picha

Faida za kiafya za kula Karoti

Faida za kiafya za kula Karoti



Faida za karoti

  1. karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.
  2. Hupunguza hatari ya kupata saratani
  3. Hususha cholesterol
  4. Husaidia kupunguza uzito
  5. Husaidia kuboresha afya ya macho
  6. Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  7. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari
  8. Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo
  9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
  10. Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3370

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Bongolite - Game zone - Play free game     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 ai web app     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Faida za kiafya za kunywa chai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kunywa chai

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mchaichai/lemongrass

Soma Zaidi...
Faida za ubuyu

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula ubuyu

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula panzi senene na kumbikumbi

Soma Zaidi...
Matunda yaliokuwa na vitamini C vingi

Hii ni orodha ya matunda yenye vitamini C kwa wingi sana ikiwemo machungwa, mapera na mapapai

Soma Zaidi...