picha

Faida za kiafya za kula Karoti

Faida za kiafya za kula Karoti



Faida za karoti

  1. karoti ina virutubisho kama sukari, fati, protini, vitamini A, B, K na madini ya potassium.
  2. Hupunguza hatari ya kupata saratani
  3. Hususha cholesterol
  4. Husaidia kupunguza uzito
  5. Husaidia kuboresha afya ya macho
  6. Karoti ni nzuri kwa afya ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
  7. Husaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari
  8. Husaidia kulinda na muimarisha afya ya moyo na mishipa ya moyo
  9. Husaidia kuboresha na kuimarisha mfumo wa kinga mwilini
  10. Karoti ni nzuri kwa afya ya mifupa


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Vyakula Main: Post File: Download PDF Views 3141

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 web hosting     👉5 Simulizi za Hadithi Audio     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

UPUNGUFU WA VITAMIN NA MAJI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
Habari ndugu naomba kuuliza eti mtu akipaliwa na asali anakufa?

Post hii inakwenda kukujulisha hatari za kupaliwa na asali ama kitu kingine kama muulizaji alivyouliza.

Soma Zaidi...
Vyakula vilivyo hatari kwa afya ya meno

Vyakula hivi vinaweza kuwa na hatai kwenye afya ya meno ama kuharibu kabisa meno.

Soma Zaidi...
Vyakula vya madini, kazizake na athari za upungufu wa madini mwilini

Je ungependa kujuwa vyakula hivyo ama vyanzo vya madini? Na je ungependa kujuwa ni zipi hasa kazi za madini katika miili yetu?. makala hii ni kwa ajili yako, hapa utakwenda kujifunza mengi kuhusu somo hili.

Soma Zaidi...
Faida za kiafya za kula bamia/okra

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula bamia

Soma Zaidi...