Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.
1. Kwa hiyo mtihani ulipofika Jackie hakuwa na maandalizi yoyote ila baadhi ya wasichana waliokuwa wanaosoma na Jackie walimwita na kuongea naye ila ilikuwa too late, kwa hiyo Jackie siku ya jumapili aliitwa na julius wakatoka na mtihani ulikuwa ni jumatatu na siku ya jumamosi Julius akishinda anasoma ila mwenzake alishinda anasoma barua alizoandikiwa na Juliusi.
2. Kama mda wa saa mbili walirudi chuo ila Jackie alikuwa ameleweshwa Yuko chakali akafika amechoka kabisa akalala aliamshwa na kwenda kwenye mtihani hajaoga Wala uniform hazijafuliwa akaamka hivyo hivyo akavaa nguo chafu na kuingia kwenye mtihani na kila mwalimu alimshangaa kwa sababu ni msichana aliyekuwa smart na anajipenda kwa hiyo alipoanza mtihani hakuelewa chochote na pia kwa sababu ya pombe alisinzia kwenye mtihani mpaka mwalimu wa kike alipofikia kumwamsha alishutuka na kuhisi harufu ya pombe.
3. Basi ilipofika saa nane wakarudi kwenye mtihani WA pili ila Jackie alikuwa yupo yupo ana uchovu na pia kwa sababu alikuwa hasomi alikuwa haelewi chochote kwa hiyo baada ya mtihani WA pili mwalimu alimwita na kuongea naye ila jack alikuwa amechoka kweli akiwa na usingizi ila mwalimu akamlazimisha na kutaka kujua kilichotokea ila Jackie hakusema chochote mpaka Mama yake akaitwa Ili kuja kuongea na mwanae,basi mama yake alipokuja aliumia sana kumkuta mtoto wake kwenye hali Ile.
4. Mpaka Mama yake alizimia kwa sababu Jackie alikuwa anaonekana kachakaa sana , baadae wakampeleka mama Jackie hospital ila wasichana waliokuwa kilichokuwa kinaendelea walimshauri Jackie hajifanye kama kichaa Ili haweze kupoteza ushaidi wa kwamba alikuwa amejichanganya shuleni, Basi baadae Jackie akaenda kumsimulia Julius kilichokuwa kinaendelea julius akamwangalia Jackie kama vile hajawahi kumwona yaai Jackie akawa kama anataka kufa na akaumia zaidi akawa kama mgonjwa na mtu ambaye hajielewi na yeye akapelekwa hospital mahali alipokuwa amelazwa mama yake , kwa hiyo jack alikuwa kitanda hiki Mama hiki, Jackie alimwangalia mama yake kwa aibu ila mama alimwangalia mwanae kwa huruma.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi hadithi ya safari ya muujiza ambapo ya Mungu mengi anaenda kwao na kuomba kufahamu history yake ili afahamu kuhusu wazazi weo walipo na ndugu zao walipo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kijana Frank anayelazimishwa kuolewa na Amisa yeye hayuko tayari ila kwa sababu ya maisha kuwa magumu anaamua kulala na Amina na kumbebesha Mimba ya watoto mapacha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya tano, baada ya bibi kuachana na mke mdogo wa mfalme alienda kwa kijana wa kiume wa mfalme na kuona udhaifu wake kwamba anapenda sana mali.
Soma Zaidi...Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya kijana Frank na Amisa pia na wapenzi wawili ambao ni James na Amina.
Soma Zaidi...