picha

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Kwa hiyo mtihani ulipofika Jackie hakuwa na maandalizi yoyote ila baadhi ya wasichana waliokuwa wanaosoma na Jackie walimwita na kuongea naye ila ilikuwa too late, kwa hiyo Jackie siku ya jumapili aliitwa na julius wakatoka na mtihani ulikuwa ni jumatatu na siku ya jumamosi Julius akishinda anasoma ila mwenzake alishinda anasoma barua alizoandikiwa na Juliusi.

 

 

 

 

2. Kama mda wa saa mbili walirudi chuo ila Jackie alikuwa ameleweshwa Yuko chakali akafika amechoka kabisa akalala aliamshwa na kwenda kwenye mtihani hajaoga Wala uniform hazijafuliwa akaamka hivyo hivyo akavaa nguo chafu na kuingia kwenye mtihani na kila mwalimu alimshangaa kwa sababu ni msichana aliyekuwa smart na anajipenda kwa hiyo alipoanza mtihani hakuelewa chochote na pia kwa sababu ya pombe alisinzia kwenye mtihani mpaka mwalimu wa kike alipofikia kumwamsha alishutuka na kuhisi harufu ya pombe.

 

3. Basi ilipofika saa nane wakarudi kwenye mtihani WA pili ila Jackie alikuwa yupo yupo ana uchovu na pia kwa sababu alikuwa hasomi alikuwa haelewi chochote kwa hiyo baada ya mtihani WA pili mwalimu alimwita na kuongea naye ila jack alikuwa amechoka kweli akiwa na usingizi ila mwalimu akamlazimisha na kutaka kujua kilichotokea ila Jackie hakusema chochote mpaka Mama yake akaitwa Ili kuja kuongea na mwanae,basi mama yake alipokuja aliumia sana kumkuta mtoto wake kwenye hali Ile.

 

4. Mpaka Mama yake alizimia kwa sababu Jackie alikuwa anaonekana kachakaa sana , baadae wakampeleka mama Jackie hospital ila wasichana waliokuwa kilichokuwa kinaendelea walimshauri Jackie hajifanye kama kichaa Ili haweze kupoteza ushaidi wa kwamba alikuwa amejichanganya shuleni, Basi baadae Jackie akaenda kumsimulia Julius kilichokuwa kinaendelea julius akamwangalia Jackie kama vile hajawahi kumwona yaai Jackie akawa kama anataka kufa na akaumia zaidi akawa kama mgonjwa na mtu ambaye hajielewi na yeye akapelekwa hospital mahali alipokuwa amelazwa mama yake , kwa hiyo jack alikuwa kitanda hiki Mama hiki, Jackie alimwangalia mama yake kwa aibu ila mama alimwangalia mwanae kwa huruma.

 

itaendelea baadae

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jamvini Main: Post File: Download PDF Views 1619

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 web hosting     👉3 Bongolite - Game zone - Play free game     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Hadithi za alif lela u lela

Haya ni masimulizi ya Hadithi za alif lela u lela

Soma Zaidi...
USALITI (sehemu ya kwanza)

Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita

Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.

Soma Zaidi...
WAKATI WA KUFUMBUKA

Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)

Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tano)

Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma.

Soma Zaidi...