Faida za kiafya za kula Karoti

Faida za kiafya za kula Karoti

Faida za kiafya za kula Karoti



Faida za karoti

  1. karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.
  2. Hupunguza hatari ya kupata saratani
  3. Hususha cholesterol
  4. Husaidia kupunguza uzito
  5. Husaidia kuboresha afya ya macho
  6. Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  7. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari
  8. Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo
  9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
  10. Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views: 3520

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za nyanya

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyanya

Soma Zaidi...
Faida za ukwaju (tamarind)

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za ukwaju

Soma Zaidi...
Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini

Posti hii inahusu zaidi Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini, ni Ukosefu wa madini ya Shaba mwilini ambao usababisha madhara kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA VITAMINI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...