USICHOFAHAMU KUHUSU MAZOEZI


image


Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.


Usichofahamu kuhusu mazoezi.

1. Mazoezi kwa kawaida usaidia kuzuia magonjwa tasiyoambukiza.

Kuna magonjwa mbalimbali ambayo hayaambukizi magonjwa hayo ni kama vile saratani mbalimbali , kisukari, Kansas na magonjwa mbalimbali ya moyo, usaidia kwa Saba unapofanya mazoezi unatoa uchafu kwenye mwili.

 

2  mazoezi pi udhibiti uzito wa mwili.

Kwa wale ambao Wana tatizo la kuongezeka uzito mara Kwa mara na bila Sababu wakifanya mazoezi uweza kudhibiti mwili na kuwa kwenye hali ya kawaida.

 

3.  Pia mazoezi usaidia Katika mfumo wa upumuaji.

Kwa sababu Ili hewa iwe ya kutosha ni lazima mapafu yawe vizuri bila kuwepo na kizuizi chochote, kwa kufanya mazoezi hivyo usababisha kifua kiwe huru na kiweze kutoa vizuri hewa safi .

 

4. Pia mazoezi usaidia kupunguza cholesterol mwilini.

Kwa kawaida cholesterol ni kuwepo kwa mafuta mengi mwilini kwa hiyo mtu anapofanya mazoezi usaidia mafuta kuweza kuyeyuka na kuwa kawaida hali ambayo usababisha mafuta mwilini kupungua kwa sababu ya mazoezi, pia na kile kitendo cha kutoa jasho wakati wa mazoezi nacho usababisha mafuta kupungua mwilini .

 

5. Mazoezi pia usaidia moyo kusukuma damu vizuri.

Kwa sababu mtu akifanya mazoezi usababisha uchafu wote kuisha kwenye mishipa inayosafirisha damu kwa hiyo mishipa hiyo ikiwa huru usababisha moyo kusukuma damu kwa nguvu kwenye sehemu mbalimbali za mwili na damu usafiri vizuri bila shida yoyote .

 

6. Pia mazoezi usaidia mifupa kuwa na nguvu.

Kwa Sababu ya kufanya mazoezi usaidia kabisa mifupa kuweza kuimarika vizuri na kuendelea vizuri kabisa kwa hiyo mazoezi ni lazima Ili kuweza kuimarisha mifupa pia na misuli.

 

7. Pia mazoezi usaidia Katika kurahisisha viungo vya mwili.

Kwa kawaida Mtu akifanya mazoezi na vile vile viungo vya mwili uwa vyepesi na mtu uwa mwepesi zaidi.

 

8.Pia mazoezi usaidia kuzuia magonjwa.

Kwa kawaida kupitia mazoezi magonjwa kama mafuta, kuishiwa nguvu na vi magonjwa vidogo vidogo upungua.

 

9. Kwa hiyo mazoezi ni mazuri walau fanya mara tatu kwa wiki na pia baada ya mazoezi kunywa maji ya kutosha na pia mazoezi yasiwe makali na ya kupitiliza ambayo yanaweza kuleta matatizo mengine



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Madrasa kiganjani    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image HUDUMA ZA KIAFYA KATIKA JAMII
Umuhimu wa huduma za kiafya katika jamii Soma Zaidi...

image Fahamu antibiotics ya asili.
Post hii inahusu zaidi antibiotics ya asili, ni antibiotics inayotumia vitu vya kila siku na ya kawaida na mtu akaweza kupona kabisa na kufanya kazi kama antibiotics ya vidonge vya kawaida. Soma Zaidi...

image Njia za kupunguza uzito na kitambi
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi Soma Zaidi...

image Zijue faida za maji ya uvuguvugu.
Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu. Soma Zaidi...

image Namna ya kufanya ngozi juwa laini
Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufanya ili ngozi iweze kuwa laini bila kuwa na make up yoyote. Soma Zaidi...

image TAMBUA FAIDA NA ATHARI ZA MICHEZO
POSti hii inahusu kwenye michezo na burudani.michezo ni kile kitu ambacho unakifanya kwa ajili ya kujifuraisha wewe mwenyewe.pia na watu waliokuzunguka.tukiangalia michezo anaweza kucheza mtu yeyeto yule kwa sababu michezo haina ubaguzi. Soma Zaidi...

image Jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kulingana na tatizo
Posti hii inahusu sana mambo ya huduma ya kwanza ambayo huduma ya kwanza inapatikana au inatolewa na mtu yeyote katika jamii . Soma Zaidi...

image Madhara ya kutumia tissue au toilet paper
Post hii inahusu zaidi madhara ambayo tunaweza kuyapata katika matumizi ya toilet paper au tisu kwenye sehemu za siri. Soma Zaidi...

image Zijue sababu za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo.
Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni Soma Zaidi...

image JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu. Soma Zaidi...