Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.
1. Kwa hiyo mtihani ulipofika Jackie hakuwa na maandalizi yoyote ila baadhi ya wasichana waliokuwa wanaosoma na Jackie walimwita na kuongea naye ila ilikuwa too late, kwa hiyo Jackie siku ya jumapili aliitwa na julius wakatoka na mtihani ulikuwa ni jumatatu na siku ya jumamosi Julius akishinda anasoma ila mwenzake alishinda anasoma barua alizoandikiwa na Juliusi.
2. Kama mda wa saa mbili walirudi chuo ila Jackie alikuwa ameleweshwa Yuko chakali akafika amechoka kabisa akalala aliamshwa na kwenda kwenye mtihani hajaoga Wala uniform hazijafuliwa akaamka hivyo hivyo akavaa nguo chafu na kuingia kwenye mtihani na kila mwalimu alimshangaa kwa sababu ni msichana aliyekuwa smart na anajipenda kwa hiyo alipoanza mtihani hakuelewa chochote na pia kwa sababu ya pombe alisinzia kwenye mtihani mpaka mwalimu wa kike alipofikia kumwamsha alishutuka na kuhisi harufu ya pombe.
3. Basi ilipofika saa nane wakarudi kwenye mtihani WA pili ila Jackie alikuwa yupo yupo ana uchovu na pia kwa sababu alikuwa hasomi alikuwa haelewi chochote kwa hiyo baada ya mtihani WA pili mwalimu alimwita na kuongea naye ila jack alikuwa amechoka kweli akiwa na usingizi ila mwalimu akamlazimisha na kutaka kujua kilichotokea ila Jackie hakusema chochote mpaka Mama yake akaitwa Ili kuja kuongea na mwanae,basi mama yake alipokuja aliumia sana kumkuta mtoto wake kwenye hali Ile.
4. Mpaka Mama yake alizimia kwa sababu Jackie alikuwa anaonekana kachakaa sana , baadae wakampeleka mama Jackie hospital ila wasichana waliokuwa kilichokuwa kinaendelea walimshauri Jackie hajifanye kama kichaa Ili haweze kupoteza ushaidi wa kwamba alikuwa amejichanganya shuleni, Basi baadae Jackie akaenda kumsimulia Julius kilichokuwa kinaendelea julius akamwangalia Jackie kama vile hajawahi kumwona yaai Jackie akawa kama anataka kufa na akaumia zaidi akawa kama mgonjwa na mtu ambaye hajielewi na yeye akapelekwa hospital mahali alipokuwa amelazwa mama yake , kwa hiyo jack alikuwa kitanda hiki Mama hiki, Jackie alimwangalia mama yake kwa aibu ila mama alimwangalia mwanae kwa huruma.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.
Soma Zaidi...Posti hii inaendelea kuelezea hasara za kuwepo kwa wivu na kutokuwa wazi katika, jamii inafikia wakati baba anapifahamu ukweli anawaita wazazi wawili na kuwaombeza kwa kuwa kimya baada ya kuona matatizo yaliyokuwa yanampata mtoto Lisa.
Soma Zaidi...