Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.
1. Mazoezi kwa kawaida usaidia kuzuia magonjwa tasiyoambukiza.
Kuna magonjwa mbalimbali ambayo hayaambukizi magonjwa hayo ni kama vile saratani mbalimbali , kisukari, Kansas na magonjwa mbalimbali ya moyo, usaidia kwa Saba unapofanya mazoezi unatoa uchafu kwenye mwili.
2 mazoezi pi udhibiti uzito wa mwili.
Kwa wale ambao Wana tatizo la kuongezeka uzito mara Kwa mara na bila Sababu wakifanya mazoezi uweza kudhibiti mwili na kuwa kwenye hali ya kawaida.
3. Pia mazoezi usaidia Katika mfumo wa upumuaji.
Kwa sababu Ili hewa iwe ya kutosha ni lazima mapafu yawe vizuri bila kuwepo na kizuizi chochote, kwa kufanya mazoezi hivyo usababisha kifua kiwe huru na kiweze kutoa vizuri hewa safi .
4. Pia mazoezi usaidia kupunguza cholesterol mwilini.
Kwa kawaida cholesterol ni kuwepo kwa mafuta mengi mwilini kwa hiyo mtu anapofanya mazoezi usaidia mafuta kuweza kuyeyuka na kuwa kawaida hali ambayo usababisha mafuta mwilini kupungua kwa sababu ya mazoezi, pia na kile kitendo cha kutoa jasho wakati wa mazoezi nacho usababisha mafuta kupungua mwilini .
5. Mazoezi pia usaidia moyo kusukuma damu vizuri.
Kwa sababu mtu akifanya mazoezi usababisha uchafu wote kuisha kwenye mishipa inayosafirisha damu kwa hiyo mishipa hiyo ikiwa huru usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu kwenye sehemu mbalimbali za mwili na damu usafiri vizuri bila shida yoyote .
6. Pia mazoezi usaidia mifupa kuwa na nguvu.
Kwa Sababu ya kufanya mazoezi usaidia kabisa mifupa kuweza kuimarika vizuri na kuendelea vizuri kabisa kwa hiyo mazoezi ni lazima Ili kuweza kuimarisha mifupa pia na misuli.
7. Pia mazoezi usaidia Katika kurahisisha viungo vya mwili.
Kwa kawaida Mtu akifanya mazoezi na vile vile viungo vya mwili uwa vyepesi na mtu uwa mwepesi zaidi.
8.Pia mazoezi usaidia kuzuia magonjwa.
Kwa kawaida kupitia mazoezi magonjwa kama mafuta, kuishiwa nguvu na vi magonjwa vidogo vidogo upungua.
9. Kwa hiyo mazoezi ni mazuri walau fanya mara tatu kwa wiki na pia baada ya mazoezi kunywa maji ya kutosha na pia mazoezi yasiwe makali na ya kupitiliza ambayo yanaweza kuleta matatizo mengine
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku
Soma Zaidi...Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi hadithi ya safari ya muujiza ambapo ya Mungu mengi anaenda kwao na kuomba kufahamu history yake ili afahamu kuhusu wazazi weo walipo na ndugu zao walipo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu, kwa sababu ya kuwepo kwa marafiki wasio waaminifu wanasababisha kuharibiana maisha bila kujua kwa sababu ya kuonekana wivu na kutokuwa wazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.
Soma Zaidi...