Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.
1. Mazoezi kwa kawaida usaidia kuzuia magonjwa tasiyoambukiza.
Kuna magonjwa mbalimbali ambayo hayaambukizi magonjwa hayo ni kama vile saratani mbalimbali , kisukari, Kansas na magonjwa mbalimbali ya moyo, usaidia kwa Saba unapofanya mazoezi unatoa uchafu kwenye mwili.
2 mazoezi pi udhibiti uzito wa mwili.
Kwa wale ambao Wana tatizo la kuongezeka uzito mara Kwa mara na bila Sababu wakifanya mazoezi uweza kudhibiti mwili na kuwa kwenye hali ya kawaida.
3. Pia mazoezi usaidia Katika mfumo wa upumuaji.
Kwa sababu Ili hewa iwe ya kutosha ni lazima mapafu yawe vizuri bila kuwepo na kizuizi chochote, kwa kufanya mazoezi hivyo usababisha kifua kiwe huru na kiweze kutoa vizuri hewa safi .
4. Pia mazoezi usaidia kupunguza cholesterol mwilini.
Kwa kawaida cholesterol ni kuwepo kwa mafuta mengi mwilini kwa hiyo mtu anapofanya mazoezi usaidia mafuta kuweza kuyeyuka na kuwa kawaida hali ambayo usababisha mafuta mwilini kupungua kwa sababu ya mazoezi, pia na kile kitendo cha kutoa jasho wakati wa mazoezi nacho usababisha mafuta kupungua mwilini .
5. Mazoezi pia usaidia moyo kusukuma damu vizuri.
Kwa sababu mtu akifanya mazoezi usababisha uchafu wote kuisha kwenye mishipa inayosafirisha damu kwa hiyo mishipa hiyo ikiwa huru usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu kwenye sehemu mbalimbali za mwili na damu usafiri vizuri bila shida yoyote .
6. Pia mazoezi usaidia mifupa kuwa na nguvu.
Kwa Sababu ya kufanya mazoezi usaidia kabisa mifupa kuweza kuimarika vizuri na kuendelea vizuri kabisa kwa hiyo mazoezi ni lazima Ili kuweza kuimarisha mifupa pia na misuli.
7. Pia mazoezi usaidia Katika kurahisisha viungo vya mwili.
Kwa kawaida Mtu akifanya mazoezi na vile vile viungo vya mwili uwa vyepesi na mtu uwa mwepesi zaidi.
8.Pia mazoezi usaidia kuzuia magonjwa.
Kwa kawaida kupitia mazoezi magonjwa kama mafuta, kuishiwa nguvu na vi magonjwa vidogo vidogo upungua.
9. Kwa hiyo mazoezi ni mazuri walau fanya mara tatu kwa wiki na pia baada ya mazoezi kunywa maji ya kutosha na pia mazoezi yasiwe makali na ya kupitiliza ambayo yanaweza kuleta matatizo mengine
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download
Download NowJe! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jamvini Main: Post File: Download PDF Share On Facebook or Whatsapp Views 824
Sponsored links
👉1
Kitau cha Fiqh
👉2
Kitabu cha Afya
👉3
Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉4
Simulizi za Hadithi Audio
👉5
Madrasa kiganjani
👉6
kitabu cha Simulizi
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita
Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya. Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme (sehemu ya nne)
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme. Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya nne)
Post hii inahusu zaidi watoto Hawa wawili wakiwa kwenye kituo cha mapumziko ambapo mtoto wa tajiri anabugia soda aliyopewa na yule mwalimu pia tumbo linaanza tena na anaanza kuendesha Soma Zaidi...
Ni nani kama mama
Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako. Soma Zaidi...
Mafundisho kutokana na hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mafundisho ambayo tunayapata kutoka kwa binti mfalme, tunapotoa hadithi sio kusoma na kufurahia tu ila kuna mafundisho muhimu katika maisha yetu. Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule. Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya nne)
Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha. Soma Zaidi...
Chemsha bongo na bongoclass
Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi. Soma Zaidi...
Hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Post hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mitihani inaisha na wanaanza kuhukumiwa mmoja baada ya mwingine. Soma Zaidi...