Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.
1. Kwa furaha kubwa Jackie aliandika barua ya kwa Julius akisema. hi Julius kipenda roho changu natumain kuwa haujambo na nimefurahi kuona barua Yako nasikia hata moyo unadunda kwa mapigo Fulani hivi mpaka nakosa pozi na nafurahi sana kuhamia kwangu pale kwenye desk hata nikiwa nimelala naiona kabisa sura Yako ukiwa umekaa karibu nami kwenye dawati.
2. Pia naomba msamaha kwa kujenga mahusiano n Dickson sio kwa amani hapana ila ni kwa sababu yakutafuta faraja baada ya wewe kunicha kwa hiyo nafurahi sana na kila kitu ambacho utataka nitakupa kwa sababu si unajua kwangu mimi Jack kila kitu kipo na kuhusu hotelini gharama ni za kwangu usihofu kipenzi,kwa hiyo badala ya kwenda jumamosi twende ijumaa Bada ya masomo.
3. Kwa hiyo jackie akatuma barua kwa julius, na hapo ndipo alipoanza kujiingza kwenye mahusiano tena na Juliusi na walipanga kwenda hotelini kuanzia ijumaa mpaka jumapili huko Julius alimwonyesha mapenzi ya kweli mpaka Jackie akawa anawaza julius peke yake mpaka na darasani akaacha kusoma alipenda kukaa karibu na Julius,
4. Kwa hiyo mitihani ilikuwa inakaribia na Mama yake Jackie akaja kumtembelea Jackie akaleta zawadi na walizitumia zote na Juliusi, na Mama yake na Jackie alitoa ahadi nyingi iwapo Jackie akishinda mtihani vizuri kama mtihani uliopo,kwa hiyo Julius akawa anasoma usiku mchana kazi yake ni kuhakikisha anapoteza akili za Jackie na vijana wanaendelea kumlipa Julius Hela yake kwa kumpoteza Jacki ,na hapo walibakiza wiki Moja kufanya mtihani wa kushindania zawadi za shule ila Jackie hakujiandaa hata kidogo akitumia mda mwingi kushinda na Juliusi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.
Soma Zaidi...