image

Faida za muarobaini

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za muarobaini

FAIDA ZA MUAROBAINI

1.Kutibu vidonda

Hii hifanyika kwa kusaga majani ni muarobaini kasha unapaka majimaji yake kwenye kidonda kwa. Hivi utafanya kwa uchache kwa siku. Fanya hivi mpaka kidonda kikauke.

2.kutibu matatizo ya macho

Hii hufanyika kwa kuchemsha majani ya muarobaini. Subiri mpaka maji yapoe kasha tumia maji haya kusafisha macho yako. Husaidia miwasho ya macho na matatizo mengineyo

3.matatizo ya masikio

Saga majani ya muarobaini kasha changanya na asali. Tumia matone machache ya mchanganyiko huu kwenye sikio.

1. kwa muasho wa ngozi

Saga majani ya muarobaini kasha paka kwenye ngozi





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1711


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Matunda yenye vitamin C kwa wingi
Somo hili linakwenda kukuletea matunda yenye vitamin C kwa wingi Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Nyanya
Soma Zaidi...

Vyakula hatari kwa mwenye kisukari
Somo hili linakwenda kukuletea orodha ya vyakula hatari kwa mwenye kisukari Soma Zaidi...

Rangi za matunda
Fida za matunda huanzia kwenye rangi zake, je unajuwa kama rangi ya matunda inaeleza jambo? Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamini A na kazi zake
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Palachichi
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Kisamvu
Soma Zaidi...

Faida za mchai chai
Posti hii inahusu zaidi faida za mchai chai, ni mmea ambao upandwa na watu kama maua, dawa au kikolezo cha chai na Kuna wengine kabisa wanatumia kama sehemu Mojawapo ya dawa kwa hiyo tutaona faida za mmea huu wa mchai chai. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Epo ama tufaha
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula Kunazi
Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula uyoga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula uyoga Soma Zaidi...

Vyakula vyenye maji mengi kwa wingi
Soma Zaidi...