Faida za kiafya za kula Karoti

Faida za karoti
- karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.
- Hupunguza hatari ya kupata saratani
- Hususha cholesterol
- Husaidia kupunguza uzito
- Husaidia kuboresha afya ya macho
- Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
- Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari
- Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo
- Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
- Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
Faida za kula maini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...VYAKULA VYA MADINI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula kungumanga/nutmeg
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kungumanga/nutmeg
Soma Zaidi...Naombakujua kujua Kama huu uyoga unasaidia kansa Kama kwawazee
Mpaka sasa hakuna dawa ya kuponyesha saratani wala kinga ya saratani. Hata hivyo vipo vyakula ambavyo vinakadiriwa kuwa hupunguza hatari ya kuweza kupata saratani. Je unadhani uyoga ni moja ya vyakula hivyo?
Soma Zaidi...Mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mara moja
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko ya matiti yanayopaswa kutolewa taarifa mapema, kwa sababu ya kuwepo kwa saratani ya matiti, kuna dalili ambazo zikijitokeza zinapaswa kutolewa taarifa mara moja bila kuchelewa kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Fahamu Vitamini E na nz kazi zake, vyakula vya vitamini E na athari za upungufu wake
Katika makala hii nitakwenda kukupa somo linalohusu vitamini E, kazi zake, chanzo chake na madhara ya upungufu wake
Soma Zaidi...