidia kuondoa sumu za vyakula na akemikali mwilini
9. Husaidia kuzuia maambukizi ya mara kwa mara ya virusi, bakteria na fangasi
10. Husaidia kuzukupata maradhi ya kisukari
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 1536
Sponsored links
👉1
Kitabu cha Afya
👉2
Simulizi za Hadithi Audio
👉3
Madrasa kiganjani
👉4
Kitau cha Fiqh
👉5
kitabu cha Simulizi
👉6
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Vyakula vya kuongeza damu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya kuongeza damu Soma Zaidi...
Faida za kiafya za peaz/ peas
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula peazi Soma Zaidi...
Upungufu wa protini na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu upungufu wa protini na dalili zake Soma Zaidi...
Vinywaji vyakula salama kwa mwenye Presha ya kupanda
Je umesha wahi kujiuliza kuwa ni vinywaji vipi mwenye presha ya kupanda anafaha kutumia, Unadhani ni maji, mvinyo wa pombe, chai na kahawa. Bila shaka ungependa kujuwa zaidi kuhusu jambo hili. Makala hii ni kwa ajili yako Soma Zaidi...
Blueberry
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula blueberry Soma Zaidi...
Sababu za kuwa na fangasi ukeni
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo. Soma Zaidi...
Faida za kula Matunda
Sifanjema Ni za Mwenyezi Mungu aliyetupa Afya njema hata kuifanya kazi hii mpaka kufiia hapa. Soma Zaidi...
UPUNGUFU WA VYAKULA VYA MADINI
2. Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Palachichi
Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula Tende
Soma Zaidi...